jaap
JF-Expert Member
- Dec 25, 2018
- 4,888
- 6,459
Siku za sikukuu wanapanda kwenye daladala na bata, kukuDaladala zenyewe mafuso ya mizigo sijui kama wamebadilisha siku hizi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku za sikukuu wanapanda kwenye daladala na bata, kukuDaladala zenyewe mafuso ya mizigo sijui kama wamebadilisha siku hizi?
Sawa sawa... Hata ujenzi wa nyumba umegawanyika kutokana na jinsi wageni walivyokuwa wakiingia kisiwani humo.Zanzibar iko kwenye miji inayotambulika kuwa urithi wa Dunia, Historia ya miaka ya 1700-1800 inaakisiwa na majengo yake mengi makuu kuu. Kuwa kwenye orodha ya urithi ni wazi kuwa magofu yote yatakuwa na thamani pale hivyo, hakuna ruksa ya kuingiza usasa pale.... Labda ujengwe mji mpya seheme nyingine kama ilivyo kwa miji mingi mikongwe ya nchi za bara ulaya.
Wanapenda Kuvaa hovyo mashati makubwa, nguo zao za mitumba sijui inatoka nchi gani, nguo zao za mitumba tofauti na za dar, mitumba Yao mibayaKuna jambo umelisahau sehemu nyingi watu wamefanana sura halafu sura zenyewe mbaya mbaya tu
nilijua huyu jamaa lazima acomment.Nasikia hata lodge hakuna..sasa mji gani huo hata hawapendi wageni..hawa watu wabaguzi sana..ndio mana hawana hata maendeleo...kutwa kutegemea Tanganyika.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa Zanzibar RPC atamringia Nani wakati mkoa mzima una watu elfu nne labda!?Mtoa mada unamatatizo sio bure watu wenye wadhifa wao, utajiri na wafanyabiashara na mashuhuri wanaipenda Zanzibar ni sehemu moja iko kipekee kabisa kama una hela za kutumia nenda Zanzibar Tembelea stone town na uinjoy hotel za kifahari.
inasemekana Zanzibar ni sehemu pekee ukienda msikitini unaweza kuonana na waziri, wabunge , Rpc na ukapiga swaga nao bila shida yoyote ufahari, majivuno hawana wanaishi maisha yakawaida kabisa.
Sio sound mkuu... Nilikuwepo na nimeshuhudia mwenyewe hii ishu kwenye uzinduzi wa Zahanati ya Nungwi.Aisee we mtu punguza fiksi kidogo basi... dah!
Sasa mvuta bangi si anapewa connection na wenzake pakufikia?Huyu kafikia Jang'ombe [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125][emoji377][emoji377][emoji377]
Mkuu Ahsante sana kwa kuliona hili, kwa kweli nchi yetu ya Zanzibar inaendeshwa kienyeji mno, mji wa Zanzibar ndio Aibu, barabara hazina lami, mavumbi kila pahala, ujanja ujanja tu. Yaani kuendesha chombo mjini ni sawa sawa na kuendesha safina katika gharika.Nimetembelea huu mji, kwa kweli ni mji ambao bado watu wamelala, migahawa ya kumulika kwa tochi vyakula havieleweki, nimeenda hadi forodhani yaani nyama za pale bei juu alafu hazina mvuto yaani rafu rafu tu.
Barabara za lami kama wamemwaga zege yaani , mainjinia sijui wameajriwa kwa kazi gani, nimehisi nimerudi Dar es Salaam ya mwaka 2000 ,or ndio mji wa kitalii labda.
Labda nipewe chimbo huenda nimeenda sehem sio lakini kwaweli ni majanga sana hapa.
Kwa akili hizi wabara wanashida ndio maana matumizi ya serikali ni makubwa sana na maendeleo ni sifuriSiyo hawapend kujionyesha tatitizo hawajielewi, ndiyo maana huwezi kumtofautisha mkuu wa mkoa, katibu mkuu wa wizara na wauza nazi sokoni, mkurugenzi wa Zec Zanzibar ana panda boti ya elfu 25000, kwenda kwenye kikao, Una zani mkurugenzi wa NEC utampandisha boat ya elfu 25000 kwenda kwenye kikao Zanzibar, kwa kifupi wa Zanzibar hawajui kutumia hela
Kubali kataa wa Zanzibar hawajui kujiletea maendeleo ya kuanzia mtu binafsi mpaka Serikal YaoKwa akili hizi wabara wanashida ndio maana matumizi ya serikali ni makubwa sana na maendeleo ni sifuri
Tatizo wanapenda kufuga majini kila nyumba kuna fugwa jini, kingine wanahamin Sana ushirikina utakuta Mume hajaonekana nyumban siku mbili mke anaenda Kwa mganga ili amsaidie, baadala aende kutoa taarifa polisi na kwenda hospital kumtafuta , chakushangaza wanaenda kwa waganga.Mkuu Ahsante sana kwa kuliona hili, kwa kweli nchi yetu ya Zanzibar inaendeshwa kienyeji mno, mji wa Zanzibar ndio Aibu, barabara hazina lami, mavumbi kila pahala, ujanja ujanja tu. Yaani kuendesha chombo mjini ni sawa sawa na kuendesha safina katika gharika.
Mji upo ovyo utasema hakuna serekali. Hapo Malindi kwenye mataaa kuna barabara ya bwawani ni mbovu hatari, ajabu barabara hii inatumiwa sana na Shirika la bandari lakini wameshindwa kuiboresha. Pia kuna jengo la Benki ya PBZ la ghorofa moja tu lakini tunaambiwa limetumia billion 4 , pia na wao wameshindwa kutoa milioni 200 kutengeneza hii njia ya bwawani.
Kwa ujumla mji wa Zanzibar upo ovyo kwa kweli. Decision making zinafanywa na watu incompetent ambao wanajali matumbo yao tu
Unaongea kama kichwani kwako kumefungwa nati badala ya ubongo. Umeshafika maeneo ya Mbweni, Mwambasa, Mazizini, ukajionea hayo maeneo yaliyopangika au hapo ulipofika ndio unaona umefika?
Kuhusu five star hotel nenda maeneo ya shamba huko Matemwe, Kiwengwa, Pwani Mchangani, Nungwi Jambiani, Paje kisha uje na mrejesho hapa.
pale forodhani nikula mishikaki miwili ya samaki na maji ya matunda bili ikaja elfu 68 yaani wizi mtupu
Unaongea kama kichwani kwako kumefungwa nati badala ya ubongo. Umeshafika maeneo ya Mbweni, Mwambasa, Mazizini, ukajionea hayo maeneo yaliyopangika au hapo ulipofika ndio unaona umefika?
Kuhusu five star hotel nenda maeneo ya shamba huko Matemwe, Kiwengwa, Pwani Mchangani, Nungwi Jambiani, Paje kisha uje na mrejesho hapa.
Haya tutasubiri makombo ya wazungu, makoti na suruali za wazungu tupate kupendeza.Wanapenda Kuvaa hovyo mashati makubwa, nguo zao za mitumba sijui inatoka nchi gani, nguo zao za mitumba tofauti na za dar, mitumba Yao mibaya
Wenyewe mnakili mnawanyonya Watanganyika leo mnataka kodi ya uzalendo!.
Umeme bei chee kuliko bara, aya sukari nyengine yatoka bara lakini bei hapo Unguja 1900kg.
Kina mamalishe wa darajani waliokiwa wanatuokoa mabachera menu ya jioni mmewafukuza kisa uchumi wa bluu 😂!.
Nyie watu Allah anawaona asee!.