Democracy999
JF-Expert Member
- May 26, 2012
- 945
- 189
Wazanzibari hawakamatani, wanawajua vyema wauwaji wote lakini hiyo ni ajenda ya viongozi pia. Ili kuwaadhibu hawa ni kutangaza serkali moja Tanzania mana SMZ haina kazi yoyote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
amna mwislam anaye mchukia mkiristo. Kama umepitia vizuri comant zote za hii post, utagundua kua wacristo ndio hamtupendi waislam. Mimi nawapenda wacrito. Kwakumuogopa mungu, mimi nimeowa ktk familia ya k-cristo, mkewangu kabadili dini hivisasa ni muislam. Ila nduguzake wote ( kasoro mama 2 ) ni wacathoric. Naleo tunam pango wa kwenda kutembelea familia yake.
You have been banned for 2 months. Reason, the ban you have searched for. Kwi kwi kwi
Mkuu adolay
Waislamu wa Zanzibar hawana tatizo na wakristu; wameishi begabega miaka mingi hata hay matatizo ya kuchoma makanisa chanzo ni siasa za maji taka; kama hawakuyachoma miaka hiyo iweje leo? Rejea kwenye suala la padri nimewauliza hivi hamjawahi kuona au kusikia mapadri wanazini na wake za watu mbona hamjibu? Kuuwawa kwa padri Zanzibar haimaniishi muaji ni muislamu anaweza akatoka George Kibaha kwenda kuua Zanzibar; sioni ni kwa misingi ipi mnataka kuwahusisha wazanzibar na mauji ya padri; acheni vyombo vya sheria vifanye kazi yake; JF wanafiki mpo wengi sana mnakumbuka siku alipouliwa polisi Zanzibar maneno mliyoyatoa? Hizo zote ni roho za binadamu.
Chama
Gongo la mboto DSM
Mkuu adolay
Waislamu wa Zanzibar hawana tatizo na wakristu; wameishi begabega miaka mingi hata hay matatizo ya kuchoma makanisa chanzo ni siasa za maji taka; kama hawakuyachoma miaka hiyo iweje leo? Rejea kwenye suala la padri nimewauliza hivi hamjawahi kuona au kusikia mapadri wanazini na wake za watu mbona hamjibu? Kuuwawa kwa padri Zanzibar haimaniishi muaji ni muislamu anaweza akatoka George Kibaha kwenda kuua Zanzibar; sioni ni kwa misingi ipi mnataka kuwahusisha wazanzibar na mauji ya padri; acheni vyombo vya sheria vifanye kazi yake; JF wanafiki mpo wengi sana mnakumbuka siku alipouliwa polisi Zanzibar maneno mliyoyatoa? Hizo zote ni roho za binadamu.
Chama
Gongo la mboto DSM
Nimekuwa nikisoma taarifa za mateso kwa wakristo yanayolipuka sehemu nyingi zenye uislam duniani.naamini upo mkakati wa kudhoofisha ukristo duniani na hapa tz umeingia.sasa huu ni wakati wa wakristo kukaa pamoja,kuunda mikakati ya kukabiliana na hali hii huku wakiomba MUNGU awape jibu sahihi.pia ni wakati wa wakristo kuyapa uzito matatizo yote wanayoyapata kwa jina la uislam,wayachunguze,wajue kama huu ni mkakati wa waislam au sio?na kama ni waislam ni official agenda ya waislam au ni mkakati wa watu wachache ndani ya uislam?mwisho baada ya kujua adui ni nani na anapanga nini then ni kupambana nae accordingly na ktk kupambana huko it has to be assumed hakuna serikali ya kuwatetea kwa sababu kama ingekuwepo ingekuwa imeshajidhihirisha.naweza kuonekana nageneralise mambo au kuyakuza but i have learned from the past,haya mambo si ya kuyaachia wala kuyapuuza hata kidogo na inatakiwa itumike nguvu kubwa hivi sasa.ikisubiriwa baadae majeruhi watakuwa wengi,ni nani ajuaye,huenda ukawa wewe unayeishia kusema R.I.P tu humu ndani!usisubiri mchungaji wako au mwanao achinjwe,it will be too late!wakati wa kuwa wakali ni hapa hapa mwanzo na kutuma message strong kwamba hatutaki upuuzi na tunaupenda ukristo wetu na tuna haki kama binadamu wengine.Jifunzeni toka Israel.si wajinga wale.reaction zao huwa babu kubwa kwa sababu wanajua tabia na ajenda za maadui zao wasioridhika ambao watakushika sikio,ukikaa kimya unapigwa kofi,ukiendelea na kimya wanakuvua nguo!nimekuwa muumini mzuri wa amani humu JF lakini sasa naona hawa watu wanataka kutukojolea.kilichobaki ni kurusha teke utakayemkuta kainama ameshika nanihii zake huku analia ujue ndio huyo alikuwa anakukojolea,muongezee kichapo!iwe serikali,iwe waislam watajiju pumbavu kabisa!
Mungu ampe pumziko la amani,na wahusika watafutwe na kukamatwa na kupelekwa mbele ya sheria
Utetezi wako hauna mashiko!... SISI tunarejea CD zilizosambazwa na viongozi wa kiislamu kuwa waache kuchoma magari ya watu bali waanze kuua mapadri na maaskofu na wakristo wengine!... Hili tukio si bahati mbaya. Ni mauaji ya kupanga. ... HUWEZI KUWAWEKA MBALI WAISLAMU NA MAAUAJI HAYA!
kama ni uvumilivu wa wakristu umefika hatua umekuwa ni mwiba kwao, serikali haijali ipo usingizini, mi nadhani tuwaombe viongozi wa dini zote za wakristo kuandaa maandamano kuishinikiza serikali kuhakikisha usalama na heshima ya wakristo!!!!
this is too much