Tetesi: Zanzibar kupokea ndege 15 kutoka kwa Bakhressa

Tetesi: Zanzibar kupokea ndege 15 kutoka kwa Bakhressa

Hasara ya ATCL kuzidi kupaa labda wapigwe marufuku kutua bara vinginevyo pangaboi TUPUUUUU!!!

Kampuni za Azam zimeendelea kufanya mapinduzi ya uwekezaji kwa kuanza kuwekeza katika Usafirishaji Wa anga kwa kutegemewa hivi punde kushusha ndege 15 kwa ajili ya shughuli za usafirishaji kutoka Zanzibar kwenda maeneo jirani

View attachment 718548
 
Ndiyo kwao huku, huko Tanganyika kawasaidia ajira chungu tele kwenye viwanda huku ndipo anapotumia pesa (faida) inayotoka huko Tanganyika.
huyu mbona huwa anasaidia Zanzibar tu..sijawah sikia amesaidia bara?
 
Kwa sababu yeye ni Mzanzibar.

Wewe umeshawahi kusaidia Zambia?

Yeye sio Mtanganyika, huku alikuja kuchuma tu!

Mzanzibari siku zote anajiangalia kama Mzanzibar!

Na wewe ni Mtanganyika, ambae by law huruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar. Mtanganyika jielewe!
Mbona mi Nina kiwanja huko na nishaanza ujenzi na hakuna wa kunizuia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kandege Propel la engine moja? iki-fail bahati mbaya mmekufa, kanaanguka chini pwaaa! mnakuwa ni vumbi, kanaungua, na nchi yetu haina ndege zauokozi, mpaka kuja mpatikane hee! ee!ee! mmesha oza!
 
Kenya nayo ni nchi, mkiona nchi yenu ni bora wataenda Nairobi, Mombasa na kwingineko.
Sasa hivi hamumtishii kitu, Azam wapo karibia nchi zote za Afrika mashariki mkikataa kununua mikate yake atawauzia Kenya, mkimzimia Azam tv atarusha kutokea Kenya, Rwanda na Uganda.
Kule Fumba ameamua kuwalazimisha muende wenyewe kwa hela yenu na wiki hii anakuja na Hotel Verde mtaenda hata kwa mitumbwi tu kushangaa.
Salute mkuu
 
Kwa hiyo tangu mwezi March, 2018 hii habari bado ni tetesi?
 
Sio kuisaidia bali anawekeza kama wengine kina Coastal air,precision air,regional air nk.

Kumbuka ameishawekeza kwenye hotel kubwa ya kitalii huko.
So lazima awekeze kwenye usafirishaji watalii ili wafikie vivutio vya utalii kwa kirahisi zaidi.[emoji1241][emoji818]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom