Zanzibar kupo ovyo sana. Kweli au nahitaji kueleweshwa?

Zanzibar kupo ovyo sana. Kweli au nahitaji kueleweshwa?

Nimetembelea huu mji, kwa kweli ni mji ambao bado watu wamelala, migahawa ya kumulika kwa tochi vyakula havieleweki, nimeenda hadi forodhani yaani nyama za pale bei juu alafu hazina mvuto yaani rafu rafu tu

Barabara za lami kama wamemwaga zege yaani , mainjinia sijui wameajriwa kwa kazi gani, nimehisi nimerudi dar es salaam ya mwaka 2000 ,or ndio mji wa kitalii labda

Labda nipewe chimbo huenda nimeenda sehem sio lakini kwaweli ni majanga sana hapa
Pale Forodhani nilikula mishikaki miwili ya samaki na maji ya matunda bili ikaja elfu 68 yaani wizi mtupu
 
Huwa nakwenda Unguja kufuata yale mazingira sometimes kichwa kikishika moto.Mazingira fulani amazing!yanafanana na Dar ya zamani iliyokuwa tulivu.Vile vimtaa kama Casablanca!Upepo na utulivu.Maisha ya uswahili ule wa zamani,wenye ukarimu na mvuto wa kipekee kwa wageni.Wenyeji walio honest!Zanzibar iacheni hivyo hivyo pamoja na watu wake!Wengine tunaona adventure kwenda mazingira hayo!Embu waacheni wazenji wetu.Kama mnataka skyscrapers si muende Nairobi ma Dubai....labda hilo la misosi ndio walirekebishe maana lina ukweli ingawa some of us tunatazama kwa jicho la fursa.Kule hata nyumbani sometimes wavivu kupika so ukiweka mgahawa ukawa na taste na ukauza bei za kawaida utatapika hela!fursa hiyo nimewamegeeni!
 
Nenda kwenye 5 star hotels pande za shamba(Nungwi,Kiwengwa,Matemwe) au nenda kusini (Jambiani,Paje,Kizimkazi nk
upate radha ya Zanzibar.
Mkuu duniani kote kwenye mahoteli makubwa lazima panakuwa super sababu ni sehemu ya biashara za watu binafsi si serikali.

Na sehemu ya kumpa mtu real life picture ni maeneo wanakoishi wananchi wa kipato cha kati, mfano kwenye majengo ya michenzani au mji mkongwe, pale ndipo palipaswa kuwa kivutio, siyo mahotelini asee!, Ndiyo maana hata watasha kutwa wanakuja kushinda mitaani huku mwembeladu, kwa mchina, forodhani au darajani.

Hotelini ni kwenda kupiga usingizi tu.
 
Nimetembelea huu mji, kwa kweli ni mji ambao bado watu wamelala, migahawa ya kumulika kwa tochi vyakula havieleweki, nimeenda hadi forodhani yaani nyama za pale bei juu alafu hazina mvuto yaani rafu rafu tu.

Barabara za lami kama wamemwaga zege yaani , mainjinia sijui wameajriwa kwa kazi gani, nimehisi nimerudi Dar es Salaam ya mwaka 2000 ,or ndio mji wa kitalii labda.

Labda nipewe chimbo huenda nimeenda sehem sio lakini kwaweli ni majanga sana hapa.
Pitia hapo mchamba wima Kwa anko Makame akupe Haluwaa
 
Mkuu duniani kote kwenye mahoteli makubwa lazima panakuwa super sababu ni sehemu ya biashara za watu binafsi si serikali.

Na sehemu ya kumpa mtu real life picture ni maeneo wanakoishi wananchi wa kipato cha kati, mfano kwenye majengo ya michenzani au mji mkongwe, pale ndipo palipaswa kuwa kivutio, siyo mahotelini asee!, Ndiyo maana hata watasha kutwa wanakuja kushinda mitaani huku mwembeladu, kwa mchina, forodhani au darajani.

Hotelini ni kwenda kupiga usingizi tu.
Lipeni kodi ya uzalendo tuijenge Zanzibar yetu.
 
Nimetembelea huu mji, kwa kweli ni mji ambao bado watu wamelala, migahawa ya kumulika kwa tochi vyakula havieleweki, nimeenda hadi forodhani yaani nyama za pale bei juu alafu hazina mvuto yaani rafu rafu tu.

Barabara za lami kama wamemwaga zege yaani , mainjinia sijui wameajriwa kwa kazi gani, nimehisi nimerudi Dar es Salaam ya mwaka 2000 ,or ndio mji wa kitalii labda.

Labda nipewe chimbo huenda nimeenda sehem sio lakini kwaweli ni majanga sana hapa.
Kuhusu misosi ipo mizuri tu,ukitoka bandalini,ukifika kwenye mataa,kata kulia ulizia jumba la trein,Kuna mgahawa mzuri tu,msosi wa nguvu,au ulizia ukumbi wa ccm,Kuna misosi mizuri sana kama Dar vile
 
Lipeni kodi ya uzalendo tuijenge Zanzibar yetu.
Wenyewe mnakili mnawanyonya Watanganyika leo mnataka kodi ya uzalendo!.

Umeme bei chee kuliko bara, aya sukari nyengine yatoka bara lakini bei hapo Unguja 1900kg.

Kina mamalishe wa darajani waliokiwa wanatuokoa mabachera menu ya jioni mmewafukuza kisa uchumi wa bluu 😂!.

Nyie watu Allah anawaona asee!.
 
Unaongea kama kichwani kwako kumefungwa nati badala ya ubongo. Umeshafika maeneo ya Mbweni, Mwambasa, Mazizini, ukajionea hayo maeneo yaliyopangika au hapo ulipofika ndio unaona umefika?

Kuhusu five star hotel nenda maeneo ya shamba huko Matemwe, Kiwengwa, Pwani Mchangani, Nungwi Jambiani, Paje kisha uje na mrejesho hapa.
Uko ulipo pataja hapafikii hata kijitonyama, Mikocheni, barabara mbovu , uko ulipo pataja kiwengwa, matemwe nungwi ndo hovyo kabisa wananchi wanaish vijumba vibovu hakuna maendeleo yoyote , hafu hakuna nyumba zaki fahari kabisa Yan, nyumba zao hawa pigi plasta nje, kwaiyo nyumba karibia zote nje hazija pigwa plasta.
 
Zanzibar had nyumba ni duni za watu nilishangaa mno
 
Back
Top Bottom