gemmanuel265
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 8,485
- 18,048
Kununua hizo ndege kwa kipindi hiki cha mdororo wa uchumi nchini sidhani kama zitaleta matokeo chanya kwake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Mimi nimewaza hilo.Ila wenyewe wanasema hakuna mdodoro wa uchumi tz ya viwonderKununua hizo ndege kwa kipindi hiki cha mdororo wa uchumi nchini sidhani kama zitaleta matokeo chanya kwake
Yule nadhan anafanya biashara kwa uweledi mkubwa nadhan Atakua keshausoma mchezoKununua hizo ndege kwa kipindi hiki cha mdororo wa uchumi nchini sidhani kama zitaleta matokeo chanya kwake
Yule mpemba hajawahi kulenga biashara ikagonga mwamba....zingatia hilo.Kununua hizo ndege kwa kipindi hiki cha mdororo wa uchumi nchini sidhani kama zitaleta matokeo chanya kwake
Yule mpemba hajawahi kulenga biashara ikagonga mwamba....zingatia hilo.
Atakuwa halengi faida ya muda mfupi.. Guenda anatala kudominate soko katika kipindi hiki.. Kujenga uhusiano mzuri na wateja.. Japo hatengenezi faida ila atavuna customer royalty..Kununua hizo ndege kwa kipindi hiki cha mdororo wa uchumi nchini sidhani kama zitaleta matokeo chanya kwake
Hahusiki na hizo. muhusika unamjuwa halafu unajifanya mwehu.Sawa mwambie atuletee na zile bombardier zetu
Na hapa ndio nashindwa kuelewa.. Yaani timu ya ushauri ya bakhresa inawashinda wachumi wa nchi kung'amua mambo madogo..Wanaobeza hawajui soko la ndege, mambo huanza hivyo na badae utashangaa Azam airline wanashusha Boeing zakutosha.
Kununua hizo ndege kwa kipindi hiki cha mdororo wa uchumi nchini sidhani kama zitaleta matokeo chanya kwake
We unajibu kwa chuki dhidi ya serikali, hivi hivyo vindenge unadhani vingeleta faida gani? Target ya rais ni kuona ATCL ikipanuka na ndege angalau nzuri na zenye kumudu safari siyo hizo mbayuwayu.Na hapa ndio nashindwa kuelewa.. Yaani timu ya ushauri ya bakhresa inawashinda wachumi wa nchi kung'amua mambo madogo..
Tunakimbilia ndege kuubwa wakati hata wateja na soko hatujaliandaa.. Namtabiria jamaa kufanya wonders kwenye hili.