commonmwananchi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 3,377
- 1,956
Adui wao mkubwa ni ujinga wao, na kupenda vya bure kutoka OmanManeno mengine utafikiria mtu anazungumza dhidi ya watu wa taifa jingine kabisa na wala siyo watanzania wenzake. Dhambi yao kubwa ni kuwa si wana CCM!
Kuna kazi kweli kweli kama kuelewa jambo dogo namana hii inakuwa shida ndiyo mnaweza kuelewa kwamba CCM huwa wanaiba kura na sasa wameshindwa kuiba za dar es salaam wanaleta mauza uza!?Haya huo uchawi wako na fujo ziendelee tu utaona matokeo yake na tija ya ushabiki wako utaipata.
wewe mzima kweli au hauko sawa, safi ya kitu gani gani?Safi sana!! Hakuna marefu yasiyo na ncha!!
Kwa hiyo unafurahia machafuko?Safi sana!! Hakuna marefu yasiyo na ncha!!
Hapana Mkuu. Nimemsifia huyo anayedhani kwamba wapinzani wa CCM ni halali kupigwa au "kukomeshwa". Sifurahi machafuko lakini ki ukweli kabisa mimi sipo kwenye nafasi ya kuyazuia bali wale walio kwenye madaraka ndiyo wana nafasi hiyo!!Kwa hiyo unafurahia machafuko?
Singida dodoma, humu watu wengi hawako kisiasa Bali kimaumivu zaidi, kwa hiyo saa ingine ni kuwapotezea tu, kuna viroba vingi sana kwenye baadhi ya wachangiajiwewe mzima kweli au hauko sawa, safi ya kitu gani gani?
Wacha tuwe wajinga wazanzibar kwa kutetea maslahi ya wazanzibar,ila mkataa kwao ni mtumwa rejesheni tanganyika yenu mkate minyororo ya mkoloni mweusi fisiemAdui wao mkubwa ni ujinga wao, na kupenda vya bure kutoka Oman
Kwani yeye kaandika nini? Au umetoka hapo Falcon kula na kurukia kompyuta bila ya kuangalia nini kinajadiliwa?wewe mzima kweli au hauko sawa, safi ya kitu gani gani?
kwahio furaha yako uambiwe uongoHuna tofauti na choose cha stendi... Zaidi ya ugali na zinaa akili zako haziwezi waza kingine... Hopeless kabisa
Kwani unguja sio zanzibar au?Wacha tuwe wajinga wazanzibar kwa kutetea maslahi ya wazanzibar,ila mkataa kwao ni mtumwa rejesheni tanganyika yenu mkate minyororo ya mkoloni mweusi fisiem
Huyu sio mzimawewe mzima kweli au hauko sawa, safi ya kitu gani gani?
Acha unafikiHapana Mkuu. Nimemsifia huyo anayedhani kwamba wapinzani wa CCM ni halali kupigwa au "kukomeshwa". Sifurahi machafuko lakini ki ukweli kabisa mimi sipo kwenye nafasi ya kuyazuia bali wale walio kwenye madaraka ndiyo wana nafasi hiyo!!
Unatafuta kick JF... Huna kazi unatanga tanga kama kiwavi... Hopeless kabisa bora waliokuvamia kipindi kile wangekupasua bichwa lako hilo lililojaa usaha....Tapika nyongo
ule tena
Nipo kipande?Huyu sio mzima
Hujaelewa kwakuwa umejiunga na mazuzuKampeni zimekwisha bado tu hamjabadili lugha zenu za jalalani?
Hahaha unafurahisha vichaa wenzieUnatafuta kick JF... Huna kazi unatanga tanga kama kiwavi... Hopeless kabisa bora waliokuvamia kipindi kile wangekupasua bichwa lako hilo lililojaa usaha....
Anayewafuga kwa sasa haoni tatizo...ila shida ya misukule siku mkicharuka mtamla nyama!Zimezidi za yule aliyesema ametumwa kutangaza majina ya waliochelewa kurejesha fomu?