124 Ali
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 7,813
- 5,514
ungekuwa msafiri wa ndani maeneo tofauti ungeelewa tu .Kununua hizo ndege kwa kipindi hiki cha mdororo wa uchumi nchini sidhani kama zitaleta matokeo chanya kwake
Route za zanzibar /dar to Arusha ,
zanzibar/dar dodoma .dar/znz tanga /pemba siku zote watu hukaa foleni kusubiri nafasi