Zanzibar: Mahujaji Kupata Chanjo ya Corona

Zanzibar: Mahujaji Kupata Chanjo ya Corona

Mabibi na mabwana inatia moyo sana tunapokuwa na serikali sikivu kama za awamu hii. Madhali haya mambo ni hiari ya mtu, kwanini tupangiane?

View attachment 1785261

Wewe hutaki chanjo? Si ubakie bila kuchanjwa? Kwani pilipili usizozila zikuwashe wewe vipi?


Heko Dr. Mwinyi na Mama Samia. Mdogo mdogo tutafika tu.

View attachment 1785265

Heko Mufti Mkuu kwa kuliweka wazi, tunao wajibu wa kuzilinda afya zetu.
Maajabu Ni kuwa wote walikuwepo enzi zile za giza
 
Unafiki upi? Wewe hutaki chanjo kwa nini hutaki wanaotaka kuchanjwa wachanjwe?

Nyinyi bakini na kina Gwajima. Si mko vizuri?
Mimi nawashangaa kuna watu utasema wamerogwa kwani uliambiwa lazima uchome? anayetaka atachoma lakini usizuie watu wanaotaka kuchoma sababu wewe hutaki. Gwajima kawaambia mtazaa mazezeta hapo hajachomwa kishakuwa zezeta. Hawa waliaminisha kwa watu wao wanafufua watu na wanawaamini kabisa lakini siku JPM kaondoka utasema siyo yeye anayefufua watu.
 
Nafuu wamesema wazi kuliko kuleta propaganda kuwa tuna corrona tuvae mask mara chanjo ipi inafaa,wachanjwe tu wahusika wakahiji si kutuletea nchi nzima nchi iko salama.Kama ingekuwepo corrona kama tunavyotaka kuaminishwa wakati wa kumuaga mwendazake watu walivokuwa wanajaa basi tungelia na kusaga meno kwa kupoteza watu wengi.

Na sisi tunaotaka chanjo hali hatuendi kuhiji kwa maoni yako ndiyo imekula kwetu?

Kwamba nyie hamtaki chanjo? Si msichanjwe? Hiyo haitoshi tu ila na sisi wengine tusichanjwe ndicho mnachotaka?

Watu wa namna gani nyie?!
 
Nioneshe mgonjwa wa Corona

IMG_20210515_070726_153.jpg


Hiiiiii bagosha!
 
Acha kuzunguka.
Nioneshe mgonjwa wa Corona

Jinafasi ufike mahospitalini.

Ila usisahau kuwa wale vinara wa kuifukuza Corona kwa maombi wengine hatunao. Pia waliosifiwa kukomaa na maombi leo hii busara imewarejelea.

IMG_20210515_070726_153.jpg


Aisifuye mvua itakuwa imemnyea:

IMG_20210514_210624_218.jpg


Ushauri wa tume ya wataalamu unaendelea kufanyiwa kazi mdogo mdogo. Hiyo ndiyo habari yenyewe.
 
ENDELEA KURUKA RUKA
Jinafasi ufike mahospitalini.

Ila usisahau kuwa wale vinara wa kuifukuza Corona kwa maombi wengine hatunao. Pia waliosifiwa kukomaa na maombi leo hii busara imewarejelea.

View attachment 1785430

Aisifuye mvua itakuwa imemnyea:

View attachment 1785432

Ushauri wa tume ya wataalamu unaendelea kufanyiwa kazi mdogo mdogo. Hiyo ndiyo habari yenyewe.
 
Lini inakuja chanjo?
bure au na hela?
La msingi ni kuwa mama keshaliona. Kazi inapoendelea chanjo inakuja. Kila mtu na lwake:

"Asiyetaka chanjo haya! Anayetaka chanjo haya!"

Ya nini tupigishane kelele?
 
Back
Top Bottom