Tetesi: Zanzibar kupokea ndege 15 kutoka kwa Bakhressa

Tetesi: Zanzibar kupokea ndege 15 kutoka kwa Bakhressa

Wanaobeza hawajui soko la ndege, mambo huanza hivyo na badae utashangaa Azam airline wanashusha Boeing zakutosha.
Upo sahihi kwani kaka yake yupo kwenye industry hiyo kwa muda mrefu hivyo atamshauri ma kumwongoza vyema! Wengine wanawaza abiria wa east Africa na kusahau zaire na nchi za kusini yetu!
 
kafanya investiment ya maana fumba zanzibar,hizo ndege nimuendelezo wa hiyo project.Hakika atafanya zanzibar uwe mji wa aina yake
 
We unajibu kwa chuki dhidi ya serikali, hivi hivyo vindenge unadhani vingeleta faida gani? Target ya rais ni kuona ATCL ikipanuka na ndege angalau nzuri na zenye kumudu safari siyo hizo mbayuwayu.
Ndugu unaongea kwa chuki dhidi yangu.. Hakuna anayekataa.. Huwezi kuanza kwenye regional/international business kwa mtaji wa kusuasua..

Na sio napinga maendeleo..ya Taifa.. Nachopinga ni approach na a quick gratification scheme. Tunataka kufika mwisho bila kuwekeza mwanzo..

Hatutaweza.. Iko hivyo.. Duniani hakuna shortcut.. Mbuyu hawezi kukuzwa bila kuwa kama mchicha kwanza.. Unless tukanunue mbuyu mzima tuuhamishie hapa.

Biashara yoyote ni mindset.. Na wateja wanayotabia ya kukua na we we.. They feel they are part of the family.. Ndio maana kwenye biashara yoyote inaanza taratibu kwa udogo.

Lazima tutoe pongezi pale zinapohitajika. Na lazima tutoe mawazo mbadala pia.. Tukitaka kuisuuza roho haraka.. Tuone ATCL in midege mikubwa mingi tunaweza.. Je watu wanafata ndege au wanafata huduma?! Wanafata kampuni jina au wanafata uhakika wa huduma.. ?!

Customer service yetu poor... Watu hata mabosi wakubwa hawajui wajibu wao.. Unaona kila Siku wakurugenzi wa halmshauri wanavyotia aibu.. Unadhani mpk ucompete kwenye international business community itachukua you just buying big planes??!
 
Namshauri bakhresa aongee na dangote akiweza ahamishe kile kiwanda kule mtwara mana hakuna umuhimu wa kua na kiwanda kisichofanya kazi
 
kafanya investiment ya maana fumba zanzibar,hizo ndege nimuendelezo wa hiyo project.Hakika atafanya zanzibar uwe mji wa aina yake
Watu wengi hamfuatilii.. Yupo very strategic.. Huenda Nairobi nayo ikawa affected badly na Huyu jamaa. Zanzibar inawinda international community and expatriates wa east Africa.. Wao mmoja mmoja na biashara zao.. Hii ni moja tu ya sehemu kubwa ya mradi mzima.
 
Ndugu unaongea kwa chuki dhidi yangu.. Hakuna anayekataa.. Huwezi kuanza kwenye regional/international business kwa mtaji wa kusuasua..

Na sio napinga maendeleo..ya Taifa.. Nachopinga ni approach na a quick gratification scheme. Tunataka kufika mwisho bila kuwekeza mwanzo..

Hatutaweza.. Iko hivyo.. Duniani hakuna shortcut.. Mbuyu hawezi kukuzwa bila kuwa kama mchicha kwanza.. Unless tukanunue mbuyu mzima tuuhamishie hapa.

Biashara yoyote ni mindset.. Na wateja wanayotabia ya kukua na we we.. They feel they are part of the family.. Ndio maana kwenye biashara yoyote inaanza taratibu kwa udogo.

Lazima tutoe pongezi pale zinapohitajika. Na lazima tutoe mawazo mbadala pia.. Tukitaka kuisuuza roho haraka.. Tuone ATCL in midege mikubwa mingi tunaweza.. Je watu wanafata ndege au wanafata huduma?! Wanafata kampuni jina au wanafata uhakika wa huduma.. ?!

Customer service yetu poor... Watu hata mabosi wakubwa hawajui wajibu wao.. Unaona kila Siku wakurugenzi wa halmshauri wanavyotia aibu.. Unadhani mpk ucompete kwenye international business community itachukua you just buying big planes??!
Mkuu unaona hizo ndege zilizonunuliwa na serikali ni kubwa mno? Hivi mfano serikali ingenunua hivyo vi single engine crafts vingeleta ufanisi gani?
Elewa kuwa any business inahitaji Quality and Quantity of the service.
Hizi bombardiers Q400 8dash ni ndege nzuri zenye bei angalau ndogo kulingana na uchumi wetu, pia zinabeba abiria wengi kuliko hizo single engine crafts,

Bombardiers zinaweza kufanya routes ndani ya east and central Africa kwa ufanisi mzuri.
Pia tuna ndege kubwa zinategemewa kuja nchini, zitasaidia kuimarisha utalii na kupngeza pato la taifa.
 
