Zanzibar: Padri auawa kwa kupigwa Risasi!

Status
Not open for further replies.
What hell iz this?,tusubiri tamko la wakristu,nafkiri walishachoshwa na haya matukio,
 

Achana na Avatar nliyoweka hayo ni maamuzi yangu, nnaweza kuweka hata Avatar ya Baba yako pia nikitaka, maamuzi ni yangu

Rudi; Mkapa hakuuwa watu msikitini ? Una uhakika ? Mwembechai waliuwawa hakufuatwa msikitini ? Au unafikiria kwa Masaburi style ?

Mlifurahi enzi zile mkasahau kuwa MUNGU anayaonaaa
 
Nazani vyombo vya usalama wachimbe zaidi wapate kiini cha mauaji haya,si bure hapa,kuna kitu tu kipo nyuma ya pazia
 
Haya ni matunda maovu ya udini alioupandikiza JK. Na wenye akili kama ya kwake, kina ustadhi Ilunga, wanaendelea kupalilia kwa kuhamasisha mauaji dhidi ya viongozi wa Kikristu. Serikali iko kimya inasubiri wakristu wachukue wenyewe hatua za kujihami. Serikali inapaswa kutwambia ina ajenda gani katika hili.
 
inawezekana abdul. pia inawezekana ni watu wachache kadhaa wanafadhiliwa au hawafadhiliwi wanataka kujenga mtizamo fulan kwa watu. polis na usalama wa taifa watafuteni na tafitini tatizo hasa nin. mafunzo, pesa na uwezo naamin mnavyo. Fanyeni kazi zenu
 
Kwa hakika ni tukio la kusikitisha,lakini tunapaswa kujiuliza tuna serikali nchi hii? Na kama ipo inafanya kazi gani kuwalinda raia wake? Ni majuzi tumeshuhudia padre mwingine akipigwa risasi huko znz,je?wahusika wamekamatwa?wamechukuliwa hatua gani? R.I.P PADRE EVARIST MUSHI,NAAMIN DAMU YAKO HAITAPOTEA BURE.
 

ndo mungu wenu amewatuma wahuni wakamwue padri!!! Ngoja aje ndugu yako kuuawa na ushangilie pia
 
Tusihukumu dini fulani kuwa imehusika katika hili ni vema tukasubiri vyombo vya usalama vitutafutie ukweli. Nahisi something is behind this and i think is not religious issue may be there is another business. Nawasilisha
 
Wakristo mlioko Zanzibar tembeeni na nyundo kwenye mifuko................mkimbaatisha mwislam mwenye akili mbovu kama huyo aliyeua....pigeni tu......mpaka waishe..
 
Sasa povu linawatoka kwa kuhukumu msichokijua mna uhakika gani hilo tukio na imani za kidini, kiukweli inauma kwa binaadam kupoteza maisha kwa mazingira kama hayo lakini tusihukumu kwa jambo tusilokuwa na uhakika nalo
 
Nani asiyewajua roho mbaya yenu mnasahau kuwa wote ni binadam mnaeneza sera za ubaguzi wa dini nakujiona nyie ndo taifa teule la Mungu.Kazi mnayo na huyo allah wenu.

inaoneka huyajui maisha na umekuja juzi mjini,mimi naishi na watoto wa kikristo wawili na wote nawasomesha mmoja chuo kikuu na mwingine sekondari,haya na mimi ni mwisilamu safiii.embu acha maneno ya uchochezi nyio ndio mnaosababisha matatizo na hizo imani zenu za facebook na jamii forums
 

......................................
 
NasDaz kinachosikitisha hakuna juhudi za wazi za makusudi kutoka kwa hao Waislamu safi kuelimisha wenzao ubaya wa haya!
Mkuu hata Rais mwenyewe hana ujasiri kuwakemea waovu. Si uliona kwenye ile issue ya Mbagala eti anasema " aliyekojolea Quraan ana makosa (yaani yule mtoto) na aliyechoma makanisa pia anamakosa (yaani ile mijitu mizima)
Na juzi kuhusu issue ya Kuchinja badala ya kuwakemea waliosababisha vurugu anasema "mvumiliane"
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…