Zanzibar kupo ovyo sana. Kweli au nahitaji kueleweshwa?

Zanzibar kupo ovyo sana. Kweli au nahitaji kueleweshwa?

Kwanini uumizwe na maisha ya Wazanzibari wakati sio maisha yako? Ishi maisha yako na achana na maisha ya watu wengine!!
Umepaniki sana. Tulia....wewe si mkazi wa zanzibar....ngoma siyo yako why unaivalia kibwaya? Tulia......
 
Japokuwa sijawahi kufika Zanzibar ila pia sijawahi kabisa kuvutiwa na hicho kisiwa, Yani ni pa hovyo mno .. wamepita Marais wengi lakini hakuna kinachobadilika ..
Wewe ni kama mimi kila nikiwaza kwenda zenji nasema bora niende kigamboni
 
Umepaniki sana. Tulia....wewe si mkazi wa zanzibar....ngoma siyo yako why unaivalia kibwaya? Tulia......
Ninachoelewa sote ni binaadamu na wote ni Watanzania na kila mtu anaishi maisha yake! Uonavyo wewe kwa maisha yake sivyo yeye aonavyo kwa maisha yako, ndio maana unatakiwa uishi maisha yako achana na maisha ya wengine, huo ni utumwa wa fikra!!
 
Nimetembelea huu mji, kwa kweli ni mji ambao bado watu wamelala, migahawa ya kumulika kwa tochi vyakula havieleweki, nimeenda hadi forodhani yaani nyama za pale bei juu alafu hazina mvuto yaani rafu rafu tu.

Barabara za lami kama wamemwaga zege yaani , mainjinia sijui wameajriwa kwa kazi gani, nimehisi nimerudi Dar es Salaam ya mwaka 2000 ,or ndio mji wa kitalii labda.

Labda nipewe chimbo huenda nimeenda sehem sio lakini kwaweli ni majanga sana hapa.
Mimi nilienda huko nikapanda daladala namcheck konda eti kapaka uwanja aah..sikumweka nikamuuliza ...eti ananiambia ni sunah hiyo ...eeh nikabaki nashanga hawa watu wanaishi maisha ya Karne gani sijui .
 
Ninachoelewa sote ni binaadamu na wote ni Watanzania na kila mtu anaishi maisha yake! Uonavyo wewe kwa maisha yake sivyo yeye aonavyo kwa maisha yako, ndio maana unatakiwa uishi maisha yako achana na maisha ya wengine, huo ni utumwa wa fikra!!
Umepaniki sana. Tulia....wewe si mkazi wa zanzibar....ngoma siyo yako why unaivalia kibwaya? Tulia......
 
Mimi nilienda huko nikapanda daladala namcheck konda eti kapaka uwanja aah..sikumweka nikamuuliza ...eti ananiambia ni sunah hiyo ...eeh nikabaki nashanga hawa watu wanaishi maisha ya Karne gani sijui .
Kutembea ni kusoma, ukimshangaa aliyepaka wanja je vipi ukitembelea maeneo mengine ukikutana na wanaume wanavaa shanga kiunoni? Vipi halikushangazi la kuvaa shanga?
Kiukweli kila sehemu kuna tamaduni, desturi, mila na silka zake.
 
Kabla hujaenda nchi yoyote au mji wowote kwanza jisomee na kujua undani wake
Wapi kwa kwenda pindi unapokuwa hapo iwe NY au Kuala Lumpur au Maputo lazima ujue sehemu bora za kutembelea

Kama ukienda tu bila kujua ramani basi hata dereva wa Taxi unaweza kumwambia akupele sehemu maarufu na sehemu ambazo watalii wanaenda

Sasa lugha yenyewe moja na umeshindwa pa kwenda

Hata london kuna sehemu huwezi sema uko London ila inatakiwa uwe na mwenyeji kama ramani
 
Japokuwa sijawahi kufika Zanzibar ila pia sijawahi kabisa kuvutiwa na hicho kisiwa, Yani ni pa hovyo mno .. wamepita Marais wengi lakini hakuna kinachobadilika ..
Wewe hujawahi kufika huko tena vipi unatoa hukumu eti pa ovyo mno? Unanishangaza Wallahi.
 
Siyo hawapend kujionyesha tatitizo hawajielewi, ndiyo maana huwezi kumtofautisha mkuu wa mkoa, katibu mkuu wa wizara na wauza nazi sokoni, mkurugenzi wa Zec Zanzibar ana panda boti ya elfu 25000, kwenda kwenye kikao, Una zani mkurugenzi wa NEC utampandisha boat ya elfu 25000 kwenda kwenye kikao Zanzibar, kwa kifupi wa Zanzibar hawajui kutumia hela
Kuna kipindi nilicheka saana yaani nimekutana na Mkuu wa mkoa huku Zanzibar kwenye uzinduzi wa Zahanati analetewa msosi na jamaa kashika sahani ya chakula mkononi na sahani ya mchuzi mkono mwingine huku kidole kimedumbukia kwenye mchuzi na maji ya Mia tano kayaweka mfuko wa nyuma. Afu akamwekea mkuu wa mkoa na Mkuu akala.

Honestly Mimi siwezi kula kile chakula Ni kibovu afu mbebaji kabeba kwa Nia ya hatari na Hana hygiene wala usafi wowote isitoshe kidole kimedumbukia kwenye mchuzi na jamaa alilamba kidole baada ya kukabidhi msosi. Nilishangaa saana. [emoji15]
 
Kama hujawahi fika huo uovyo, umeuonaje[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Teknolojia ime advance mkuu, siku hizi Google map inakupeleka kila mitaa tena kwa picha ..
 
Ndio maana leo hii nikipata safari ya kwenda Mtwara siwezi kuwadharau wala kuwacheka Wamakonde kwa vile wanakula panya bali najua tamaduni zao zinaruhusu. Hivyo kikubwa nitakuwa nimepata uelewa kuhusu tamaduni za huko.
Wanajamii forum msiwe wepesi kubeza wala kujadili maisha, tamaduni mila, desturi wala silka za sehemu moja ama nyingine, kikubwa tunatakiwa tujifunze! Na ukienda sehemu yoyote ile kama mazingira huyajui basi jaribu kuulizia kwa wenyeji wako au vijana wa rika lako utakaowakuta huko. Binafsi mkoa wowote ule nikifika jambo la kwanza huulizia kwa wenyeji kuhusu maeneo au vitu ambavyo huwa napenda kama vinapatikana kwenye mkoa huo, na hata kama nikiona wenyeji wangu tamaduni zao ni tofauti na za kwangu huwa naficha madhaifu yangu niliyonayo ili nisiende kinyume na tamaduni/desturi za kwao.
 
Daladala zenyewe mafuso ya mizigo sijui kama wamebadilisha siku hizi?
 
Back
Top Bottom