THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
- Thread starter
- #41
Nani kanyimwa uhuru wa kuabudu Zanzibar, ingekuwa ni hivyo umaarufu huu wa Zanzibar kama ni sehemu karim Kwa wageni ungekuwapo?Baada ya kuungana tumekubaliana Uhuru wa kuabudu na si kulazimishana.
Hizo ni chuki tuh za makafiri nyinyi wa huku bara.