Zanzibar: Midoli ya kutangazia nguo zisizo na stara yapigwa marufuku kuwekwa nje ya maduka

Hiyo midoli ilikuwa inatamanisha sana! Unakuta mdoli wa kike umevaa bikini tako lote nje, mapaja yanaonekana. Bora waipige marufuku tu. Ila wanaweza kuivalisha hijabu na ushungu ikalipa tu. Chupi, bikini na brazia wanaozihitaji watazikuta ndani ya duka
 

Kukosa kazi huko,hao vijana hawana maadili wawape maadili kwanza hao vijana,pia kama vipi watunge sheria sio kutafuta kiki.[emoji706]
 
Yaani hili taifa lina vituko🤣 linafanya kila namna wananchi wake wasitende dhambi, wanawake hawatakiwi kukatiza maeneo ya misikiti siku za ibada, mara ukivaa hivi utamtamanisha mwanaume. Ila ndo wanaongoza kwa kusaliti ndoa zao. Golf club kule wateja wao ndo hao hao wanaotoa matangazo ya midoli huku. Kwanini msiachane na huu unafki ndugu zetu? Ishini tu kama sisi. Hakuna anaetaka kujiita msafi utaenda kujuana na Mungu wako huko.

Na tunakoelekea znz inaenda kuwa kama iran. Yaani mnaamka asubuhi sheria ya kunyongwa itapitishwa kama mtu akitenda kosa. Punguzeni unafki
 
Serikali mliiweka wenyewe watawala wavamizi , mnapiga kelele Za kazi gani?
 
Serikali mliiweka wenyewe watawala wavamizi , mnapiga kelele Za kazi gani?
Waliiweka wakina nani? Anaepiga kelele nani? Kwani mi mzanzibari au umechanganya mafaili?

Alafu hizo sheria zingekua zimetungwa dodoma zingefanyika hadi bara. Ila too sad. Unafki unaendeshwa huko huko kwenu visiwani
 
Badala ya kuhangaika na kufeli fomfoo kwa kizazi kijacho, wako bize na vitu visivyo na tija.
Stars ndio kitu gani? Hayo magauni Yao yanayo ficha uso yamewafikisha wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…