Zanzibar na ndizi za mjane!

Zanzibar na ndizi za mjane!

Wewe unaliita hili jambo "swala dogo."

Mimi silioni kuwa swala dogo hata kidogo, ni swala kubwa sana katika uhai wa nchi yetu ya Muungano.

Kiufupi ni kwamba matendo haya yanayofanywa huko Zanzibar, ni mkakati maalum wa kuchochea hisia toka Tanganyika, ili wenye lengo lao la kuuvunja Muungano lifanikiwe.

Huu ni mkakati maalum kwa wenye lengo lao.

Naunga mkono uhitaji wa Simu ya huyo mama, achangiwe.
Kwani huu muungano unafaida gani. Uvunjike tu
 
Weye ni mchonganishi.Unamfundisha mtu namna ya kumchukia mtu na kumpa na maneno ya kuyatumia.
Najua ninachofanya.

Naongea na NAFSI na DHAMIRA ya ndani ya mtu.

Tuungane pamoja tuijenge Nchi yetu, nyuma yetu tuna maelfu wanaotutegemea.

Aamen.
 
Hapa huwa ninashindwa kabisa kukuelewa wewe ni binaadam wa namna gani. Unayo 'conflict' kubwa sana ndani yako.

Niliwahi kuzozana nawe juu ya Magufuli enzi zile, humu humu JF..., leo ninakuona ukimshangilia huyu mrithi anayefanya makosa makubwa ya kuugawa Muungano huu, na bado unatoa visababu!

Ninashindwa kabisa kukuelewa.
Tunalaumu kitendo cha serikali ya Zanzibar, silaumu mtu binafsi.
Sera ya kuibagua Bara ni ya nchi ya Zanzibar.
Suala la kumsapoti mama Samia kiuongozi maana yake atatue kero hizi.
Fact ni kwamba presently ndiye rais wa Tanzania, kelele hizi zimfikie.
Akidharau hizi sentimennts, mie namtosa tu, kuna tatizo gani?
Hata Magufuli tulimchagua, lakini kwa figisu zake tulimtosa humu mtandaoni.

Pili, mimi nabishana on matters of principles based on facts.
Siweki score sheet nabishana na nani.
Hivyo hata tulivyobishana mimi sikumbuki.
Hili ndio linaifanya JF kuwa uwanda wa Great Thinkers.
 
Kwani huu muungano unafaida gani. Uvunjike tu
Lakini sisikii lolote toka huko kwa wanufaika wa huo muungano wakilisema hilo la kuuvunja.
Na hata nyinyi mnaotaka uvunjwe, naona hamchukui hatua yoyote ya kuanza kazi hiyo ya kuuvunja. Naona ni sauti zinazopigwa toka uchochoroni tu zisizosikika kokote ili hatua zichukuliwe kuuvunja.
 
Lakini sisikii lolote toka huko kwa wanufaika wa huo muungano wakilisema hilo la kuuvunja.
Na hata nyinyi mnaotaka uvunjwe, naona hamchukui hatua yoyote ya kuanza kazi hiyo ya kuuvunja. Naona ni sauti zinazopigwa toka uchochoroni tu zisizosikika kokote ili hatua zichukuliwe kuuvunja.
Hizi sauti za uchochoroni ndiyo hatua zenyewe
 
Tunalaumu kitendo cha serikali ya Zanzibar, silsumu mtu binafsi.
Sera ya kuibagua Bara ni ya nchi ya Zanzibar.
Suala la kumsapoti mama Samia kiuongozi maana yake atatue kero hizi.
Fact ni kwamba presently ndiye rais wa Tanzania, kelele hizi zimfikie.
Akidharau hizi sentimennts, mie namtosa tu, kuna tatizo gani?
Hata Magufuli tulimchagua, lakini kwa figisu zake tulimtosa humu mtandaoni.

Pili, mimi nabishana on matters of principles based on facts.
Siweki score sheet nabishana na nani.
Hivyo hata tulivyobishana mimi sikumbuki.
Hili ndio linaifanya JF kuwa uwanda wa Great Thinkers.
Huna msimamo unaoeleweka katika jambo lolote.

Huyo Rais anayetawala nchi inayoparaganyika, yeye haoni kitu chochote juu ya hilo, ni rais wa kitu gani huyo!

EeenHee, eti huweki 'scorecard', ndiyo maana unayumbayumba kwa kila jambo, kwa sababu hujui jana umechangia kitu gani, na leo unasimamia nini. Hiyo ndiyo maana ya kutoweka 'scorecard'.
 
