Tetesi: Zanzibar kupokea ndege 15 kutoka kwa Bakhressa

Tetesi: Zanzibar kupokea ndege 15 kutoka kwa Bakhressa

Huyu jamaa ana akili sana,huwa anaanza taratibu!...eti usafiri wa ndege kutoka Zanzibar kwenda maeneo ya karibu!!
 
Muulize Bashite atakuambia yalipo, vipi wale dada zenu walijazana huko uajemi mtawarudisha lini?
Au watakua ndugu zenu hamna mtanganyika anaeweza kwenda urabuni bila sababu yaweza kua nini dada maana nyie ndo mna connection na waarabu
 
Mbona JPM anaipamba Chato na kusahau sehemu nyingine?

Inaelekea yeye anafikiria URAIS wake ni wa CHATO na sio TANZANIA nzima!!!! Unaona ziara zake ni mikoa ya kanda ya ziwa tu na sio Lindi, Mtwara, Ruvuma, Iringa, Mbeya na hata Songwe!!! Akisha unda mkoa wa CHATO atakuwa anashinda huko huko kwani kutakuwa karibu na DODOMA na kiwanja cha ndege kitakuwa tayari!!! Sintashangaa akihamishia IKULU huko kwao Chato.
 
Au watakua ndugu zenu hamna mtanganyika anaeweza kwenda urabuni bila sababu yaweza kua nini dada maana nyie ndo mna connection na waarabu
Huku kule ni sawa na kwao, mnaoemda kufanyiwa utafiti wa miili yenu ni nyinyi huko hasa dada zenu na ndugu zenu wa kiume wamewadanganya wanajenga viwanja Qatar kumbe sio kweli, fatilia uatajua tu na ukitaka kujua mmeharibika hebu watazame wanaume wanaoishi Dar wote wanakahanya kachalii ka Koromije tena mbele ya wake zenu hamsemi kitu mbele yake. Sasa kwa wanaume wa kweli hawawezi kuzimia mbele ya kichalii kutoka mashenzini.
 
Huku kule ni sawa na kwao, mnaoemda kufanyiwa utafiti wa miili yenu ni nyinyi huko hasa dada zenu na ndugu zenu wa kiume wamewadanganya wanajenga viwanja Qatar kumbe sio kweli, fatilia uatajua tu na ukitaka kujua mmeharibika hebu watazame wanaume wanaoishi Dar wote wanakahanya kachalii ka Koromije tena mbele ya wake zenu hamsemi kitu mbele yake. Sasa kwa wanaume wa kweli hawawezi kuzimia mbele ya kichalii kutoka mashenzini.
ukithitisha kama kama tulivyojione mamazenu wakiandamana kuhusu kiringo ntakupa like
 
Huku kule ni sawa na kwao, mnaoemda kufanyiwa utafiti wa miili yenu ni nyinyi huko hasa dada zenu na ndugu zenu wa kiume wamewadanganya wanajenga viwanja Qatar kumbe sio kweli, fatilia uatajua tu na ukitaka kujua mmeharibika hebu watazame wanaume wanaoishi Dar wote wanakahanya kachalii ka Koromije tena mbele ya wake zenu hamsemi kitu mbele yake. Sasa kwa wanaume wa kweli hawawezi kuzimia mbele ya kichalii kutoka mashenzini.
Acha kuleta uvumi wa mitandao mi nakuletea fact za kiringo na wazenj wawili wew unanletea story
 
ukithitisha kama kama tulivyojione mamazenu wakiandamana kuhusu kiringo ntakupa like
Bora huku kina mama wana uthubutu wa kuandamana kuliko huko wanaume hamuwezi hata kusema maandamano.
Hebu fikiria mijibaba mizima imeshindwa kujua shida zao inamtegemea kajidada kamoja kembamba kanakoishi nje kawasemee, kibaya zaid mkiulizwa nani kawatuma mnajibu bila aibu mbele ya wake zenu...Da Mange ndio kasema, sasa kwa akili hizo kuna wanaume hapo au mapichapicha?
 
Kaandika Maulid wa kitenge katika ukurasa wake
IMG-20180318-WA0023.jpg
 
Wale upande wa pili sjui watatoa povu kuhusu hili suala. Sjui watasifia...?.

Ngoja tusubiri tuone.
 
Back
Top Bottom