peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Kumbe kule Kwa yule bibi maisha ni magumu ?Mama mmoja aliyefahamika kwa jina la Mchanga Omar Said mkazi wa kijiji cha Sizini wilaya ya Micheweni visiwani Zanzibar ameripotiwa kuwa amejifungua na kukizika kichanga kikiwa hai.
Akizungumza katika eneo la tukio ,mkuu wa wilaya ya Micheweni Mgeni Khatib Yahya amelaani tukio hilo na kutaka vyombo vya sheria kuchukua hatua stahiki juu ya mama huyo.
Kwa upande wake daktari wa zamu wa wilaya ya Micheweni amesema baada ya kufukua kaburi hilo walibaini kuwepo na chembechembe zinazobainisha ni viungo vya binadamu.
AiseeMleta uzi hujaleta habari kamili
Huyo mama ameachika kwenye ndoa ya watoto 6
Amepata mimba ya 7 bila ndoa, kaona aibu kutokana na mila za watu wa zenji ndio akaamua kumzika mtoto mchanga kukwepa aibu!
Cc: Clouds Tv
Utazini umbwa weweKijiji kinaitwa "Sizini"
Labudaaaa.....πππHata mimi nimemshangaa
Labda kwa sababu zenji wanavaa mashungi marefu ilikua ngumu watu kugundua ana mimba
Si bora angetoa mimba kabla haijakuwa! Umalaya wake ndiyo amuue mtoto!Mleta uzi hujaleta habari kamili
Huyo mama ameachika kwenye ndoa ya watoto 6
Amepata mimba ya 7 bila ndoa, kaona aibu kutokana na mila za watu wa zenji ndio akaamua kumzika mtoto mchanga kukwepa aibu!
Cc: Clouds Tv
Kawaida Mashoga ndio hugundua hiliKawaida KE ndiyo wanatakiwa kuandika hivi.
AiseeKawaida Mashoga ndio hugundua hili
Hapo hakuna chenye ubora. Hata kutoa mimba ni kuua vilevile.Si bora angetoa mimba kabla haijakuwa! Umalaya wake ndiyo amuue mtoto!