Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
Kipindi hicho ukivaa barakoa unaonekana msaliti, , jk peke yake ndo aliforce kuvaa na alisemwa mnoUnafiki tuu,,Mbona kwa JPM hata barakoa walikataa kuvaaa. RIP JPM Jembe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipindi hicho ukivaa barakoa unaonekana msaliti, , jk peke yake ndo aliforce kuvaa na alisemwa mnoUnafiki tuu,,Mbona kwa JPM hata barakoa walikataa kuvaaa. RIP JPM Jembe.
Huyu jamaa ni mnafiki kiwango cha lami...waambie wanachokitafuta watakipata.
Wewe umechanja? Au unatumika tu kama condom?!!
Jembe lililoshindwa kulima CORONAUnafiki tuu,,Mbona kwa JPM hata barakoa walikataa kuvaaa. RIP JPM Jembe.
Kaka MUNGU YUPO.Huyu jamaa ni mnafiki kiwango cha lami...View attachment 1785483View attachment 1785484
Kipindi hicho ukivaa barakoa unaonekana msaliti, , jk peke yake ndo aliforce kuvaa na alisemwa mno
Walikuwa wanaogopa kubambikiwa Kesi ya UgaidiUnafiki tuu,,Mbona kwa JPM hata barakoa walikataa kuvaaa. RIP JPM Jembe.
Tunaendelea na awamu ya sita mkuu. Nyinyi wapiga domo tunawacheki tu na kusema hiiiiiiii.. nipo napata supu yanguvu sijui wewe uko kwa Mtogole au??!!Umeamka bado na wenge kichwani? Hii awamu ya sita. Jikumbushe:
View attachment 1785482
Upate kutambua mburula wa Chatto wewe kuwa awamu ya tano haipo tena.
Hiiiiii bagosha!
Watapatia wapi chanjo na hapa nchini tumeomba sana tupatiwe chanjo na mpaka sasa chanjo hakuna. Wajitahidi kupiga nyungu.
Kama ni chanjo kweli ije tu unless kama unalako jambo au unampango wakuleta chanjo feki nini??!! Nakuona umeng'ang'ania kweli kweli. Vipi umepewa tenda nini ya kuleta chanjo feki kutoka majuu??Chanjo inakuja. Aliyekuwa akiipiga vita mwenyewe hakujua kuwa aliihitaji mno. Madhali sasa hayupo na tume ya mama haiitaki upumbavu, utekelezaji wa ushauri wake: "mwenye macho haambiwi tazama."
Tena wewe tunakudunga chanjo utosini ili akili irudi.Mkuu vipi umeshachanja?
Tunaendelea na awamu ya sita mkuu. Nyinyi wapiga domo tunawacheki tu na kusema hiiiiiiii.. nipo napata supu yanguvu sijui wewe uko kwa Mtogole au??!!
Kama ni chanjo kweli ije tu unless kama unalako jambo au unampango wakuleta chanjo feki nini??!! Nakuona umeng'ang'ania kweli kweli. Vipi umepewa tenda nini ya kuleta chanjo feki kutoka majuu??
Hahahahahahaha.....Tena wewe tunakudunga chanjo utosini ili akili irudi.
Hahahahah..Niko raha mstarehe katika awamu ya 6. Mola katuona na kutupa "Suluhu" ya matatizo yetu.
Niko Chatto nafanya utalii wa ndani nijiridhishe haya mabati na shujaa, Matumizi ya international airport, Maendeleo Burigi, Hospitali ya rufaa, Chatto kuwa mkoa nk.
Pamoja na uote hayo nikifuatilia alipo Sabaya na Suluhu kafika wapi na matumizi sahihi ya wataalamu kwenye mambo nyeti bila kuisahau chanjo hii muhimu sana kwa maisha ya binadamu.
Habari ndiyo hiyo ndugu yangu msukuma.
Hiiiiii bagosha!
Hahahahah..Niko raha mstarehe katika awamu ya 6. Mola katuona na kutupa "Suluhu" ya matatizo yetu.
Niko Chatto nafanya utalii wa ndani nijiridhishe haya mabati na shujaa, Matumizi ya international airport, Maendeleo Burigi, Hospitali ya rufaa, Chatto kuwa mkoa nk.
Pamoja na uote hayo nikifuatilia alipo Sabaya na Suluhu kafika wapi na matumizi sahihi ya wataalamu kwenye mambo nyeti bila kuisahau chanjo hii muhimu sana kwa maisha ya binadamu.
Habari ndiyo hiyo ndugu yangu msukuma.
Hiiiiii bagosha!
Mimi NIMRI na nyungu ndizo zimeniponyesha Corona mkuu naziheshimu sana tu!Umeanza kwa kunena vyema: "Kama ni chanjo kweli ije." Bila shaka ulimaanisha kila mtu atakuwa huru kuchagua.
Ukamalizia na ule utopolo wenu wa siku zote:
"Nakuona umeng'ang'ania kweli kweli." Afya zetu hatukumkabidhi mtu pori hata siku moja na nyungu, juice za Madagascar wala za NIMRI, nk. Sembuse mamburula mataga wahedi nyie?
Tuna maliza hili kuna ripoti za BOT na TPA. Labda huko nako kama tuna tenda kutoka majuu!
Hahahahah..
Mimi NIMRI na nyungu ndizo zimeniponyesha Corona mkuu naziheshimu sana tu!