Hongera sana Mzee bakhresa..yule Mangi akiona atazidi kuumia sana.
 
Mkuu unaona hizo ndege zilizonunuliwa na serikali ni kubwa mno? Hivi mfano serikali ingenunua hivyo vi single engine crafts vingeleta ufanisi gani?
Elewa kuwa any business inahitaji Quality and Quantity of the service.
Hizi bombardiers Q400 8dash ni ndege nzuri zenye bei angalau ndogo kulingana na uchumi wetu, pia zinabeba abiria wengi kuliko hizo single engine crafts,

Bombardiers zinaweza kufanya routes ndani ya east and central Africa kwa ufanisi mzuri.
Pia tuna ndege kubwa zinategemewa kuja nchini, zitasaidia kuimarisha utalii na kupngeza pato la taifa.
Tupo pamoja kabisa.. Tunahitaji soko la nje.. Ila kuna kipindi cha kujifunza.. Tungejifunza kwa kuwasafirisha hawa watalii wakishafika hapa ndani..

Tujue taste yao... Tujue wanaexpect nn.. Tujue wanakosa nn huko katika international trips.. Watu wetu wajifunze wajue kukirimu.. Tuwafundishe lugha.. Tuandae mfumo wa kitaifa wa kuisambaza sifa ya tanzania..

Wafanyakazi katika ndege wajue historia ya taifa lao.. Waweze kushiriki mazungumzo kwa ufasaha.. Tuweze kudevelop our cuisine yote haya ni muhimu..

Maana watu hawapandi ndege tn kama mizigo.. Wanatafuta experience.. Na sisi kama taifa kwa sasa we have none to offer. Tunayo safari ndefu sana.. Service unayoipata ndani ya Fastjet ni tofauti sana na ATCL.. Why?! Walio nyuma ya fastjet wanaujua usafiri wa anga a generation ahead of us.. Lazima tukubali kujifunza..

Wote tunaitakia mafanikio nchi hii. Lakini before taking a step we should take a moment to plan. Hata kama hatutaweza Leo basi tuwaandae watanzania Wa miaka ijayo kufika huko. Roma ilijengwa kwa miaka 500 imagine.. Five generation later .. Tusiwe na uharaka mkubwa hivyo..
 
Tupo pamoja kabisa.. Tunahitaji soko la nje.. Ila kuna kipindi cha kujifunza.. Tungejifunza kwa kuwasafirisha hawa watalii wakishafika hapa ndani..

Tujue taste yao... Tujue wanaexpect nn.. Tujue wanakosa nn huko katika international trips.. Watu wetu wajifunze wajue kukirimu.. Tuwafundishe lugha.. Tuandae mfumo wa kitaifa wa kuisambaza sifa ya tanzania..

Wafanyakazi katika ndege wajue historia ya taifa lao.. Waweze kushiriki mazungumzo kwa ufasaha.. Tuweze kudevelop our cuisine yote haya ni muhimu..

Maana watu hawapandi ndege tn kama mizigo.. Wanatafuta experience.. Na sisi kama taifa kwa sasa we have none to offer. Tunayo safari ndefu sana.. Service unayoipata ndani ya Fastjet ni tofauti sana na ATCL.. Why?! Walio nyuma ya fastjet wanaujua usafiri wa anga a generation ahead of us.. Lazima tukubali kujifunza..

Wote tunaitakia mafanikio nchi hii. Lakini before taking a step we should take a moment to plan. Hata kama hatutaweza Leo basi tuwaandae watanzania Wa miaka ijayo kufika huko. Roma ilijengwa kwa miaka 500 imagine.. Five generation later .. Tusiwe na uharaka mkubwa hivyo..
Mr I think you're dreaming of success over an empty pocket!!
We cannot invest on theoretical frameworks rather on practical arenas at which we could be rectifying the business according to its conditioning parameters!!

Fastjets and other counterparts of the Atcl have won the market cause the Atcl had no good crafts and predictable routes!! Now we're in the process of adjustments, finally we will harvest a plenty of customers!!

We must have some spirits of daring not suppositions!!
 
Mr I think you're dreaming of success over an empty pocket!!
We cannot invest on theoretical frameworks rather on practical arenas at which we could be rectifying the business according to its conditioning parameters!!

