Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Maajabu Ni kuwa wote walikuwepo enzi zile za gizaMabibi na mabwana inatia moyo sana tunapokuwa na serikali sikivu kama za awamu hii. Madhali haya mambo ni hiari ya mtu, kwanini tupangiane?
View attachment 1785261
Wewe hutaki chanjo? Si ubakie bila kuchanjwa? Kwani pilipili usizozila zikuwashe wewe vipi?
Heko Dr. Mwinyi na Mama Samia. Mdogo mdogo tutafika tu.
View attachment 1785265
Heko Mufti Mkuu kwa kuliweka wazi, tunao wajibu wa kuzilinda afya zetu.
Chanjo ni lazima. Mataga pori mjiandae kisaikolojia mtake msitake lazima mdungwe chanjo
Mimi nawashangaa kuna watu utasema wamerogwa kwani uliambiwa lazima uchome? anayetaka atachoma lakini usizuie watu wanaotaka kuchoma sababu wewe hutaki. Gwajima kawaambia mtazaa mazezeta hapo hajachomwa kishakuwa zezeta. Hawa waliaminisha kwa watu wao wanafufua watu na wanawaamini kabisa lakini siku JPM kaondoka utasema siyo yeye anayefufua watu.Unafiki upi? Wewe hutaki chanjo kwa nini hutaki wanaotaka kuchanjwa wachanjwe?
Nyinyi bakini na kina Gwajima. Si mko vizuri?
Maajabu Ni kuwa wote walikuwepo enzi zile za giza
Nafuu wamesema wazi kuliko kuleta propaganda kuwa tuna corrona tuvae mask mara chanjo ipi inafaa,wachanjwe tu wahusika wakahiji si kutuletea nchi nzima nchi iko salama.Kama ingekuwepo corrona kama tunavyotaka kuaminishwa wakati wa kumuaga mwendazake watu walivokuwa wanajaa basi tungelia na kusaga meno kwa kupoteza watu wengi.
Ingia kaburini kule Chato umuulize aliyekuwa anasema hakuna corona ila watu wanakufa kwa ''hofu'' naye alivyokufa kwa ''hofu''.Na hapo ndo utagundua huu UGONJWA NI wa propaganda.
Ingia kaburini kule Chato umuulize aliyekuwa anasema hakuna corona ila watu wanakufa kwa ''hofu'' naye alivyokufa kwa ''hofu''.
Acha kuzunguka.
Nioneshe mgonjwa wa Corona
Jinafasi ufike mahospitalini.
Ila usisahau kuwa wale vinara wa kuifukuza Corona kwa maombi wengine hatunao. Pia waliosifiwa kukomaa na maombi leo hii busara imewarejelea.
View attachment 1785430
Aisifuye mvua itakuwa imemnyea:
View attachment 1785432
Ushauri wa tume ya wataalamu unaendelea kufanyiwa kazi mdogo mdogo. Hiyo ndiyo habari yenyewe.
ENDELEA KURUKA RUKA
La msingi ni kuwa mama keshaliona. Kazi inapoendelea chanjo inakuja. Kila mtu na lwake:
"Asiyetaka chanjo haya! Anayetaka chanjo haya!"
Ya nini tupigishane kelele?
Lini inakuja chanjo?
bure au na hela?
Hiyo itakuwa bure. Lini yaja mama rais wa JMT atalitangazia taifa rasmi kabisa.
Mwenye kutaka atapata. Halazimishwi mtu. Amani amani.
Kuna vitu vya bure sasa hivi
Vya bure vipo. Kwenu elimu bure hujaisikia?
Kama elimu bure vivyo hivyo na chanjo hii.
Wewe umechanja? Au unatumika tu kama condom?!!Unafiki upi? Wewe hutaki chanjo kwa nini hutaki wanaotaka kuchanjwa wachanjwe?
Nyinyi bakini na kina Gwajima. Si mko vizuri?
Haya endelea KUOTA
Mkuu vipi umeshachanja?Chanjo ni lazima. Mataga pori mjiandae kisaikolojia mtake msitake lazima mdungwe chanjo