Zanzibar: Makamu wa Kwanza wa Rais, Maalim Seif Sharif Hamad, Mkewe Bi Awena waambukizwa virusi vya Corona

Pumbaf
 
je ni dhambi ya usaliti kwa CHADEMA ndiyo naye amelipwa>
 
Hamna ujanja lazima chanjo iletwe tu hapa
 
Ugua pole Mzee

Mbona mtu kugua unaibeba kwenye ya Siasa!!!!! Mjitambue na kutenfa mengine.. Muendelee kusali na kutoogopa covid-19 mengi hadi muambiwe nini tena.. mpewe plan mufanyaje na familia zenu au.
Upotolo hata ulichokiandika hakijulikani
 
Yaani ACT ndio wanatoa taarifa za Makamu wa kwanza wa Rais ??

Huo ni ukiukwaji mkubwa wa protokali.
Hata akili huna wewe,Maalim ni Mwenyekiti wa ACT wazalendo hivyo kama chama wana haki ya kutoa taarifa ya Mwenyekiti wao.
 
Hata akili huna wewe,Maalim ni Mwenyekiti wa ACT wazalendo hivyo kama chama wana haki ya kutoa taarifa ya Mwenyekiti wao.
Haya ndio matatizo ya kuwapa nafasi vyama vya mifukoni kama ACT na Chadema kila kitu wanaleta uchama uchama tu, wewe unavyoona ni sawa mfano Samia taarifa zake zitolewe na Ofisi ya CCM badala ya ofisi yake??

Ndio maana Mungu anatuepusha Sana na vyama Kama hivi visutuletee majanga tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…