Zanzibar: Padri auawa kwa kupigwa Risasi!

Zanzibar: Padri auawa kwa kupigwa Risasi!

Status
Not open for further replies.
NALAANI MAUAJI HAYO, KWA NGUVU ZANGU ZOTE HAYAKUBALIKI HATA KIDOGO. nadhani huenda hayo yakawa ni maandalizi ya kuelekea uchaguzi 2015, kuna kikundi fulani kinataka watu wasijadili masuala yanayogusa kuinua maisha yao na namna gani wapate watu wazuri wa kuwaongoza, badala yake wajikite kujadili namna ya kuondokana na vurugu badala ya kujadili namna ya kuondokana na umaskini.

ndiyo maana sasa ni vurugu karibu kila kanda ya TANZANIA hakuna utulivu, mara maandamano ya gesi, mara mauaji yasikuwa na miguu wala mikono ya raia wasio na hatia, mara maandamano ya kumtoa mhalifu mr.ponda, mara wizi na uchomaji wa makanisa, mara wachungaji wanakamatwa kisa kwanini wamechinja nyama as if wenye haki ya kuchinja ni muslims pekee, mapadre wanapigwa risasi bila sababu na hata kama kungekuwa na sababu gunning, that is not the right way ni heri wangepelekwa mahakamani-haki itendeke, na KATIKA VURUGU NYINGI ZILIZOKEA HASA ZINAZOHUSIANA NA DINI NI MATOKEO VYA MAKONGAMANO YALIFANYIKA NCHI NZIMA, AMBAPO BAADHI YA VIONGOZI WA DINI YA KIISLAM WALIZUNGUKA NCHI NZIMA WAKIENEZA ZANA YA KUFIKIRIKA WALIYOIPA JINA LA MFUMO KRISO AMBAYO KIUHALISIA HAIPO. WOTE TUNA KUMBUKA JINSI HAWA WATU WALIENEZA MAFUNDISHO YA CHUKI DHIDI YA WAKRISTO, huku wakimlaani Mwl.Nyerere eti aliwaonea sana.

WHAT DID THE GOVERNMENT DO? THEY JUST KEPT WATCHING THE GAME. BAADAYE KIDOGO wale kiislam wa viongozi waliona jina hilo limeshazoeleka miongoni mwao wakaona waje na jina lingine WAKABADILI JINA LA MFUMO KRISTO, sasa walio wengi ukikutana nao katika makongamano yao wanataja MFUMO KATOLIKI, cha kusikitisha zaidi hata Prof. Lipumba nayo yumo, nimeziona kanda ambazo naye anaeneza propaganda za kidini, and our government is just watching, and doing nothing. LEO WAKRISTO WANAUAWA BILA SABABU WENGINE WAMEUAWA ETI KISA WAMECHINJA wanyama wAO wA KULA WAO, WeNGINE WANAPIGWA RISASI SABABU NI WAKRISTO, VERY SAD.SERIKALI, KAMA NI HIVYO BASI ITANGAZE KUWA WENYE HAKI ZA KUISHI ZAIDI YA HAPA TANZANIA NI MUSLIMS NDIYO WATAKAOLINDWA NA SERIKALI, WENGINE WAJICHUNGE WENYEWE.

SALAM ZANGU ZA POLE KWA KADINALI PENGO, MAASKOFU WOTE WACHUNGAJI WOTE, NDUGU ZAKE NA MEMBERS WOTE WA RC.
 
Padri Mushi ambaye ni paroko wa parokia ya Minara Miwili - Zanzibar amepigwa risasi na watu wasiojulikana leo mida ya saa moja asubuhi akielekea kanisani.

Source: Radio Wapo ya jijini Dar es Salaam


Those people who involved to shot, and killed Padre Mushi. This morning
are well-known in Zanzibar. And all people knew them, including the Govt
of Zanzibar. So here we want to see the immediately arrest without delaying,
for the responsible of the killing.
 
Kama kawaida yake JK, atasema nimewaagiza polisi wawasake wahusika. Sijajua wa padri Ambrose wamefikia wapi!
 
watanzani tujiulize tunakwenda wapi sasa?



Kaka kuna watu wamekaa kipropaganda wakati wenzao wana kufa tuache propaganda , Tuwambie wenzetu waislam huko Zanzibar mambo yanayoyafanya sio Mazuri tunakoelekea ni kubaya zaidi sasa kama wewe unaleta propaganda , wenzenu wakristo huko Zanzibar wataendelea kuuwawa. Wakeemeni kwa mabaya wanayo yafanya ,tuache Siasa jamani kwenye Mambo Serious
 
R.I.P Rev Evarist Mushi. Tunasubiri kuona hatua zitakazochukiliwa na Islamic Republic.
 
