Zanzibar: Mama ajifungua na kuzika mtoto wake

Zanzibar: Mama ajifungua na kuzika mtoto wake

Mama mmoja aliyefahamika kwa jina la Mchanga Omar Said mkazi wa kijiji cha Sizini wilaya ya Micheweni visiwani Zanzibar ameripotiwa kuwa amejifungua na kukizika kichanga kikiwa hai.

Akizungumza katika eneo la tukio ,mkuu wa wilaya ya Micheweni Mgeni Khatib Yahya amelaani tukio hilo na kutaka vyombo vya sheria kuchukua hatua stahiki juu ya mama huyo.

Kwa upande wake daktari wa zamu wa wilaya ya Micheweni amesema baada ya kufukua kaburi hilo walibaini kuwepo na chembechembe zinazobainisha ni viungo vya binadamu.
Kumbe kule Kwa yule bibi maisha ni magumu ?
 
Mleta uzi hujaleta habari kamili

Huyo mama ameachika kwenye ndoa ya watoto 6
Amepata mimba ya 7 bila ndoa, kaona aibu kutokana na mila za watu wa zenji ndio akaamua kumzika mtoto mchanga kukwepa aibu!

Cc: Clouds Tv
Aisee
 
Mleta uzi hujaleta habari kamili

Huyo mama ameachika kwenye ndoa ya watoto 6
Amepata mimba ya 7 bila ndoa, kaona aibu kutokana na mila za watu wa zenji ndio akaamua kumzika mtoto mchanga kukwepa aibu!

Cc: Clouds Tv
Si bora angetoa mimba kabla haijakuwa! Umalaya wake ndiyo amuue mtoto!
 
Si bora angetoa mimba kabla haijakuwa! Umalaya wake ndiyo amuue mtoto!
Hapo hakuna chenye ubora. Hata kutoa mimba ni kuua vilevile.
Afadhali hata angemtelekeza hapo hospital akatoroka, huenda mtoto angepata msamaria wa kumlea.
 
Back
Top Bottom