Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Habari za mida hii..?Pole na janga la corona.Tuombe mola wote atunusuru kwa sote..
Niende kwenye mada husika.Wakazi wa Zanzibar na Tanganyika tumekua tukitumia boti za Azam na flying horse.Biashara bila ushindani sio biashara..
Flying horse imekua haina ushindani sababu sio boti ya uhakika.Spear mkononi safar ya masaa mawili inaweza ikasafiri masaa manne au hata sita.
Je do we have another choice??Hakuna ni azam marine tu.Je vipi huduma zake?
Azam marine haijawai kua na huduma bora kwa classes zote.Ukiwa unataka ticket ya haraka lazima ulanguliwe kukiwa na madalali kila kona ticket ya 25k utapata kuanzia 35k lakin kwenye ticket wamechapa 25k..#shame
Kwenye mtandao unaona ticket zipo ila dirishani wanakwambia amna na hata ukiwaonyesha hawakubali kukupa ticket..
Unaweza fika pale ofisini kwao kukata ticket muudu asikuangalie wala asikusemeshe mpaka una maliza huduma yako ya kukata ticket (customer care mbovu kabisa)Anakinga tu mkono kibububu apokee pesa na kitambulisho..
Sasa umekwama sehemu jaribu kuuliza wanakujibu kama hawataki.Biashara bila mshindani sio biashara..
Boti ya Zanzibar one imeleta ushindani.Wana customer care nzuri kabisa kuanzia office zao mpaka kwenye boti (sijui labda ni mwanzo tu).Boti ni nzuri na yakisasa kuzidi azam..
Azam akae vizuri ajirekebishe anapokosea mana karundika waraabu wenzie wanafanya kazi ki mwinyi na tumeshalalamika sana tumekua tukipuuzwa..
Raha ya biashara kuwe na ushindani.Na sasa tuna chaguzi ingine...
Sent using Jamii Forums mobile app
Niende kwenye mada husika.Wakazi wa Zanzibar na Tanganyika tumekua tukitumia boti za Azam na flying horse.Biashara bila ushindani sio biashara..
Flying horse imekua haina ushindani sababu sio boti ya uhakika.Spear mkononi safar ya masaa mawili inaweza ikasafiri masaa manne au hata sita.
Je do we have another choice??Hakuna ni azam marine tu.Je vipi huduma zake?
Azam marine haijawai kua na huduma bora kwa classes zote.Ukiwa unataka ticket ya haraka lazima ulanguliwe kukiwa na madalali kila kona ticket ya 25k utapata kuanzia 35k lakin kwenye ticket wamechapa 25k..#shame
Kwenye mtandao unaona ticket zipo ila dirishani wanakwambia amna na hata ukiwaonyesha hawakubali kukupa ticket..
Unaweza fika pale ofisini kwao kukata ticket muudu asikuangalie wala asikusemeshe mpaka una maliza huduma yako ya kukata ticket (customer care mbovu kabisa)Anakinga tu mkono kibububu apokee pesa na kitambulisho..
Sasa umekwama sehemu jaribu kuuliza wanakujibu kama hawataki.Biashara bila mshindani sio biashara..
Boti ya Zanzibar one imeleta ushindani.Wana customer care nzuri kabisa kuanzia office zao mpaka kwenye boti (sijui labda ni mwanzo tu).Boti ni nzuri na yakisasa kuzidi azam..
Azam akae vizuri ajirekebishe anapokosea mana karundika waraabu wenzie wanafanya kazi ki mwinyi na tumeshalalamika sana tumekua tukipuuzwa..
Raha ya biashara kuwe na ushindani.Na sasa tuna chaguzi ingine...
Sent using Jamii Forums mobile app