Wanawapiga masheikh wetu risasi? Je hao mashushushu lazima wawe ni wakristo?fikiri tena!tunawapiga vita,tunamwua mmoja wanaamka mia moja,Adui yetu ni ccm,ndiye huyu anayetuonyesha kwa kidole kuwa adui yetu yupo upande tofauti,kumbe mkono wake wa pili una agenda hatari kwetu!!waislamu tushtuke,tuchukue hatua.

We mwenzetu mwislam wa dhehebu gani? Au shia
 
Padri Evarist Mushi, ambaye ni paroko wa parokia ya Minara Miwili - Mtoni Zanzibar amepigwa risasi na watu wasiojulikana leo mida ya saa moja asubuhi akielekea kanisani kuongoza ibada.

Source: Radio Wapo
kama hupo hapo kwenye tukio tutupie picha
 
Hiki ni kipindi kigumu, tena cha KWARESMA, wakatoliki muweke busara mbele na upendo kwa UISLAM; msiwe waropokaje, ZIACHIWE mamlaka za kiserikali zitoe tamko rasmi kuhusiana na tukio lililotokea; AMIN!
 
Hii mambo ipo very serious, juzi hapo jumatano ya majivu tumetoka kanisani tukakutana na jamaa ndani ya kanzu wakatukashifu, tumekua vinyago. RIP padre. someone is behind this and something should be done hapa kabla wakristu wapole hawajalipa.
Salman Rushidie alishaongea ukweli mtupu kuwa kuna baadhi ya dini ni tunda la shetani. Huwezi kumwaga damu ya mwanadamu mwenzako ambaye ni tunda la uumbaji wa mungu kama siyo ni wa shetani.
 
NALAANI MAUAJI HAYO, KWA NGUVU ZANGU ZOTE HAYAKUBALIKI HATA KIDOGO. nadhani huenda hayo yakawa ni maandalizi ya kuelekea uchaguzi 2015, kuna kikundi fulani kinataka watu wasijadili masuala yanayogusa kuinua maisha yao na namna gani wapate watu wazuri wa kuwaongoza, badala yake wajikite kujadili namna ya kuondokana na vurugu badala ya kujadili namna ya kuondokana na umaskini.

ndiyo maana sasa ni vurugu karibu kila kanda ya TANZANIA hakuna utulivu, mara maandamano ya gesi, mara mauaji yasikuwa na miguu wala mikono ya raia wasio na hatia, mara maandamano ya kumtoa mhalifu mr.ponda, mara wizi na uchomaji wa makanisa, mara wachungaji wanakamatwa kisa kwanini wamechinja nyama as if wenye haki ya kuchinja ni muslims pekee, mapadre wanapigwa risasi bila sababu na hata kama kungekuwa na sababu gunning, that is not the right way ni heri wangepelekwa mahakamani-haki itendeke, na KATIKA VURUGU NYINGI ZILIZOKEA HASA ZINAZOHUSIANA NA DINI NI MATOKEO VYA MAKONGAMANO YALIFANYIKA NCHI NZIMA, AMBAPO BAADHI YA VIONGOZI WA DINI YA KIISLAM WALIZUNGUKA NCHI NZIMA WAKIENEZA ZANA YA KUFIKIRIKA WALIYOIPA JINA LA MFUMO KRISO AMBAYO KIUHALISIA HAIPO. WOTE TUNA KUMBUKA JINSI HAWA WATU WALIENEZA MAFUNDISHO YA CHUKI DHIDI YA WAKRISTO, huku wakimlaani Mwl.Nyerere eti aliwaonea sana.

WHAT DID THE GOVERNMENT DO? THEY JUST KEPT WATCHING THE GAME. BAADAYE KIDOGO wale kiislam wa viongozi waliona jina hilo limeshazoeleka miongoni mwao wakaona waje na jina lingine WAKABADILI JINA LA MFUMO KRISTO, sasa walio wengi ukikutana nao katika makongamano yao wanataja MFUMO KATOLIKI, cha kusikitisha zaidi hata Prof. Lipumba nayo yumo, nimeziona kanda ambazo naye anaeneza propaganda za kidini, and our government is just watching, and doing nothing. LEO WAKRISTO WANAUAWA BILA SABABU WENGINE WAMEUAWA ETI KISA WAMECHINJA wanyama wAO wA KULA WAO, WeNGINE WANAPIGWA RISASI SABABU NI WAKRISTO, VERY SAD.SERIKALI, KAMA NI HIVYO BASI ITANGAZE KUWA WENYE HAKI ZA KUISHI ZAIDI YA HAPA TANZANIA NI MUSLIMS NDIYO WATAKAOLINDWA NA SERIKALI, WENGINE WAJICHUNGE WENYEWE.