Fastjets and other counterparts of the Atcl have won the market cause the Atcl had no good crafts and predictable routes!! Now we're in the process of adjustments, finally we will harvest a plenty of customers!!

We must have some spirits of daring not suppositions!!
Unayohaki kubwa juu ya kile unachochagua kuamini. Mimi kwangu moja sio muumini wa maendeleo yasiyo rafiki. Unafanya kulingana na uwezo.

Kwa hali ya uchumi wetu usafiri wa ndege ulikuwa ni dhana ngeni.. Ulipaswa kujengewa utamaduni kwanza. Pili hata kama tunayahitaji sana maendeleo hatuwezi kuyataka Leo kwa mgongo wa uhakika wa kesho ya watanzania Wa kizazi kijacho.

Unaimani kubwa kiasi gani kuwa watu milioni 55wa tanzania wanahitaji madege makubwa Leo ili waende wapi?! Hao watalii wanaokuja tanzania tunahakika kiasi gani watachagua kutumia ndege zetu kuja tanzania kisa tu zinamilikiwa na serikali?!

Kama nilivyoanza Siamini kabisa na hii dhana tukope..tuwadeprive watanzania na investment zinaweza kuongeza Tija zaidi kama kuwaongezea kipato, elimu bora na afya.. Tulete ndege kubwa kubeba watalii.. Kwa nn zisiwe ndogo ziwabebe watanzania?!

Maendeleo endelevu sio kuwa na Nyumba ya Ghorofa na mkopo wa milioni mia mbili bank.. Just because a friend will praise you.. Tutaendelea kweli kama tutaweza kuwa na kauli zetu, kujiamini hata kama hatuna hiyo International company.. Kikubwa hatuna madeni ya hovyo hovyo.. Kwa vitu ambavyo vipo bound to fail right from the start.

Lazima tuheshimu rasilimali..na mojawapo ni kuzitumia for greater good kwa kizazi hiki na kijacho. Sio kwa sifa ya kizazi hiki. SISI NI MASIKINI tukubali na tuanzie hapo.. Tutauza hii nchi kwa maamuzi mabovu ya Leo.

NB; I wud careless ..what any body else says, as long as we are respected and we are content. Bila kuwaibia wajukuu na vitukuu. Kwa ujumla tunamtazamo mmoja ila ni wapi/kipi kianze kwanza ndio tunatofautiana.
 
Unayohaki kubwa juu ya kile unachochagua kuamini. Mimi kwangu moja sio muumini wa maendeleo yasiyo rafiki. Unafanya kulingana na uwezo.

Kwa hali ya uchumi wetu usafiri wa ndege ulikuwa ni dhana ngeni.. Ulipaswa kujengewa utamaduni kwanza. Pili hata kama tunayahitaji sana maendeleo hatuwezi kuyataka Leo kwa mgongo wa uhakika wa kesho ya watanzania Wa kizazi kijacho.

Unaimani kubwa kiasi gani kuwa watu milioni 55wa tanzania wanahitaji madege makubwa Leo ili waende wapi?! Hao watalii wanaokuja tanzania tunahakika kiasi gani watachagua kutumia ndege zetu kuja tanzania kisa tu zinamilikiwa na serikali?!

Kama nilivyoanza Siamini kabisa na hii dhana tukope..tuwadeprive watanzania na investment zinaweza kuongeza Tija zaidi kama kuwaongezea kipato, elimu bora na afya.. Tulete ndege kubwa kubeba watalii.. Kwa nn zisiwe ndogo ziwabebe watanzania?!

Maendeleo endelevu sio kuwa na Nyumba ya Ghorofa na mkopo wa milioni mia mbili bank.. Just because a friend will praise you.. Tutaendelea kweli kama tutaweza kuwa na kauli zetu, kujiamini hata kama hatuna hiyo International company.. Kikubwa hatuna madeni ya hovyo hovyo.. Kwa vitu ambavyo vipo bound to fail right from the start.

Lazima tuheshimu rasilimali..na mojawapo ni kuzitumia for greater good kwa kizazi hiki na kijacho. Sio kwa sifa ya kizazi hiki. SISI NI MASIKINI tukubali na tuanzie hapo.. Tutauza hii nchi kwa maamuzi mabovu ya Leo.

NB; I wud careless ..what any body else says, as long as we are respected and we are content. Bila kuwaibia wajukuu na vitukuu. Kwa ujumla tunamtazamo mmoja ila ni wapi/kipi kianze kwanza ndio tunatofautiana.
Usafiri wa anga ni sehemu mhimu sana katika uchumi wa nchi, halafu sio lazima watanzania milioni 55 wapande hizo ndege ndio uone faida, its a matter of direct and indirect benefit to the community!!

Allamsik mkuu
 
Back
Top Bottom