Zanzibar: Mahujaji Kupata Chanjo ya Corona

Zanzibar: Mahujaji Kupata Chanjo ya Corona

Hizo ndiyo zimemuwahisha kwenda kuongoza malaika ndugu yetu huyu, kiasi sasa niko hija kama nilivyokwisha kukutaarifu.

Kwani mama anavyoendelea kupata ushauri tokea kwa tume yake umesikia tena nyungu, maombi au hizo juice za jamukaya?

Hivi sasa mambo iko huku:

View attachment 1785541


View attachment 1785542


Zanzibar tayari wanaongelea AstraZeneca kutia timu watu waendelee na shughuli zao.
Corona imeshashindwa na NIMRI na Nyungu hata wewe umetumia sana acha kubwabwaja mkuu!!
 
Corona imeshashindwa na NIMRI na Nyungu hata wewe umetumia sana acha kubwabwaja mkuu!!

Ukweli mchungu, Tanzania kwa muda huu inamhitaji sana mtu kama mama Samia rais wa JMT, mtu mwenye lugha laini, busara na subira ya kutosha.

Kama taifa tuna tofauti kubwa sana ya elimu, uelewa na hata kujitambua. Taifa limegawanyika mno.

Bila kumvunjia mtu heshima hata aliye mjinga mno pole pole tutafika.

Mdogo mdogo mama atairejesha kwa watu wote busara ya kuwaachia wataalamu husika kutuvusha katika changamoto kama hizi.
 
Sijakataa.
Tatizo hizo chanjo za majaribio.
Umeambiwa hao wanaochanjwa ni kwaajili ya kwenda hija mkuu
Screenshot_20210512-192312.jpg
 
Brazaj kama ni kazi ya propaganda ya chanjo ya korona umeifanya. Unastahili malipo.
Kejeli juu ya hayati JPM umezidi kipimo. JPM ameacha wafuasi isicheze na legacy ya JPM.
 
Brazaj kama ni kazi ya propaganda ya chanjo ya korona umeifanya. Unastahili malipo.
Kejeli juu ya hayati JPM umezidi kipimo. JPM ameacha wafuasi isicheze na legacy ya JPM.

Uzuri ni kuwa sihitaji malipo na sikufanya kazi ya propaganda. Nimejizungumzia mwenyewe na mahitaji yangu binafsi ya chanjo na washirika wangu kwa kuyanusuru tu maisha yetu na gonjwa hili.

Usisahau kuwa duniani tunaishi mara moja tu.

Sijakuongelea wewe wala yeyote na kutohitaji kwenu kwa Chanjo.

JPM na legacy yake inanihusu nini mimi niliyejikuta hatarini au wapendwa wetu waliopoteza maisha kwa Corona kutokana na misimamo yake tusiyokubaliana nayo?

Pole lakini kama kuyapigania maisha yangu na wapendwa wangu kwa nguvu zangu zote, wewe imekuwa ikikukwaza kwa namna yoyote.

Habari ndiyo hiyo.
 
Hivi wabongo tunataka chanjo kwa sababu mataifa mengine wanachanjwa au kwa sababu ya kuwakomoa wasiotaka? Kwa sababu huko mtaani sioni wananchi kuzungumzia uhitaji wa chanjo na kwa sababu wanaishi maisha yao kawaida kana kwamba hawajasikia kuwepo corona duniani, maongezi ya chanjo za corona hujadiliwa kwenye mada za kisiasa tu. Sasa najiuliza hawa wanaotaka chanjo ni kwa ajiri ya kinga ya corona au kuwakomoa wasiozitaka ili ionekana hatuwezi kushindana na wazungu?
 
Zanzibar sasa kumewiva:

IMG_20210520_184050_636.jpg


Kongole Dr. Hussein Mwinyi. Hakika udaktari wako ni ule wa maradhi ya binadamu.

Cc: mjingamimi.
 
Back
Top Bottom