Zanzibar: Padri auawa kwa kupigwa Risasi!

Zanzibar: Padri auawa kwa kupigwa Risasi!

Status
Not open for further replies.
Mauji ya Daudi Mwangosi, kuweka ndani kwa Sheikh Ponda,Sheikh Farid na wenzake, kutekwa na kuteswa kwa Dr Ulimboka, na hata kufungiwa na gazeti la Mwanahalisi, kunathibitisha pasi na shaka kuwa serikali ya CCM inayo uwezo, nia na ujasiri wa kutenda pale tu maslahi yao yanapoguswa.

Mauji ya Padre Evarist Mushi huko Zanzibar si kwamba yamefanywa na waislam, bali yamefanywa na wahalifu wanaotumia kivuli cha dini kutimiza azma zao. Na wahalifu hawa wamekuwa na wakati mzuri sana wa kufanya mambo yao kwa sababu serikali ya CCM ina 'interest' kubwa kwenye udini kwani ni njia muhimu ya kugawa na kutawala Watanzania.

Kama kweli serikali ya CCM ingekuwa inaguswa (kimaslahi) na misuguano ya udini wangeshachukua hatua mapema kama walivyofanya kwa Mwangosi, Dr Ulimboka, Sheikh Ponda, na Mwahalisi.

Na huko tuendekako, unless mambo yabadilike - tena kwa haraka - basi Watanzania andaeni viroba vya kubebea vifusi. Makanisa Zanzibar yatapigwa mabomu ya nguvu. Hiki ndicho kinachofuta.

Mazishi ya Padre Evarist Mushi.

Kama kumbukumbu zangu ni sahihi, Padre Evarist Mushi anatokea shirika la White Fathers. Ingekuwa vema kama uongozi wa Kanisa Katoliki wangemzika Padre Evarist Mushi kwenye Seminary yao - USA-River, Arusha. Wakimzika huyu Padre Zanzibar, haitachukuwa muda mrefu, watu 'wasiojulikana - tena, watalifukuwa kaburi lake. Ni matumaini yangu kuwa Kanisa litamrudisha huyu Padre mahali ambapo atapumzika kwa amani.

Mh hujatizama hiyo clip?,ustaath Illulakasema ''WAZI KWEUPEe'' kuwa waislam wasio lege lege wa-ue viongozi wa KI-KRISTO aither kwa kujificha o kujionesha vyovyote vile suala ni kuua mpaka waogopwe,sasa wewe hili la wahuni umelitoa wapi?,wahuni huwa wana ua kwa maslahi ya mali je hao wali iba/kujaribu kuiba baada ya mauaji?,Ukisema WAISLAM SIASA KALI NITAKUELEWA ILA WAHUNI......! mmmmmm acha wewe.haya mambo yanaratibiwa na serikali inaogopa kuwa imara kwayo.
 
Naunga mkono hoja ..............mambo gani haya kuonewa serikali inachukulia poa .......eti tuwe nasubira mamake tusubilri mpaka lini tunakufa....mtu anakuja na panga badala ya kuniambia nijihami unasema nisubiri......ninamoto mimi...kudadeki...hayo makristo yaliyo kwenye mfumo yanadhani hii vita haiwahusu ...bila kujua wakitumaliza sisi watayarudi yenyewe....mko wapi akina pinda

Hao ni CCM na UDHAIFU wao kilaza weye hakuna mfumo kristo,watumwa wa mafisadi wameshindwa kudhibiti al-shabab kwa sababu waliwatumia mwaka 2010 na kuwa acha kama toilet paper,sasa wanadai FADHILA yao kwa nguvu ndo mana DHAIFU na serikali yake wana waogopa.
 
Ni vita ya shetani dhidi ya watu wa Mungu,waumini wa kweli wa Mungu hawapigani kwa bunduki,ni wakati wa wakristo kuondoka huko zanzibar na kuwaachia kipande chao cha ardhi,na wazanzibari wa huku bara nao wafungashe virago watokomee kwao,elimu ni muhimu sana.
Haondoki Mtu! Huwezi ukamsusia gongo mlevi!
 
Mauji ya Daudi Mwangosi, kuweka ndani kwa Sheikh Ponda,Sheikh Farid na wenzake, kutekwa na kuteswa kwa Dr Ulimboka, na hata kufungiwa na gazeti la Mwanahalisi, kunathibitisha pasi na shaka kuwa serikali ya CCM inayo uwezo, nia na ujasiri wa kutenda pale tu maslahi yao yanapoguswa.

