Zanzibar msiposimama imara kuendelea kulinda mila na tamaduni zenu, heshima yenu duniani itashuka

Ni safi kabisa, kamata wote wanaokula tia ndani, lazima utamaduni wa Zanzibar ulindwe.
 
Kweli kabisa, ni kuwatandika viboko makafiri.
 

Wewe ni duni sana katika kila kitu. Maana unaamini kubadilisha muda wa kula ndiyo kufunga.

Yesu alifunga usiku na mchana kwa siku 40, akijaribiwa na ibilisi. Yesu hakuwa na sababu ya kufunga bali aliyoyatenda ilikuwa ni mpango wa Mungu Baba kutaka kutuonesha sisi wanadamu tunavyotakiwa kuenenda kwa kadiri ya mpango wa Mungu. Yesu alipofunga, hakuna siku alienda kuwachapa watu barabarani eti kwa sababu hawajafunga. Na katika kufunga kwake, lililokuwa kubwa siyo kutokula bali ilikuwa kumshinda shetani, yaani kuishinda dhambi. Sasa wewe huli mchana, usiku mzima unafakamia chakula, tena unakula kuliko wanaokula mchana, unatoka na chuki tele kwa wanadamu wenzako, umefunga nini mnafiki wewe?

Wanaofanya hivyo ndio hao ambao Yesu aliwaona toka nyakati hizo pale aliposema, msiwe kama wale wanafiki, ambao wakifunga, wanakunja sura zao, wakitaka watu wote wajue kuwa wamefunga. Hakika hao hawana thawabu yoyote maana sifa wanayoitafuta wamekwishaipata. Ila ninyi mfungapo, jipakeni mafuta, tabasamuni ili watu wasijue kama mmefunga bali Baba yenu wa Mbinguni".

Wakristo wa kweli hawafungi kwa maonesho kama baadhi yenu mnavyofanya. Huwezi kujua nani amefunga na nani hajafunga.

Endeleeni kubadilisha ratiba ya kula ili kutafuta sifa kwa wanadamu.
 
Wewe mjinga hauelewi tofauti ya mila, dini na sheria.
 
Viongoz wamekanusha sio sheria, sasa sijui wanamkata nani kwa sheria ipi
Hao si wanaongea tu kujikosha kwa wana dunia, lakini deepdown wanatamani kuyatia ndani makafiri yote.

Na watu wa dini hiyo ni wanafiki sana, wanaongea hivi wanatenda vile.
 

Wakristo mna funga wapi??tunaskia tuh mnasema kuwa mnafunga kwaresma,mnachofunga ni kipi sasa??

Maana ya funga ni kuabstain something,sasa kama hauabstain kula unaabstain kitu gani na kwa wakati upi??

Sisi hatufungi kumuonesha mtu,sisi funga ni NGUZO YETU YA DINI,DINI YETU INA NGUZO TANO YA SHAHADAH,SWALA,FUNGA,ZAKAH,HIJJAH,SASA UNASEMAJE TUNAFUNGA KUMUONESHA MTU??

Wewe unaumia nini na funga yangu hadi utake kujifananisha na ya kwako??we kama una funga yako na kwako unaiona bora sawa endelea nayo,hapo hapo unasema yesu alifunga mchana na usiku siku arobaini sawa..FUNGA BASI NA WEWE KAMA ALIVYOKAFUNGA YESU MBONA HAUIGI KITU ALICHOKIFANYA YESU SASA KAMA KWELI UNA MPENDA.

Na kwa taarifa yako hakuna mtu anabadilisha muda wa kula,hapo unaongea upuuzi tuh,FUNGA NI MWANZO WA ALFAJIR HADI KUZAMA KWA JUA,KAMA MTU AKIAMUA KULA USIKU KUCHA NI HIYARI YAKE HAJABANWA KATIKA HILO,SASA TATIZO LAKO NINI.
 
Hao si wanaongea tu kujikosha kwa wana dunia, lakini deepdown wanatamani kuyatia ndani makafiri yote.

