Mungu wangu hivi hawa watu wasio mwogopa Mwenye Enzi Mungu wametokea wapi hapa duniani?
Uwiii [emoji24]
 
Meli ni ya serikali, imekarabatiwa kwa Tsh 3.6 Bilion inauzwa milion 536?

Sasa mnasema tuende naye hadi 2030, tunaenda naye wapi?
 
Weka andiko tusome na usisahau kujaza source 1 & 2 na unachokijua
 
Chogo tulia huko huko bara. Mambo ya visiwani tuachie wenyewe.
 
Zanzibar hiyo. Pia walinunuwa meli mpya ambayo haikufanya kazi hatà miezi sita. MV MAPINDUZI 2.
 
Wameuza meli hiyo kwa sultani wa Zanzibar?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…