Al Zagawi
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 2,508
- 1,566
Mtu kwao.....huyu mbona huwa anasaidia Zanzibar tu..sijawah sikia amesaidia bara?
By the way....hatoi msaada anafanya investments.....investors wanaangalia wapi kuna potential ya kutengeneza faida not charity...