Zanzibar: Ndani ya Maji Marefu ya Mateso ya Wakristo

Fuatilia mambo,hapakua na muisrael mkiristu
Unavyojibu kana kwamba unajua chochote, hiyo Syria ambayo kwa sasa Ina waislamu wengi ilikuwa na wakristu kabla ni kwa sababu dini yenu imetumia umwagaji wa damu kuenea ndiyo maana watu wakabadilishwa kilazima
 
Hiyo sio dini bali ugaidi wa kiislamu, isalmic terrorism
 
Mkuuu mbona sisi asubuhi sana tunawaamsha watoto na watu wazima kukimbizwa swala lakini hatuoni kama ni issue? Tuwe na uvumilivu wa kidini.
Asubuhi adhana hutumika Kama alarm,adhana haitumiwi na waislam tu,halafu haizidi dk 2,walokole ijumaa wanafungulia muziki mpaka jumapili
 
Huna uwezo wewe wakupambana utakuwa unapambana kwa kutegemea nn? hapo ulipo kinacho kuchelewesha kwenda motoni ni kifo tu hilo lijue unabisha subili
KAMA ALLAH YUKO HUKO, MTUME MOHAMEDY YUKO HUKO,
MIMI NI NANI WA KUKOSA MOTO?
 
Luka 6 :27-28

27 “Sikieni niwaambie, wapendeni adui zenu. Watendeeni mema wanaowachukia. 28 Wabarikini wanaowalaani, waombeeni mema wanaowaumiza.
Hahaha nimependa mlivoniqoutes japo nilikuwa na maana tofauti nikipata muda nitarudi
 
Uhuru wa kidini ni muhimu kuwepo ila pia tuepuke kubugudhi watu na makelele, mimi nipo upande huu, ila suala la kupiga mziki ya kidini kwa sauti ya juu asubuhi mpaka asubuhi siliafiki kabisa, tuwe na kiasi katika ibada zetu
mkuu kwani husikiagi azana na kutishana huku uswazi muazini anakuja hadi dirishani?? Anakushitua na kukupiga mkwala! Swalaaa, swala swalaaaa... amka ww ukaswali, swala ni bora kuliko usingizi! Hicho chumba Uliomo ni kaburi, hicho Kitanda ni Jeneza, hiyo shuka ni sanda....anamalizia kwa ukali muache huyo.....
 
51 – 53:

Enyi mlioamini! Msiwafanye kuwa marafiki Mayahudi na Manaswara.
That's the fact!!!

Mimi huwa nawaambia watu uislamu haukutakiwa kuwepo ktk zile area zisizokuwa na waislam huu uislam ili muumini auishi na aione pepo inabidi asichangamane hata mara moja na asiyekuwa Muislam maana kwake ni dhambi so inambidi either amuuwe or amtese akimbie (refer kisa hapo juu)

 Na ikiwa ni hivyo kuuwa kwao siyo dhanbi,kwao chuki ndo msingi wa imani.
 
Imagine umeamka asubuhi unaenda kuchoma msikiti mbagala. Dunia nzima itakushukis na waislam wa iraq watakuja. Ila sasa swala liwe la mkristo mbona utasota. Hii dini hii basi tu. Ni wabinafsiView attachment 2470745

Achana na kuchoma tu ila kuna kero ya makelele ya maspika ya adhana na swala Karikoo imejaa misikiti mida ya adhana si makelele hayo hasa saa 11 watu tunamalizia usingizi unaamshwa na makelele nashukuru kuna mzee mmoja alikua akiadhini kwa makelele huku akikohoa mara nyingi amekufa juzi kazikwa yaan makelele hasa msikiti wa kipata ingerikua ndio kanisa aise waislam wangekuwa washa vamia
 
Mkuu na wewe mrengo wako ni sawa na Juma Lokole
 
Bora hata useme wewe. Majitu mabinafsi yenyewe hayajioni kama ni kero
 
Radhi kaomba wapi? Kwa hiyo sasa hivi hukumu ya anayemkashifu alla wenu ni kuomba radhi? Sio kumchinja?
Mwnyezi Mungu ni mwingi wa msamaha, wakina kishk walishtaki kwa Allah na afande akaomba msamaha hukohiko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…