Mauji ya Padre Evarist Mushi huko Zanzibar si kwamba yamefanywa na waislam, bali yamefanywa na wahalifu wanaotumia kivuli cha dini kutimiza azma zao. Na wahalifu hawa wamekuwa na wakati mzuri sana wa kufanya mambo yao kwa sababu serikali ya CCM ina 'interest' kubwa kwenye udini kwani ni njia muhimu ya kugawa na kutawala Watanzania.

Kama kweli serikali ya CCM ingekuwa inaguswa (kimaslahi) na misuguano ya udini wangeshachukua hatua mapema kama walivyofanya kwa Mwangosi, Dr Ulimboka, Sheikh Ponda, na Mwahalisi.

Na huko tuendekako, unless mambo yabadilike - tena kwa haraka - basi Watanzania andaeni viroba vya kubebea vifusi. Makanisa Zanzibar yatapigwa mabomu ya nguvu. Hiki ndicho kinachofuta.

Mazishi ya Padre Evarist Mushi.

Kama kumbukumbu zangu ni sahihi, Padre Evarist Mushi anatokea shirika la White Fathers. Ingekuwa vema kama uongozi wa Kanisa Katoliki wangemzika Padre Evarist Mushi kwenye Seminary yao - USA-River, Arusha. Wakimzika huyu Padre Zanzibar, haitachukuwa muda mrefu, watu 'wasiojulikana - tena, watalifukuwa kaburi lake. Ni matumaini yangu kuwa Kanisa litamrudisha huyu Padre mahali ambapo atapumzika kwa amani.

ndio maana nikasema kuwa wakristo wayape uzito haya matukio na kuyafuatilia huku wakipambana nayo.reaction ya wakristo ndio itakayotujulisha chanzo kilipo.nazungumzia maamuzi ya hekima sio kukurupuka.tukae chini,tuungane,tufuatilie,tusipuuze na kuona ni mambo madogo kwa sababu kama ni serikali inatumia uislam tutajua tu na hilo litakuwa tatizo kubwa zaidi.sijui kama mfano wangu wa kurusha teke umeeleweka?!mie nachukizwa na hii tabia ya kubaki tunalalamika tuu humu ndani na kutuma R.I.P nyiiingi huku kuna watz wenzetu wanalia kwa uchungu saa hizi kwa kuondokewa na baba yao,mjomba wao,mfadhili wao,kaka yao,rafiki yao,padri wao n.k
 
Siku zote nasema hapa jamvini WAISLAM na UISLAM ni janga kwa dunia iliyostaarabika. Wao kwa wao ktk nchi zao wanauana. Huku kwetu kwa kuwa kuna wakristo wametugeuza kuwa target yao. Nahisi kuna matatizo flan ya kufikiri kwa haya magaidi. Kiukweli tena toka ndani ya moyo wangu, I HATE UISLAM NA WAISLAM. Marekani haikukosea ilipowaita magaidi hakika matendo yao yanajidhihirisha ktk hili. Ukiona nimekugusa potezea sina haja na reply yako hasa kwako we gaidi mwislam.
 
Ahh!wabongo bhana!mbona hilo padre ni dogo sana huku zbr waislam washapigwa risasi sana tu na wamevumilia na hili itabidi muvumilie ndio mambo.
 
Inawezekana tukawa wanafiki wala sikatai lakini unafiki wetu usadikishwa na idadi kubwa ya makanisa kuchomwa zanziba ikafuatiwa na padri kupigwa risasi zanzibar na kisha kufuatiwa na kupigwa risasi na amekufa padri leo.

Tatizo langu ni kwamba hiyo siasa kwanini haiendi kuchoma misikiti? na kwanini haiendi kupiga risasi mashekh labda tena utuwekesawa kwanini siasa inalenga upande mmoja wa imani?

tunahitaji majibu ya swali hili!
 
Ahh!wabongo bhana!mbona hilo padre ni dogo sana huku zbr waislam washapigwa risasi sana tu na wamevumilia na hili itabidi muvumilie ndio mambo.
na ulaanike wewe na kizazi chako na dhoruba ya kila baya iwe juu ya kichwa chako na familia yako huna soni wewe unafanya masiharaa na roho na damu za watu,damu ya Padri itililike na iwe dawa ya kukusafi pepo weye
 
Suluhu ni Cease fire! yaani Serikali iwaachie kwa dhamana Mashehe wote walioko magerezani la sivyo kuna hatari ya mauaji ya kuviziana kupamba moto! hatuna budi kutumia akili na busara zaidi ya mabavu na vitisho!EE Mwenye enzi Mungu tusaidie!
Kwani hao mashehe wamewekwa ndani na Wakristo?
 
Inasikitisha sana, selikali bado haijachukua hatua, vipeperushi vimesambazwa hakuna hatua, mungu yupo hayo wanayowafanyia wakristu hasa watumishi wa mungu, wakristu tuombe mungu, tumlilie yeye aliyetuumba, maombi ya kufunga na tuwe na uvumilivu






ni vita ya shetani dhidi ya watu wa mungu,waumini wa kweli wa mungu hawapigani kwa bunduki,ni wakati wa wakristo kuondoka huko zanzibar na kuwaachia kipande chao cha ardhi,na wazanzibari wa huku bara nao wafungashe virago watokomee kwao,elimu ni muhimu sana.
 
Ahh!wabongo bhana!mbona hilo padre ni dogo sana huku zbr waislam washapigwa risasi sana tu na wamevumilia na hili itabidi muvumilie ndio mambo.

naomba sana uendelee na huu utani halafu uwaambie hao arabic bastards wenzio waendelee kuvuta trigger huku wakilenga vichwa vyetu..miaka michache ijayo hautakuwa hapo ukibofya tu.utakuwa mapangoni ukiwa na bunduki wakikuita muslim fighter ukiutafuta uhuru huo ulionao sasa.kawaulize wapalestina!mtakuja kuuomba umoja wa mataifa uwasaidieni,nyie endeleeni kuchokonoa mambo tu!
 
Padri Evarist Mushi, ambaye ni paroko wa parokia ya Minara Miwili - Mtoni Zanzibar amepigwa risasi na watu wasiojulikana leo mida ya saa moja asubuhi akielekea kanisani kuongoza ibada.

Source: Radio Wapo
Tunakoelekea siko kuzuri watanzania wenzangu, hali itakuwa kama ya kule Nigeria na tukifikia hatua ile sidhani kama tuta
weza kutatua haya matatizo ya kidini. Hali hii imechochewa na serikali ya CCM kwa kushindwa kuchukua hatua madhubuti kwa ajili ya kulitokomeza hili tatizo. Na naomba watanzania wenzangu mjiulize hili swari; KWANINI HALI HII INACHUKUA KASI BAADA YA UPINZANI WA KISIASA NCHINI KUKUA HATA KUPELEKEA CHAMA TAWALA KUWEWESEKA UCHAGUZI MKUU UJAO 2015 NA HATUA MADHUBUTI HAZICHUKULIWI? Refer lile tukio la kwanza la Padre kupigwa risasi ya shingo Z'bar na kukimbizwa Muhimbili. Je wahusika walikamatwa au kusikia kuwa kuna watu wanaojiwa kwa tukio lile?
 
Siku zote nasema hapa jamvini WAISLAM na UISLAM ni janga kwa dunia iliyostaarabika. Wao kwa wao ktk nchi zao wanauana. Huku kwetu kwa kuwa kuna wakristo wametugeuza kuwa target yao. Nahisi kuna matatizo flan ya kufikiri kwa haya magaidi. Kiukweli tena toka ndani ya moyo wangu, I HATE UISLAM NA WAISLAM. Marekani haikukosea ilipowaita magaidi hakika matendo yao yanajidhihirisha ktk hili. Ukiona nimekugusa potezea sina haja na reply yako hasa kwako we gaidi mwislam.

Ukiwa na hasira busara hupotea na kushindwa kuficha upumbavu wako.
waliohusika ni wawili kwanini uhusishe ulimwengu mzima. Hasa pale ambapo hata ushahidi wa huyo aliyemuua huna.
What if ikithibitika amepigwa risasi na mkristo mwenzake kwa sababu ya ugomvi waiokuwa nao?
 
Maandamano ya kutaka SMZ ifutwe ndio inaowaficha waislamu wenye siasa kali Zanzibar, bunge lipige kura ya kuwepo serikali moja Tanzania

Sasa serikali moja itazuiaje mauaji kaka? Mbona huku Tanganyika kuna vifo vingi zaidi ya ZNZ? Tatizo ni pana kuliko unavyolifikiria. Kama mtekaji wa Ulimboka mpaka leo hajulikani unapata picha gani?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom