Zanzibar ni bomu linalosubiri kulipuka, Watawala mkifanya kiburi halitoiacha nchi salama

Zanzibar ni bomu linalosubiri kulipuka, Watawala mkifanya kiburi halitoiacha nchi salama

Sio Zanzibar tu, nakwambiaje CCM ni Chama pinzani Tanzania nzima Bara na visiwani 2020-2025. Amini nakwambia
 
Tutakifuta kabisa. Watafute kazi nyingine. Lichama hilo limetutesa sana. Tutalitoa katika daftari la msajili wa vyama.
Sio Zanzibar tu, nakwambiaje Ccm ni Chama pinzani Tanzania nzima Bara na visilani 2020-2025. Amini nakwambia
 
Watanzania safari hii watamfundisha Tundu Lissu somo muhimu sana la kihistoria kwa kumpa kura zote raisi John Magufuli.

Litakuwa si fundisho kwa Tundu Lissu pekee bali hata kwa bosi wake Bob Amsterdam, washirika wao wote na wale wote wasoitakia mema Tanzania.

Baada ya JPM kutangazwa mshindi kwa kishindo tutangojea aapishwe rasmi na kisha kuhutubia Bunge la JMT ambalo safari hii litakuwa limesheheni wabunge karibu wote kutoka CCM.

Tukimaliza hilo twaendelea na maisha.
Watanzania siyo wajinga, Jiwe aende chato

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Mara hii lazima uchaguzi uwe wa haki bila ya hivyo nasema nchi haito tawalika , sio maneno yangu ni maneno ya wazanzibari , trust me , this time is not easy, watakavyo fanya wazanzibari hawatakubali, JWTZ wajiandae kulinda raia , maana vikosi vya smz vipo taabani kuibeba ccm
 
Tatizo vijana mmeanza kuahiriki Uchaguzi mwaka huu
Hivyo vimhemko vitaisha October 29
 
Chama cha Mbowe kinatamani machafuko siku zote,ila Mungu sio Mbowe na genge lake. Tutavuka salama.
 
Dah mkuu kijito upele ni stone town.. tuache bwana
Mimi nakuapia kwa mungu nishajitoa mhanga liwalo na liwe lkn hatukubal.
Kinachosikitisha kura ya tarehe 27 wanaopiga wengi watu kutoka bara.
Hakuna raia yoyote ambae atathubutu kuandamana.

Uchaguzi utakuwa na utulivu kuliko unavyofikiria.

Watanzania hawana desturi ya kupenda vurugu za kijinga.

Ila polisi wapo tayari kwa vurugu na chochokocho zitakazojitokeza wakati wa kupiga kura na baada ya shughuli hiyo kukamilika.

Mimi nipo hapa Kijitoupele Stone Town naona hali ni shwari kabisa.
u
 
Kwako mkuu wa Majeshi, kwa unyenyekevu mkubwa, Mission ya Zanzibar ni ya kisiasa siyo ya kijeshi, usije ukalitia jeshi la wananchi lawama ya bure sababu ya wachache tu wanaotafuta shortcut ya Madaraka baada ya kukataliwa na wananchi. Jeshi haliwezi kushinda mission ya kisiasa mbele ya watu walio determined
 
Hao ni Wazanzibari. Chama cha Magufuli kinasema hakitoi nchi kwa vikaratasi. Sasa wenye nchi wanakuja na njia mbadala...
Chama cha Mbowe kinatamani machafuko siku zote,ila Mungu sio Mbowe na genge lake. Tutavuka salama.
 
Tukomboe nchi yetu. Hakuna mtu atatukombolea nchi yetu. Chama cha Magufuli kinasema hakitoi nchi kwa vikaratasi. Sasa wenye nchi wanakuja na njia mbadala...
Dah mkuu kijito upele ni stone town.. tuache bwana
Mimi nakuapia kwa mungu nishajitoa mhanga liwalo na liwe lkn hatukubal.
Kinachosikitisha kura ya tarehe 27 wanaopiga wengi watu kutoka bara.

u
 
Uhuru wa Zanzibar haukupatikana kwenye kipande cha kikaratasi cha kupigia kura

Pili wakati waafrika weusi wakibeba mashoka na mapanga kumpindua sultani wapemba waarabu akina Seif Sharif Hamad walikuwa wakinywa kahawa na kutafuna tambuu na watoto wa sultani

Mapunduzi ya 1964 yataendelea kulindwa kwa gharama zote

Mapinduzi daimaaaaaaaa!!!!
 
wanangu wa kangagani wananiambia ama wamkabidhi nchi maalim au vituo vya polisi wete na chake viwe magofu! They are now in possession of handgrenades (8 in number ), successful imported from shimoni
Waapi bwanaa!!! mtapoteana msijue mlipoanzia .. maana mtakapoishia ni dhahiri..
 
Acha ilipuke. Itapozwa na itatulia. Wapiga kura laki tano. Brigedi ya nyuki inatosha. Ikiletwa nyongeza ya tembo wanazama .Wasijaribu kwani kamanda hajaribiwi
 
Back
Top Bottom