Zanzibar kupo ovyo sana. Kweli au nahitaji kueleweshwa?

Zanzibar kupo ovyo sana. Kweli au nahitaji kueleweshwa?

Kama ulijifanya hujui kibongo au unaongea lugha ya malkia iliyoshiba hiyo bei halali yako, maana wanawatafuta sana watu kama wewe.

Pale kuna madalali na hao ndiyo wanaopiga pesa, wenzako huwa wanafanya negotiation kabla ya kuchangua menu.

mentality zetu ni za ovyo sana, yani ukigundulika ni mgeni ndipo watu wanapoona nafasi ya kupiga pesa, mbaya Zaidi ni kua serekali nayo inafanana na hao wananchi wake, Kwenye suala zima la utalii huwa wanavurumisha tu makodi yasiyokua na kichwa wala miguu.
 
Hilo nalo tatizo!? Hapa Daresalam mbona pia tunasafirinao tena kwenye Costa na hais katikati ya jiji!? Heri wao wanaosafiri nao kwenye Chai maharage.
Afadhaldi umesema. Mimi nilisafiri na mama ameficha kuku kwenye fuko la plastiki kutoka Mbeya mpaka Dar. Tulipofika maeneo ya Iringa tu basi hiyo harufu ilikuwa huwezi kuvumilia.

Afadhali hata Zanzibar masafa mafupi.
 
Tatizo kubwa ni Uncivilized society, nahili sio kwa wakaazi tu bali hata kwa watawala na hapo ndipo penye tatizo kuu.
Masikini roho yakooooo! Hivi umetokea mikoani huko (tunaita madongo poromoka) umefika Dar ndiyo unajiona uko more civilized than Zanzibaris?
 
mentality zetu ni za ovyo sana, yani ukigundulika ni mgeni ndipo watu wanapoona nafasi ya kupiga pesa, mbaya Zaidi ni kua serekali nayo inafanana na hao wananchi wake, Kwenye suala zima la utalii huwa wanavurumisha tu makodi yasiyokua na kichwa wala miguu.
😁 Juzi tumefungua hotel ya nyota tatu hapo pembeni mwa uwanja AAKIA, ikiwa ni muendelezo wa uchumi wa bluu.

Sasa jamaa zangu wanadhani kodi itaongezeka kumbe ni majengo tu, now watasha wamekata na angalau kipindi cha Magu walikuwa wengi mpaka baadhi ya wenyeji walikodisha nyumba zao na tax zilikuwa busy, now ni doro hakuna kitu.
 
[emoji16] Juzi tumefungua hotel ya nyota tatu hapo pembeni mwa uwanja AAKIA, ikiwa ni muendelezo wa uchumi wa bluu.

Sasa jamaa zangu wanadhani kodi itaongezeka kumbe ni majengo tu, now watasha wamekata na angalau kipindi cha Magu walikuwa wengi mpaka baadhi ya wenyeji walikodisha nyumba zao na tax zilikuwa busy, now ni doro hakuna kitu.
Na Mama alivyo itangazia dunia Tanzania kuna wimbi la tatu la Corona wazungu wamesitisha Safar za kuja Zanzibar, na uchumi wa Zanzibar ni Utalii, wa Zanzibar wamemkasilikia kweli Mama SAMIA na kumkumbuka Magufur, na Hussein Mwinyi na wananchi wote awa hataki kusikia habar za kuvaa barakoa.
 
Mimi nilienda huko nikapanda daladala namcheck konda eti kapaka uwanja aah..sikumweka nikamuuliza ...eti ananiambia ni sunah hiyo ...eeh nikabaki nashanga hawa watu wanaishi maisha ya Karne gani sijui .
Hivi hizi chai maharage khaaaaa
 
Sasa kama unguja pako hivyo, je, huko Pemba si ndio hovyo kabisa.
 
Nilona video karibuni Dr. Mwinyi akilalamika kua matumizi ya maendeleo katika makusanyo ya halmashauri hayazidi 2%, asilimia 98% ya fedha inaingizwa huku na kule na mwisho wake kuliwa, cha kushangaza Zaidi kawaondosha wakurugenzi waliokuwepo, katafuta makada wengine wa CCM kawaeka nawao wakaibe.
Pesa wanazila sana , Zanzibar ni kanchi kadogo tu , Mji wa Zanzibar ni sawa na wadi tu ya Dar, lakini pako ovyo mno. Yaani mpaka leo hakuna kituo rasmi cha daladala . CCM kuweni na huruma mjue kuna moto huko na maisha haya ni mafupi tu
 
Unaongea kama kichwani kwako kumefungwa nati badala ya ubongo. Umeshafika maeneo ya Mbweni, Mwambasa, Mazizini, ukajionea hayo maeneo yaliyopangika au hapo ulipofika ndio unaona umefika?

Kuhusu five star hotel nenda maeneo ya shamba huko Matemwe, Kiwengwa, Pwani Mchangani, Nungwi Jambiani, Paje kisha uje na mrejesho hapa.
Sheikh wangu nikija Zenji nakutafuta unipikie urojo yakheee.
 
Pesa wanazila sana , Zanzibar ni kanchi kadogo tu , Mji wa Zanzibar ni sawa na wadi tu ya Dar, lakini pako ovyo mno. Yaani mpaka leo hakuna kituo rasmi cha daladala . CCM kuweni na huruma mjue kuna moto huko na maisha haya ni mafupi tu
Kituo rasmi kilikuwepo, shida ni mipango miji kutaka kuubadili mji kuuondoa katika uhalisia wake ulivyokuwa zamani na kutaka kuweka usasa hapo ndipo walipoharibu kila kitu. Kituo rasmi kilikuwa darajani.
 
Siyo hawapend kujionyesha tatitizo hawajielewi, ndiyo maana huwezi kumtofautisha mkuu wa mkoa, katibu mkuu wa wizara na wauza nazi sokoni, mkurugenzi wa Zec Zanzibar ana panda boti ya elfu 25000, kwenda kwenye kikao, Una zani mkurugenzi wa NEC utampandisha boat ya elfu 25000 kwenda kwenye kikao Zanzibar, kwa kifupi wa Zanzibar hawajui kutumia hela
Washamba sana
 
Unaongea kama kichwani kwako kumefungwa nati badala ya ubongo. Umeshafika maeneo ya Mbweni, Mwambasa, Mazizini, ukajionea hayo maeneo yaliyopangika au hapo ulipofika ndio unaona umefika?

Kuhusu five star hotel nenda maeneo ya shamba huko Matemwe, Kiwengwa, Pwani Mchangani, Nungwi Jambiani, Paje kisha uje na mrejesho hapa.
Mimi nilifika zanzibar mwaka huu mwanzoni nikasafiri kutoka mjini forodhani hadi nungwi na sikuona sehemu hata moja yenye mvuto.
Nyumba ni za kizamani mno utadhani tuko mwaka 1985.
Na huwezi kutoa mifano ya mahoteli wakati wewe hauishi kwenye mahotel hizo ni kwa ajili ya wageni na watalii.

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Na Mama alivyo itangazia dunia Tanzania kuna wimbi la tatu la Corona wazungu wamesitisha Safar za kuja Zanzibar, na uchumi wa Zanzibar ni Utalii, wa Zanzibar wamemkasilikia kweli Mama SAMIA na kumkumbuka Magufur, na Hussein Mwinyi na wananchi wote awa hataki kusikia habar za kuvaa barakoa.
Uzuri wa mwamba Magu kaondoka ila ukweli wa kile alichokiamini kinabaki hai all times.
 
Back
Top Bottom