Mkuu sio Sheikh Ilunga tu, hawa wahubiri wa dini zote kuu mbili,siku hizi wanahubiri zaidi utengano na chuki! hawana mahubiri ya upendo kama walokuja nayo wamisionary na waanzilishi wa uislamu huku kwetu! wengi ni kukashifiana kwa hali ya juu,hili naliona hata humu Jf,imefika mahali Mtume Muhammad katukanwa sana humu,mara mmbakaji, anafuga majini, sheikh kikoti nk.Hii si ishara nzuri,tujirudi jamani!
dada whiteKama umefungua redio wapo utasikia wanavyodadavua tukio lilivyotokea.
Waliomua padre Geita Wanzazibari?
NA AOGOPWE YULE AUWAYE ROHO NA MWILI! LAKINI SI KINYANGALIKA AUWAYE MWILI TU! HAKIKA NIMEAMINI DINI NYINGINE ZINAONGOZWA NA SHETANI LUCIFER MWENYEWE MKUU WA MAPEPO!! MUNGU AMSAMEHE MAKOSA YAKE PADRE MUSHI, AIPUMZISHE ROHO YAKE MAHALI PEMA PEPONI! amen!
inategemea upo sehemu gani.Kama upo dar es salaam ni 98.0 FMdada white
Wapo radio ni FM ngapi?
Kuna mtu yeyote anamfaham Shekh yeyote kutoka Zanzibar anaehudum huku Tz Bara?!
Nahitaji kwenda kumsalimia tu, mana sis sote ni ndugu na tunapendana sana.!!!!
R.I.P Padre Mushi, tuliobaki hai tutakutetea kwa njia yeyote wakat ukifika, mana serikal yako imeshindwa..!
mie umeniboa kuliko kinyesi cha barabarani !Mbona unaongea pumba Ally Kombo ?
Naona kama zimekuruka vile!
Hivi unaona lililotokea ni suala dogo au ndio kichwani kumejaa kinyesi?
Mjinga kweli wewe badala ya kujali uhai wa mtu unaleta ubishi wa dini wakati kifo kinasikitisha!
Umeniboa sana ********!
Shehe auawe Mkenya, kisasi kirudishwe kwa padri Mtanzania!!!!
Kama waislamu wote mna akili ya namna hii basi poleni sana, nyie mtakuwa jamii duni sana kifikra!!