Zanzibar kupo ovyo sana. Kweli au nahitaji kueleweshwa?

Zanzibar kupo ovyo sana. Kweli au nahitaji kueleweshwa?

Nani kakudanganya? Kuna hotel nzuri tu tena za bei nafuu. Kama hujui inasisitizwa ukifika mji usioujua waulize wenyeji. Angalia hapa hotel zilizopo Zanzibar town na gharama zake
[emoji116][emoji116][emoji116]
Ndipo utakapojijua upo kizamani sana
Kweli US$28 (65,000) useme hizo ni za matajiri? [emoji2377][emoji2377][emoji2377]
Za matajiri hizo..tunataka za elfu 10 hadi 25..hizo ndio za watanzania wanyonge...kama zipo nijuze mana nasafari ya zenji mwisho wa mwaka.


#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zanzibar ni sehemu ya ajabu sana,kinachoumaga ni ubaguzi wao kwetu sisi watu wa bara!.wanatuona kama wanyonyaji na waporaji!..ubaya wao wanatambuana kwa lafudhi,sisi hatuongei kama wao!.kitu cha elfu tano watakuuzia elfu 10!.Mwezi mtukufu hakuna kula!.wafanyabiashara mamwinyi mno!.Barabara za kwenda hotel za kitalii ni MBOVU!..
Nilikwenda kula Hotel ya nyota nne,ilikuwa Ramadhan!..jamaa wakagoma kuniuzia chakula,nikaagiza japo Juice pia wakagoma!.ila Wazungu wamejaa wanakula na kunywa!..kisa mimi mswahili sikuruhusiwa kula!..niliumia sana na nikajiona Mtumwa ndani ya nchi yangu!..sitasahau.
Dini ya mudi umewabrainwash wapo kama mazezeta na misukule..wanamuona mzungu kama Mungu..ila mwafrika mwenzao wanamtenga..si upuuzi huu.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nilifika zanzibar mwaka huu mwanzoni nikasafiri kutoka mjini forodhani hadi nungwi na sikuona sehemu hata moja yenye mvuto.
Nyumba ni za kizamani mno utadhani tuko mwaka 1985.
Na huwezi kutoa mifano ya mahoteli wakati wewe hauishi kwenye mahotel hizo ni kwa ajili ya wageni na watalii.

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Ok
 
Nenda kwenye 5 star hotels pande za shamba(Nungwi, Kiwengwa, Matemwe) au nenda kusini (Jambiani, Paje, Kizimkazi nk upate ladha ya Zanzibar.
Huko ni kwa wazungu ila kwingine ni hovyo tu wavivu kupambana leo dar inabadilika kila leo sio zenji kupo vile vile zaidi ya hotel za wazungu tu
 
Siyo hawapend kujionyesha tatitizo hawajielewi, ndiyo maana huwezi kumtofautisha mkuu wa mkoa, katibu mkuu wa wizara na wauza nazi sokoni, mkurugenzi wa Zec Zanzibar ana panda boti ya elfu 25000, kwenda kwenye kikao, Una zani mkurugenzi wa NEC utampandisha boat ya elfu 25000 kwenda kwenye kikao Zanzibar, kwa kifupi wa Zanzibar hawajui kutumia hela
Hivi unajua kama kwenye boti kuna business class, VIP na Royal Class? Siyo kila anaepanda hulipa 25,000. Hata akina Mzee Mwinyi na waheshimiwa wengi hupanda boti, unadhani wanapanda kwenye daraja hilo?
 
Dini ya mudi umewabrainwash wapo kama mazezeta na misukule..wanamuona mzungu kama Mungu..ila mwafrika mwenzao wanamtenga..si upuuzi huu.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mzungu ametokea wapi tena? Halafu mzungu aliyewafanya mazezeta ni nyinyi munaowachangia hao viongozi wenu kwa nguvu zote, wao wakawa na majumba mazuri na magari ya kifahari nyinyi mukabaki kulalamika.
 
Unaongea kama kichwani kwako kumefungwa nati badala ya ubongo. Umeshafika maeneo ya Mbweni, Mwambasa, Mazizini, ukajionea hayo maeneo yaliyopangika au hapo ulipofika ndio unaona umefika?

Kuhusu five star hotel nenda maeneo ya shamba huko Matemwe, Kiwengwa, Pwani Mchangani, Nungwi Jambiani, Paje kisha uje na mrejesho hapa.
Mkuu Sasa mazizini Kuna uzuri gani ?

Tembeeni muone miji
 
Unguja Hakuna wanawake kabisa.

Waliopo sura Kama za baba zao. Huwa nikienda unguja najiona Kama Niko msituni kila mwanamke anafanana sura na mimi
 
Mkuu Sasa mazizini Kuna uzuri gani ?

Tembeeni muone miji
Hivi unaifahamu mazizini au umepita barabarani tu? Hebu anzia pale kibaha baada ya kumaliza kambi ya jeshi kulia kuna barabara inapita nyuma ya ubalozi mdogo wa China kuelekea beach kisha rudi hapa!
 
Kwa maoni yangu mimi binafsi, Unguja ni kisiwa kizuri sana na kinavutia. Wauache mji mkongwe ila kuwe na mji mpya mbali kidogo na mji mkongwe pawe na ofisi za serikali na majengo ya kibiashara ya watu binafsi.

Tatizo ni mji mkongwe na surrounding areas ambao ni mji mdogo sana, kutumiwa kiserikali na biashara za kibinafsi . Majengo yale, kwa kuwa ni UNESCO heritage site yangeachwa yapumue na serikali ikajenge mji wake nje kidogo ya mji mkongwe angalau 10 miles away. Wafanyabiashara nao watawafuata.

Malalmiko mengi ni neighbourhoods za Zanzibar, zipo very unplanned kama Dar ilivyo ila tofauti Zanzibar wakazi wake inaonyeesha wazi aidha hawana kipato cha kutosha au basi hawana ile nia ya kuishi mahali palipojengeka vizuri, ingawa ni watu wasfi sana. Nyumba zao ndani ni safi sana na ni watu wanaojiweka kiusafi kwa ndani. Ila nje unaweza ukaona kama kuna uchafu mwingi umezagaa kutokana na kutokuwa na tabia kama za kuwa na makaro, utaona maji ya kuparia samaki yanatupwa tu kwenye mchanga na kufyonzwa.

Kingine kilichonishangaza (Na nimefika Zanzibar mara nyingi naijua tangu 1986) ni upungufu a misikiti mikubwa yenye shule kubwa za kiislam. Yaani, Dar es salaam ina misikiti mingi mikubwa kulinganisha na miji mingi ya kiislam ukanda wa Pwani ya AFRIKA MASHARIKI. Nashangaa sana kila nikiangalia miji ya kiislam ukanda wa East Africa, hukuti misikiti mikubwa au taasisi kubwa za kiislam mijini au vitongojini kama ulivyo mji wa Dar es salaam.

Mfano mzuri wilaya ya Temeke, ingawa haipo mjini lakini ina misikiti mikubwa na taasisi kubwa za kiislam zilizojengwa na watu tu wa kawaida. Zanzibar vitongojini misikiti yake ni midogo na taasisi za kiislam hazijapenya sana vitongojini. Hilo wazanzibari mpende msipende ni jambo la kufanyia kazi ukilinganisha na wingi wa waumini Zanzibar.

Mwisho, wazanzibari wengi wapo diaspora na hupenda kujilipua, hata kurudi hawataki na hii nadhani inatokana na kutokuwa na imani na serikali ya Mapinduzi hasa kwa vijana. Serikali ya Mapinduzi sidhani kama historia yake kwa vizazi vya muda huu ni nzuri. Ni kama kuna kutokupenda nyumbani kwa vijana hasa wa unguja. Labda Serikali ya Mapinduzi ijitahidi kuwashirikisha zaidi vijana kwenye maamuzi na kuwapa vyeo vya juu vya kimaamuzi vijana hasa wilayani.

Sikubaliani na mdau Emiir kuwa majengo mazuri siyo hulka au mambo ya kiislam kwa sababu kama kuna kitu ambacho uislam umeleta dunia hii ni majengo na kasri za kifahari. Angalia miji yote ya kiislam kuanzia Muscat, Riyadh, Mecca, Basra, Qoum, Cordoba, etc.. ni miji iliyojengeka haswa ukizingatia miaka hiyo ambapo New York ilikuwa ni kijiji tu.
Sasa ulitaka Dar yenye wakazi zaidi ya Milion 8 iwe na misikiti sawa na kijieneo chenye watu milion 2
 
Hivi unaifahamu mazizini au umepita barabarani tu? Hebu anzia pale kibaha baada ya kumaliza kambi ya jeshi kulia kuna barabara inapita nyuma ya ubalozi mdogo wa China kuelekea beach kisha rudi hapa!
Naijua unguja zaidi ya uijuavyo.

Wakati wewe unaijua kwasababu umezaliwa wenzako tunaijua KIMAKARATASI.
 
Sasa ulitaka Dar yenye wakazi zaidi ya Milion 8 iwe na misikiti sawa na kijieneo chenye watu milion 2
Ndiyo maana nikakwambia naijua Zanzibar kwa muda mrefu.
HAIBADILIKI.
 
Unguja Hakuna wanawake kabisa.

Waliopo sura Kama za baba zao. Huwa nikienda unguja najiona Kama Niko msituni kila mwanamke anafanana sura na mimi
Ndio maana kila siku tunawaambia mmejawa na uzinzi tu! Kweli hakuna wanawake bali kuna wanawake wanaojistahi sio sawa na bara mlikozoea mtu anatoka Sinza hadi Chanika mkuyenge unasimama njia nzima hadi anafika nyumbani! [emoji2377][emoji2377][emoji2377]
 
Naijua unguja zaidi ya uijuavyo.

Wakati wewe unaijua kwasababu umezaliwa wenzako tunaijua KIMAKARATASI.
Wakati wewe ukiendelea kuijua kimakaratasi wenzako tunaijua kiuwezo pia.
 
Huyo mzungu ametokea wapi tena? Halafu mzungu aliyewafanya mazezeta ni nyinyi munaowachangia hao viongozi wenu kwa nguvu zote, wao wakawa na majumba mazuri na magari ya kifahari nyinyi mukabaki kulalamika.
Usikimbie hoja jibu hoja..kama ilivyokuja..mbona mnatesa na kutenga waswahili wenzenu ila wazungu mnawanyenyekea na kuwapa huduma ya chakula kipindi cha mfungo?

Dini..umaskini na ujinga ni tatizo kubwa sana kwa waafrika hasa jamii kama zenu.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom