Zanzibar msiposimama imara kuendelea kulinda mila na tamaduni zenu, heshima yenu duniani itashuka

Zanzibar msiposimama imara kuendelea kulinda mila na tamaduni zenu, heshima yenu duniani itashuka

Mnalishwa Bure kwani wewe hujui? Kuanzia viongozi wenu mpaka hayo mabaraza yenu pamoja na wabunge wenu wewe unafikiri Kwa mapato ya utalii yanatosha kuwalisha hao wote na kuendesha nchi? Acha ujuha tanesko tu yenyewe inawadai deni kubwa kiasi halilipiki mnakula umeme Kwa jasho la wabara Sasa mmevimbiwa mnaanza kujamba hovyohovyo Waheed nyie wapemba kwenu Oman rudini huko mkalinde utamaduni wenu
Wao wapo tayar hata Sasa huo muungano muuvunje,usije ukadhani ya kwamba wao Wana dhiki kiasi Cha kufikia kuukumbatia,na aliekwenda kutoa proposal ya muungano siyo Zanzibar,ni Tanganyika utambue.

Wewe Lia ikibid saga meno ila ukienda Zanzibar utake usitake fuata sheria za pale
 
Hawana sababu za kulalamika ni Wageni.
Watanganyika wanasema, Wazanzibar wakitaka ardhi Tanganyika au fursa wanasema sisi ni nchi moja.
Halafu leo unawalinganisha na Wakenya au Wanyarwanda

Watanganyika wanatoa pesa nyingi sana kwa Serikali ya Zanzibar, nyingi kuliko Bajeti yao.
Leo unawalinganisha na Wanyarwanda

Ikiwa unataka Wtaanganyika wawe wageni! itakula kwao maana nusu yao wanaishi Tanganyika tena bila malipo.
Wanapata huduma kama rai wengine. Hivyo Kuna sababu Watanganyika kulalamika.

Huwezi kuwatumia kama 'toilet paper'

Chuki na Zanzibar itoke wapi? Kuna nini cha ziada. Wengine tumeamua kuitetea Tanganyika! kama ni chuki iitwe


Naikiwa mtu wa Pwani nakubaliana nawe. Tatizo ni pale yule mtu aliyekula Zanzibar alikuwa anaadhibiwa kwa UBARA.
'' hayo mambo ni ya bara, huyu ni bara' na kila aina ya tusi kana kwamba Ubara ndio umemtuma mtu ale.
Lakini pia mtu aliyeadhibiwa ni kwa UBARA, Wazungu, Wakenya wakila sawa. Hapo ndipo chuki inapoanza

Kumwadhibu mtu kwa UBARA ni chuki ndiyo inawatibua Watanganyika.

sheria zisibague Ubara
Kigezo Cha kusema sheria zisibague ubara ni kipi Sasa,ile video au kipi,it seems una mafundo fundo yako ya muda mrefu,ila hii video ya Juzi imekuwa kama ni point of eruption tuh.

Wabara wengi wanaishi Zanzibar Kwa Amani na upendo,hiyo ya kusema sheria isibague ubara bila shaka inatoka kwako.
 
Usichanganye imani ya dini na utamaduni, Unataka kusema uislam ni utamaduni wa zanzibar wakati inajulikani uislam ni utamaduni wa kiarabu na zanzibar si nchi ya kiarabu/kiislam. Kama vipi ijitangaze ni nchi ya kiarabu/kiislam ili mgeni anapoingia hapo ajue kuwa kaingia katika nchi/jimbo/mkoa unaoongozwa kwa tamaduni/sheria/sharia za kiislam/kiarabu. Vinginevyo hiyo sehemu ni jamhuri ya muungano wa tanzania yenye uhuru sawa na bara raia wote wako huru kula wakati wote bila kubughudhiwa kwa sababu za dini
 
Dini ya kobazi ni ya kijima sana! Mtu akila mbele yako wewe inakuathiri nini kama si kujiendekeza?

Hao wazungu wasipokuja kutalii thamani ya Zanzibar itakua nini? Ile minyoo mnayosoma imewaharibu sana akili!
Ukienda wewe kula tu barabarani. Wacha porojo za watalii.
 
Kigezo Cha kusema sheria zisibague ubara ni kipi Sasa,ile video au kipi,it seems una mafundo fundo yako ya muda mrefu,ila hii video ya Juzi imekuwa kama ni point of eruption tuh.

Wabara wengi wanaishi Zanzibar Kwa Amani na upendo,hiyo ya kusema sheria isibague ubara bila shaka inatoka kwako.
Hapana! tunachoeleza ni jinsi Wazanzibar walivyo wabaguzi

Hiyo video si kigezo, ni kwamba Wazanzibar wana chuki sana na Watanganyika, wakisahau kwamba Tanganyika ndilo Taifa pekee duniani lililowabeba na kuwapa kila fursa. It is coming to an end soon! Wenye Tanganyika yao wanaidai

Hao makachu kachu ni Wazanzibar kwasababu huwezi kupata kazi bila kuwa na kitambulisho cha Uzanzibar

Wabara wanaishi Zanzibar kwa amani ipi? Hawana haki ya kazi, masomo wala Ardhi. Ukimya si amani.
 
Friends and Our Enemies,

Beautiful Islands Of Africa, Zanzibar...
Fahari pekee iliyobakia Africa na inayozidi kuwakilisha ubantu na TAMADUNI za heshima ni wewe Zanzibar.

Watu wengi wakitaka kujitambulisha Kwa wageni WASIO ifaham Tanzania basi utawaskia wakisema huko kuwaambia wageni kuwa Mimi ninatokea Tanzania ile Nchi ya Mlima Kilimanjaro na visiwa vya marashi ya Zanzibar...

Asitokee MTU kuwatisha na kuwadhihaki eti kisa tuh nyinyi mmeamua Kwa dhati na uzalendo kabisa kusimamia MILA na TAMADUNI ZENU.

Tokea zama na enzi Zanzibar imekuwa na utaratibu wa kuheshimu Imani za wananchi wake na za wageni mbalimbali wanaoingia ndani ya visiwa hivyo.

Wageni wanapokaribishwa Zanzibar siku zote hupewa sheria na taratibu za kuishi na wenyeji wa visiwa hivyo na bila kinyongo wageni hao wamekuwa wakizikubali na kuziheshimu, kiasi Cha kufikia kuishi na Kisha kutamani kurudi Tena na Tena ndani ya visiwa hivyo.

Wanaokwazika na TAMADUNI za Zanzibar kiasi Cha kufikia kuona kama ni kero kwao au wanatengwa basi siyo lazima Kwa wao kwenda,wabakie makwao ambako wao wanaona Wana uhuru wa kujiamulia kuishi Kwa namna wapendavyo wao.

ZANZIBAR, endelea kusimama IMARA pasipo na kutetereka.

Zanzibar, mmenikumbusha msimamo imara wa Qatar, ambapo walipoandaa world cup finals na kuwakatalia wazungu kuwa wao hawakubali kuruhusu kampeni za LGBTQ katika finals hizo Kwa namna yoyote Ile.

Japo, wazungu walinuna wengine kutishia kutoshiriki lakini Qatar walisimamia msimamo wao na mashindano yaliendelea Kwa mafanikio makubwa yasiyo na kifani.

Hongera sana Zanzibar,Dumisheni Mila na Tamqduni zenu pasi na kuhofia kitu chochote.
Bila shaka ni kobasii wewe
 
Kinchi kisicho na chochote hiki kinachowategemea wageni (watalii) ndiyo unachotaka kiwagomee wageni??

Mashoga na mateja waliotapakaa kila kaya huko Zanzibar, ni shemu ya Mila na tamaduni? Mbona hatuawahi kuwasikia mkiendesha kampeni ya kuwachapa viboko mateja na mashoga?

Kilichofanyika Zanzibar ni ushenzi unaoweza kuzalisha magaidi wa kidini. Kwani wewe kama umefunga, anakukwaza nn ambaye anakula? Tanzania bara Kuna waislam wengi sana lkn hakuna ushetani huo. Acha mawazo ya kijinga kama haya.
tena chakula kinaliwa mpaka malangoni pa misikiti mchana peupe, kuna fremu zao zina migahawa watu wanakula kwa amani bila hofu ya kuvamiwa. Sasa huo uislam wa zanzibar ni uislam gani huo mpaka uwe kero kwa wanaokula mchana?
 
Nani hafahmu kuwa wabara mmekuwa mnakimbilia fursa kama hizo Zanzibar?

Kutaka kuifanya Zanzibar iwe lango kuu la ukahaba, ushoga, ulevi na kila aina ya laana?

Lengo ni kutaka kuipoteza identify ya Zanzibar na TAMADUNI zake...

Zanzibar,Wamekataa Hilo.
unajenga hoja dhaifu sana wakati huo uchafu umetamalaki zanzibar mpaka inatia aibu, acha kubagua watanzania kwa misingi ya dini muhuni wewe
 
Lengo lenu la kutaka kuifanya Zanzibar iwe kitivo Cha uovu haitafanikiwa.

TAMADUNI za Zanzibar na wazanzibar tokea miaka na miaka zinafahamika.

Hata Rate za maambuki ya HIV na magonjwa ya zinaa Kwa wanzibar ni almost zero,mnachotaka ni kuona Zanzibar inaingia kwenye hizo laana unazozisema,hamtafanikiwa.

Kama unakwazika na TAMADUNI za Zanzibar,bakia kwenu bara.
kwani zanzibar ni taifa la kigeni tofauti na tanzania? Ile ni tanzania hakuna mtanzania anayefanya hila kuharibu tamaduni nzuri huko, ila udini haukubaliki, usilete ubaguzi kubagua watu wa taifa moja
 
Kama wewe umekubali agizo la papa la kutaka uolewe,basi usidhani wote tutakubaliana na Hilo, nyinyi makafiri mna dini yenu na wale Wana dini yao,hujalazimishwa kwenda Zanzibar,SI ubakie kwenu?
acha kumtaja papa, hajasema habari za kuolewa, unashupaza shingo kwa hoja mufilisi, acha udini
 
Labda kama hujaishi na kukaa ZANZIBAR.

Kila wkend tunaona boti Zinavyojaa Malaya kutoka sehemu mbali mbali bara kwenda kuwinda wazungu na wageni Zanzibar,Hilo kwani Lina Siri?SI lipo wazi tuh?

Kampeni ya kuitaka kuichafua na kuua utamaduni wa wanzibar hazijaanza Leo,zimeanza muda mrefu tuh,na haya Sasa ni matokeo tuh,pamoja na nguvu kubwa kutumika ila Zanzibar imejitahidi sana kusimama IMARA,kwanini mnataka kulazimisha wafuate Mila zenu?
zanzibar ni tanzania we mwehu, huwezi kubagua watu wa taifa moja kwa misingi ya tamaduni na dini, huo ni ushenzi unaopaswa kukemewa kwa nguvu zote
 
Hivi mambo ya Mwezi Mtukufu ni utamaduni wa Zanzibar ?
Mi ninavyo jua huo ni utamaduni wa Mwarabu aliyeitawala Zanzibar.
Au mnataka kusema Mwarabu aliishi Zanzibar kabla ya Mzanzibari?
Au Mzazibari hana tamaduni kabisa?
Mpemba alikuwa na tamaduni zake kabla ya kuvamiwa na Mwarabu na kumrithisha utamaduni wake.
Haya ndiyo madhara ya kudharau tamaduni zetu na kukumbatia tamaduni za wengine.
 
Nani kavaa bango usoni au mgongoni anapobeba mzungu au Malaya ya kwamba yeye ni mzanzibar au mtannganyika au mkenya?
Bila kitambulisho cha Uzanzibar ukaazi huwezi kupata kazi. Wale Vijana Forodhani wanatambuliwa rasmi na wanalipwa kuitangaza Zanzibar. Hakuna Mtanganyika anayeaajiriwa na SMZ kwasababu ni Mbara au Chogo.

Lakini nikubaliane na hoja yako kwa muda, je si wewe unayetambua malaya wa Tanganyika! Je, wana mabango usoni au mgongoni. Kupanda Boti ndiyo alama ya Utanganyika. Kwani Boti Wazanzibar hawapandi.

Hoja yako pale Buckingham Palace wanasema 'self inflicted wound''
Utaweza vipi kumtambua,hata wamasai kutoka Arusha now days wamejaa Zanzibar kutafuta wazungu.

Haya mmasai kaja na sime zake na visu,mfano tuh tuseme Kwa mfano Zanzibar wawe wanakataza kutembea na vifaa hivyo kwao ni hatarishi na kuamua kumzuia mmasai kisheria,unataka mmasai akikaidi aachwe Kisa eti ni uhuru wake mbona akiwa Tanganyika hasumbuliwi?

Basi kama hawezi kufuata hizi taratibu huyo mmasai na anataka uhuru basi arudi zake Tanganyika.

Dar es salaam ukitupa taka taka hovyo hakuna MTU anakufanya chochote,ila Moshi na Kigali ukitupa taka taka hovyo ukishikwa by laws zitakubana mahakamani ulipe faini au kifungo,ni utaratibu tuh.
Tena Wamasai ndio kabisaa. Hivi Wamasai wamekuwepo Zanzibar miaka mingapi. Kwanini mwaka huu wafurushwe.
Wanafukuzwa kwasababu ya sera ya kulinda ajira za Wazanzibar. Hakuna tatizo kama hilo

Tatizo linakuja pale ambapo Wabaguzi hao wanapopewa asilimia 21 za kazi kutoka kwa Wamasai wakilipwa mishahara kwa kodi za Wamasai. Wazanzibar hawabaguliwi wakiwa bara, wanapata kila kitu lakini chuki dhidi ya Watanganyika imepita kiwango.

Walinde sheria na Tamaduni zao kwasababu wana katiba, tunataka Tanganyika yetu ili tusigombane nao.
Tanganyika itakayowajali Wamasai waliofukuzwa Zanzibar na Wananchi wake
 
Mila na sheria Zao ziko prescribed kwenye by laws,nenda Moshi katupe taka taka hovyo uone kama hujampelekwa mahakamani,msilazimishe Mila zenu Kwa miji ya watu.
unalinganisha kula na kutupa taka? Si kila by law itakubalika na kuheshimiwa na wananchi wote. Zipo by law ambazo zinakubalika kwa wote na sio huo udini unaotaka ufuatwe na raia wote
 
Eti utamaduni¡¡¡¡ Zanzbar ina utamaduni au huu ulioletwa na waarabu waliokuwa na wanauza babu zetu kama nyanya? Dubai imeendelea sana je wameacha utamaduni wao? Zanzbar hakuna utamaduni bali vichwa vingi vya wazanzbar vimejaa utumwa usio na elimu kichwani kwaiyo kumezaliwa ujinga wa hali ya juu, pambaneni na tatizo la ushoga uliotapakaa huko dunia itawaelewa sio kupambania ujinga usio na msingi kwenu, mtu kula mchana mbele yako kuna uhusiano gani na nia yako uliyoiweka usiku baada ya kula daku mbele ya mola wako? Ni utumwa na ujinga tu uliwajaa vichwani full 🛑
 
Wewe ndie hueelewi na unataka kujifanya kuwa ni mwerevu kumbe ni mjinga.

ZANZIBAR kuungana na Tanganyika na kuitwa eti Tanzania visiwani siyo kigezo eti Mila na TAMADUNI za bara basi ziwe ni lazima huko Zanzibar.

Zanzibar ni nchi pia yenye Rais wake,bunge,mahakama zake na kadhalika, Zanzibar kama nchi Ina by laws zake ambazo wakazi wa hapo na wageni lazima kuzifuata, Zanzibar siyo mkoa wa Tanzania,ni nchi hiyo.

Besides, utamaduni huo Zanzibar upo tokea muda mrefu tuh,why tusiskie miaka yoote hiyo mje nyinyi kulalama Leo?

Kama mmeshindwa kukaa huko Zanzibar Rudini kwenu,siyo lazima.
zanzibar si nchi ya kiislam kama unavyoi brand na kuinasibisha na utamaduni wa kiarabu/kiislam, kama inataka iheshimiwe kwa utamaduni huo basi ijitangaze ni nchi ya kiislam dunia nzima ijue ukifika huko ufuate utamaduni wa kiislam maana ni sheria inayoongoza nchi hiyo. Vinginevyo we ni mchochezi na mbaguzi, ngoja tukupige spana ukome kubagua watu wa taifa
 
Wewe ndie hueelewi na unataka kujifanya kuwa ni mwerevu kumbe ni mjinga.

ZANZIBAR kuungana na Tanganyika na kuitwa eti Tanzania visiwani siyo kigezo eti Mila na TAMADUNI za bara basi ziwe ni lazima huko Zanzibar.

Zanzibar ni nchi pia yenye Rais wake,bunge,mahakama zake na kadhalika, Zanzibar kama nchi Ina by laws zake ambazo wakazi wa hapo na wageni lazima kuzifuata, Zanzibar siyo mkoa wa Tanzania,ni nchi hiyo.

Besides, utamaduni huo Zanzibar upo tokea muda mrefu tuh,why tusiskie miaka yoote hiyo mje nyinyi kulalama Leo?

Kama mmeshindwa kukaa huko Zanzibar Rudini kwenu,siyo lazima.
 
Back
Top Bottom