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar naumithilisha na ndoa ya baina ya mwanaume (Tanganyika) na Mwanamke (Zanzibar) ambapo mwanaume ndio anaforce mahusiano na mwanamke ikiwa mwanamke hataki kuwa katika hiyo ndoa. Hatima yake sasa ni ndugu wa mume kudhalilishwa na upande wa mwanamke, mwanamke kujiona bora zaidi ya mwanaume.

Huu muungano umekaa kinafiki sana, ni wakati sasa kila mtu akashika hamsini zake tujue ni nchi mbili tofauti tu. Kuliko haya manyanyaso na kudhalilishana kunakofanywa na wazanzibari dhidi ya watanganyika.

Mtanganyika akiwa zanzibar anachukuliwa kama takataka lakini wenyewe huku wanajiachia bila bughudha yeyote.
ZRA sio TRA

T sio Tanganyika
T ni Tanzania (Tanganyika+Zanzibar)

ZRA is for Zanzibar Only!

Tanganyika is nothing to Zanzibar, nyinyi wa Bara mnajipendekeza sana kwa kupitia kivuli cha muungano wa nchi mbili (Tanyanyika & Zanzibar) Ila wenzenu wanawachukulia km nchi zingine za Mozambique au Malawi au Kenya sio nchi moja km nchi ya Tanzania wao wana nchi yao ya Zanzibar hawaijui Tanzania wala Tanganyika

Anzia hapo
 
Huna msimamo unaoeleweka katika jambo lolote.

Huyo Rais anayetawala nchi inayoparaganyika, yeye haoni kitu chochote juu ya hilo, ni rais wa kitu gani huyo!

EeenHee, eti huweki 'scorecard', ndiyo maana unayumbayumba kwa kila jambo, kwa sababu hujui jana umechangia kitu gani, na leo unasimamia nini. Hiyo ndiyo maana ya kutoweka 'scorecard'.
You are not neccessarily right in fact or opinion.
Actually uko entitled to your own opinion, however erroneous!
 
You are not neccessarily right in fact or opinion.
Actually uko entitled to your own opinion, however erroneous!
Miye nina'observe' tu ninayoyashuhudia na kuyasema.
Indeed, it is my right, and there should be no questions about that.

The good thing about JF, records are abundantly available, and they speak for themselves.

Anyone interested to know the truth about the issues at hand can easily access these records and judge for themselves based on what is available.
 
Kama kuna habari inakera, kufedhesha na kutia hasira wiki hii ni jinsi serikali ya Zanzibar ilivyoshughulikia suala la ndizi za mjane aitwaye Veronica Mwanjala.

Kosa la Veronica ni kupeleka ndizi Zanzibar ili ajikimu kimaisha yeye na watoto wake. Kilichotokea pale bandarini ni maelezo yanayo ashiria hisia za kibaguzi dhidi ya watu wa Bara.

Tunaambiwa eti Veronica ndizi zake hazihitajiki soko la Zanzibar, mara zina vidudu, mara hazina vibali, na faini ya elf 50 juu!

Suala hili ni dogo lakini limeleta hisia za kibaguzi kutoka kwa wazanzibari, tena serikali, dhidi ya Watanzania bara.

Wote tunaelewa jinsi wazanzibari na wapemba wanavyovumiliwa kwa mengi hapa Bara na hawachukuliwi kama raia wa nje kama ipasavyo.

Mnaya zaidi serikali ya Zanziba na waziri wake wamemfanyia uharamia mama mjane!

Hili halikubaliki!

Mwenye namba ya Veronica Mwanjala atupatie ili JF tuanze mchango wa kurejesha mtaji wa huyu mama aliyedhulumiwa.
Niko tayari kumchangia elfu20 kila mwezi kwa mwaka mzima, tafadhari namba yake ipatikane, tunaomba Gadi TV na Milard Ayo wamhoji tupate details zake
 
Wewe unaliita hili jambo "swala dogo."

Mimi silioni kuwa swala dogo hata kidogo, ni swala kubwa sana katika uhai wa nchi yetu ya Muungano.

Kiufupi ni kwamba matendo haya yanayofanywa huko Zanzibar, ni mkakati maalum wa kuchochea hisia toka Tanganyika, ili wenye lengo lao la kuuvunja Muungano lifanikiwe.

Huu ni mkakati maalum kwa wenye lengo lao.

Naunga mkono uhitaji wa Simu ya huyo mama, achangiwe.
Kwelli ila kukitokea kutengana, basi Dar na pwani nzima ijiandae kupokea wakimbizi mana hawa jamaa hawatawezana wakibaki wenyewe. Ni kama Somalia
 
Back
Top Bottom