Na watu wa dini hiyo ni wanafiki sana, wanaongea hivi wanatenda vile.
Viongozi ndio wasimamizi wakuu wa sheria pamoja na vyombo husika. Sasa unasema ni maneno tu, lakini mahakama haifanyi kazi kwa maneno tu, haijalishi deep down wana feel vipi, sheria ndio mwamuzi wa mwisho. Kwanini walibadili kesi dakika za mwisho?
 
Naunga mkono hoja,wasije kuua zile tamaduni zao ikiwemo matamasha ya kiximkazi,sauti za busara ,taarabu nk vinginevyo itakuwa ni hasara kwao maana ishu ya muhimu zaidi kwao ni Utalii wa Asili.
 
Naunga mkono hoja,wasije kuua zile tamaduni zao ikiwemo matamasha ya kiximkazi,sauti za busara ,taarabu nk vinginevyo itakuwa ni hasara kwao maana ishu ya muhimu zaidi kwao ni Utalii wa Asili.

Asante sana.
 
Na kwa taarifa yako hakuna mtu anabadilisha muda wa kula,
Waislamu wakianza kufunga ofisini hapakaliki ni wanacheua mavimbizi ya machakula ya usiku kucha

Maana usiku wanakula kama viwavi jeshi
 
Waislamu wakianza kufunga ofisini hapakaliki ni wanacheua mavimbizi ya machakula ya usiku kucha

Maana usiku wanakula kama viwavi jeshi
Haitakiwi kuwa hivyo,labda hao itakuwa wanafunga kwaresma na siyo RAMADHANI...

Ramadhani ni funga ya heshima muislam anaeijitambua hawezi kufanya ujinga kama huo.
 
Baada ya kubadilisha masaa ya kula ili kuzingatia ramadhani ya muarabu warudi kwenye minyanduano na anasa za kila aina ikiwemo kufumuana marinda.

Suala la kufumuana marinda ni lenu,na hadi papa kawapa RUHUSA KATIKA HILOO,WHY MNAKATAA UHALIA AMBAO HATA KIONGOZI WENU WA DINI KAWAPA RUKSA??
 
Lini zanzibar iliheshimu imani za wengine?daily wanabomoa na kuandamana kisa makanisa
Makanisa zanzibar yapo toka zama za utumwa,na mengine yalikuwa hadi yanatumika kuombea watumwa kabla hawajapeleka ulaya na marekani,yasibomolewe kipindi hiko yale yabomolewe leo?

The Anglican Cathedral of Christ Church was built in Stone Town (the old part of Zanzibar city) in the place where the biggest slave market of Eastern Africa operated. Its altar was placed exactly where the slaves for sale were whipped. On the floor, among the benches, there are black cobblestones as a remembrance of the dungeons used for slaves in the basement. Outside the Cathedral, there is a stone monument showing four people enchained by their necks as a way of reproducing the way in which slaves were offered to buyers.

Near the Church there is the Exhibition of the Slave Market of Eastern Africa, an exhibition center that displays pictures, photographs and historical information.

 
Dini ya kobazi ni ya kijima sana! Mtu akila mbele yako wewe inakuathiri nini kama si kujiendekeza?

Hao wazungu wasipokuja kutalii thamani ya Zanzibar itakua nini? Ile minyoo mnayosoma imewaharibu sana akili!
Swala si kuathirika kwa mtu kula mbele yako ila hapa swala ni kuheshimu mila na desturi za wenyeji. Kuna majaribu ya kuigeuza na kuibadili Zanzibar kama ilivyofanywa Dar es salaam. Hili kwa uwezo wa Mungu halitofanikiwa. Huwezi kuheshimu mila na desturi usije Zanzibar.
Thamani ya Zanzibar haipo kwa kuja Wazungu. Wazungu wanakuja Zanzibar ina thamani tokea enzi. Kama hujui wazungu wanakuja kushuhudia thamani yake. Nasi tunasema 'Zanzibar ni njema atakaye aje'.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…