Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 5,214
- 10,276
Mtoa mada umenikumbusha jaws kona dah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hebu tuwaulize wale wazungu wanaokuja kutalii pengine tutapata jibuHata nami nashangaa wanaokwenda Zanzibar wanafuata nini huko maana kila kitu kiko backwards.
Sababu zipo nyingi mfano Kikazi, kitalii /kutembea, kuoa, kufanya biashara.Hv watanganyika huwa wanaenda zanzibar kufanya nini..
Kuna nini huko njaa tupu nimepoteza mda wangu bure huko hamna lolote na maushungi yenuMada za kuijadili Zanzibar zimekuwa nyingi tangu Mama Samia kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania eeh?
Badala ya kuleta mada zako za chuki siku tafuta hela ili siku nyengine ukija zanzibar ufikie walau Golden Tulip pale ule bata la mjini kabla kwenda Nungwi kuona watu wenye hela zao wanaishi vipi.
Tuachie na zanzibar yetu wenyewe tuna enjoy to the fullest.
Watanganyika wenzio ndio wanakopatia rizk zao huku wamehama makwao hawana hata hamu ya kurudi.
Wamekuwa wengi kiasi kwamba idadi yao nusu kwa nusu na wazawa wenyewe.
Well notedZanzibar wanahitaji mabadiliko ya kifikra, hawajui maendeleo nini sehemu za makazi Yao hakuna tofauti na Keko, Buguruni, Manzese, Magomeni, huwezi kukuta mitaa angalau kidogo iliyopangika, hakuna
Wale wengi wao wanakwenda kule kwa ajili ya kutumia madawa ya kulevya na kufila vijana wa kizenji.....hizi habari kila mtu anajuwa.hebu tuwaulize wale wazungu wanaokuja kutalii pengine tutapata jibu
Kosa wa Tanganyika kuwa zenji..mbona wazenji wamejaa Tanganyika na huoni tukilalamika.Mada za kuijadili Zanzibar zimekuwa nyingi tangu Mama Samia kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania eeh?
Badala ya kuleta mada zako za chuki siku tafuta hela ili siku nyengine ukija zanzibar ufikie walau Golden Tulip pale ule bata la mjini kabla kwenda Nungwi kuona watu wenye hela zao wanaishi vipi.
Tuachie na zanzibar yetu wenyewe tuna enjoy to the fullest.
Watanganyika wenzio ndio wanakopatia rizk zao huku wamehama makwao hawana hata hamu ya kurudi.
Wamekuwa wengi kiasi kwamba idadi yao nusu kwa nusu na wazawa wenyewe.
Sio kosa mkuu.Kosa wa Tanganyika kuwa zenji..mbona wazenji wamejaa Tanganyika na huoni tukilalamika.
#MaendeleoHayanaChama
Kosa wa Tanganyika kuwa zenji..mbona wazenji wamejaa Tanganyika na huoni tukilalamika.
#MaendeleoHayanaChama
hebu tuwaulize wale wazungu wanaokuja kutalii pengine tutapata jibu
Zanzibar kuna fursa nyingi za biashara mkuu.Kuna nini huko njaa tupu nimepoteza mda wangu bure huko hamna lolote na maushungi yenu
ao wapishi wengi waliopo dar wanatoka visiwani ,,, na nlivyopeleleza migahawa mingi yenye wapishi wa kizanzibar tanganyika ndo inayopendwaKuhusu misosi ipo mizuri tu,ukitoka bandalini,ukifika kwenye mataa,kata kulia ulizia jumba la trein,Kuna mgahawa mzuri tu,msosi wa nguvu,au ulizia ukumbi wa ccm,Kuna misosi mizuri sana kama Dar vile
Au aje huku kwa bi janetKuhusu misosi ipo mizuri tu,ukitoka bandalini,ukifika kwenye mataa,kata kulia ulizia jumba la trein,Kuna mgahawa mzuri tu,msosi wa nguvu,au ulizia ukumbi wa ccm,Kuna misosi mizuri sana kama Dar vile
Tatizo ni moja tu ccm wanashindwa kujenga mji hela nyingi za mapato zinapigwa juu kwa juu.