Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muungano ni Dust Bin iliyokwisha muda wake, ITUPWE!
Onesha andiko linalosema "waue watu kwa ajili ya dini!"
Let zanzibar go.
Acha umbulula wewe,isome habari uelewe.Kwanini ni Wakristo tu?Vile vipeperushi ni vyanini?Nani alivitoa? Kama unadhani vingekuwa ni vya "watu wasiojulikana" serikali ya SMZ ingekua tayari imeshachukua hatua!
Ni aibu, fedheha na si busara hata kidogo kwa mtoto wa kike kusambaza chuki....!! Una uhakika kwamba wauaji wamefanya hayo kwa maslahi au kutumwa na Uislamu?! Kwanini kila kinachofanywa na Waislamu mnakihusisha na Uislamu?! Hivi nchi hii Waislamu ingekuwa hawawapendi Wakristo au Wakristo hawawapendi Waislamu unazani nchi ingekalika?! Kwanini mambo yanayofanywa na a small unit of people mna-generalize kwamba ni ya Waislamu? Hakika, watu kama wewe ni hatari zaidi kuliko huyo muuaji kwa maana unajificha kwenye screen na kusambaza chuki!
Eeh Mwenyezi Mungu tusaidie tuondokane na vita hii inayowalenga watumishi wako. Mpunzishe kwa anami mtumishi wako Padre Mushi. Pole kwa ndugu wa marehemu na kanisa katoliki Tanzania na duniani nzima.
Them Islams can do anything in the name of religion. Upole wa waKristo itakula kwao mkidhani hawa jamaa siku wataacha kisa hamlipizi basi endeleeni kusubiri hadi muishe, wao nia yao nikuwamaliza wote. Hata kwa nchi za kiislamu fully hawaelewani wao wenyewe kama huko Malí, Iraq, syria n.k
Huna lolote bwegge wewe, uchunguzi huwa unafanyika sehemu ya tukio kwa kuwahoji eye witness, sio umevaa tauro nyumbani uko nyuma ya keyboard unajambajamba tu hapa.uchunguzi wangu unaanzia hapo! Usikurupuke dogo.
Hivi hii habari inasema kuwa padri kauawa na waislam au padri kapigwa risasi na watu wasiojulikana. What if kama hawa watu walikuwa na personal interest zao na padre na sio suala la imani za dini. Tuache kukurupuka na kukimbilia kutoa mawazo yetu yaliyojaa hisia bila kuwa ushahidi wowote wa kushutumu bila kuwa na uhakika. Tuache polisi ifanye kazi yao na mwisho wa siku waje na ripoti yao. Huu u greet thinker wa humu JF naanza kupata mashaka nao siku hizi, naona member wengi ni waropokaji wasio na fact zozote na huku wasiojua nadhara ya wanachokiropokea.
Tatizo umeshalitaja
mbele ya swali lako au unataka upewe tatizo gani tena?
Tatizo ni kuwa waislamu hawatupendi na wana vita na chuki kubwa sana juu
ya ukristo at the same time wakristo wanaendelea kulala usingizi fofofo
wakizani hawa jamaa ni ndugu zetu.
Prezidaa wenu huyu kaupalilia udini akifikiri utamsaidia kumbe wapi. Nimeshangaa juzi kaja moshi na arusha kuzika wakati zanzibar kuna shehe bachu wa kuzika. Hivi huyu ubongo wake unafanya kazi? Au ndo mambo yanayoendlea ya kushuriwa na wa gombePadri Evarist Mushi, ambaye ni paroko wa parokia ya Minara Miwili - Mtoni Zanzibar amepigwa risasi na watu wasiojulikana leo mida ya saa moja asubuhi akielekea kanisani kuongoza ibada.Source: Radio Wapo