SALAM ZANGU ZA POLE KWA KADINALI PENGO, MAASKOFU WOTE WACHUNGAJI WOTE, NDUGU ZAKE NA MEMBERS WOTE WA RC.
kuna watu wamekaa kipropaganda wakati wenzao wana kufa tuache propaganda , Tuwambie wenzetu waislam huko Zanzibar mambo yanayoyafanya sio Mazuri tunakoelekea ni kubaya zaidi sasa kama wewe unaleta propaganda , wenzenu wakristo huko Zanzibar wataendelea kuuwawa. Wakeemeni kwa mabaya wanayo yafanya ,tuache Siasa jamani kwenye Mambo Serious
 
NasDaz kinachosikitisha hakuna juhudi za wazi za makusudi kutoka kwa hao Waislamu safi kuelimisha wenzao ubaya wa haya!
 
Last edited by a moderator:
Kwanini tuna ulinda muungano kwa gharama kama hizi?
Je huu ndio udini aliokuwa akiuzungumzia JK?
Au ndo visa vya kutokuwepo kiipengele cha dini katika sensa?
Ila mimi nacho ona ni hatari inakuja mbele yetu. Viashiria ni vingi hasa ukikumbuka tukio la Kuchinja wanyama lilivyopelekea watu kuua. Haya mambo yasipokemewa damu itamwagika. Na hakuna vita mbaya duniani kama ile inayosababishwa na Imani za kidini.
 
Nawaomba wakristo popote mlipo kuanzia leo chukueni hatua hizi. Hakuna kununua chochote kwenye duka la mwislam hakuna kupanda gari ya mwislam hakuna kununua kwenye genge la mwislam kila mmoja ajue kwamba uislamu ni ugaidi usimwamini mwislam popote utakapo kutana naye muone kama adui mkubwa wa ukristo na uwe tayari kwa wakati ukifika wa kuifia dini yako tukufu maana wakimaliza kuuwa viongozi wataanza na waumini hivyo tuungane kutokomeza ugaidi wa kiislamu popote pale na misikiti yao iliyojaza makopo machafu ya kunyea iteketezwe popote pale R.I.P mushi
 
......a small group of people na ajenda yao ya uchochezi wanafanikiwa kuchochea chuki ya udini.

Your words will be actions in a very near future. Ni rahisi kutamka 'mkristo vs muislamu'...in reality, it is a YOU vs Your Neighbour/Workmate/Schoolmate/in-law...

Endeleeni tu.
 
kwavile dhehebu lako linawaruhusu kuuwa kwa manufaa ya wengi ipo siku Mungu atasikiliza kilio chetu wakristo na kiyaondoa haya majitu ktk dunia hii.sijui tatizo ni hiyo mindevu wanayofuga.watu wengine wanafuga ng'ombe na mbuzi mijitu wenyewe kilingana ukosefu wa akili yanafikilia kufuga mindevu.
 
kuna watu wamekaa kipropaganda wakati wenzao wana kufa tuache propaganda , Tuwambie wenzetu waislam huko Zanzibar mambo yanayoyafanya sio Mazuri tunakoelekea ni kubaya zaidi sasa kama wewe unaleta propaganda , wenzenu wakristo huko Zanzibar wataendelea kuuwawa. Wakeemeni kwa mabaya wanayo yafanya ,tuache Siasa jamani kwenye Mambo Serious

Tatizo wewe ndio unayeandika propaganda Zanzibar kanisa halikuanza jana; soma historia ya kanisa; upo uwezekano labda alikuwa haelewani na mmoja wa kondoo aliokuwa akiwachunga; hivi wewe hujasikia padri ametembea mke wa muumini kanisani? au padri kapora mke wa mtu? si mnao mfano hai! Upo uwezekano mkubwa tu kauliwa na muumini mwenzake; mtu hatoki tu nyumbani kwake na kusema leo nikaue padri labda kama ni mgonjwa wa akili

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Imefika mahali this "religion of peace" ni hatari kwa usalama wa mpenda amani yoyote
'
Haina maana kuwafumbia macho,waambiwe ukweli!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom