Corona imeshashindwa na NIMRI na Nyungu hata wewe umetumia sana acha kubwabwaja mkuu!!Hizo ndiyo zimemuwahisha kwenda kuongoza malaika ndugu yetu huyu, kiasi sasa niko hija kama nilivyokwisha kukutaarifu.
Kwani mama anavyoendelea kupata ushauri tokea kwa tume yake umesikia tena nyungu, maombi au hizo juice za jamukaya?
Hivi sasa mambo iko huku:
View attachment 1785541
View attachment 1785542
Zanzibar tayari wanaongelea AstraZeneca kutia timu watu waendelee na shughuli zao.
Uoneshwe kama nani,hujui maeneo wanakolazwa wagonjwa? Si uende hospitalNioneshe mgonjwa wa Corona
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Chanjo ni lazima. Mataga pori mjiandae kisaikolojia mtake msitake lazima mdungwe chanjo
Gwaji ndio daktari ? Ko Tzn tuu ndio watazaa mazezeta huko Duniani hapana au sioMkuu umemaliza kila kitu:
"Gwajima kawaambia mtazaa mazezeta hapo hajachomwa kishakuwa zezeta."
Hahaahaaa haa haa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hata ikiwa pesa si tunalinda afya ,Vya bure vipo. Kwenu elimu bure hujaisikia?
Kama elimu bure vivyo hivyo na chanjo hii.
Uoneshwe kama nani,hujui maeneo wanakolazwa wagonjwa? Si uende hospital
Umeambiwa hao wanaochanjwa ni kwaajili ya kwenda hija mkuuTanzania hakuna Corona.
Haina haja ya kuhangaika na hayo machanjo ya majaribio.
Corona imeshashindwa na NIMRI na Nyungu hata wewe umetumia sana acha kubwabwaja mkuu!!
Umeambiwa hao wanaochanjwa ni kwaajili ya kwenda hija mkuu
Sasa kama hutaki chanjo si usiende kuhiji tuSijakataa.
Tatizo hizo chanjo za majaribio.View attachment 1785645
Sasa kama hutaki chanjo si usiende kuhiji tu
Hela yenyewe ya kwenda kuhijj nnayo.Sasa kama hutaki chanjo si usiende kuhiji tu
Hela yenyewe ya kwenda kuhijj nnayo.
Brazaj kama ni kazi ya propaganda ya chanjo ya korona umeifanya. Unastahili malipo.
Kejeli juu ya hayati JPM umezidi kipimo. JPM ameacha wafuasi isicheze na legacy ya JPM.
Mwambie awe anavaa na barakoa.Zanzibar sasa kumewiva:
View attachment 1791929
Kongole Dr. Hussein Mwinyi. Hakika udaktari wako ni ule wa maradhi ya binadamu.
Cc: mjingamimi.
Hahaahaaa haa! Tanzania hakuna Corona kuanzia lini?