ungonella wa ukweli
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 4,210
- 556
Sijui tunakoelekea hali itakuwaje, maana hizi chuki za kidini zitatupelekea kubaya sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio na nyinyi wakristo chagueni rais wenu, IGP wenu, na viongozi wenu wawalinde.
Watu wengine wanataka tufungiwe humu jf unawezaje kutoa majibu mepesi kwa maswali magumu umeambiwa vipeperushi vilitembea baada ya padre wa kwanza kupigwa risasi kwamba bado mapambano yanaendelea,ww huna uzalendo na huenda unavaa suruali fupi.
kitoabu acha unafiki na
uwongo. kama ingekuwa mnamshitakia mungu mnapohisi kuzulumiwa haya ya
leo yasingetokea. mbona jana mliandamana juu ya shekh wenu ponda?
mkaanzisha vurugu pale watoto walipobishana na kufikia hatua ya mmoja
wao ambaye ni mkristo kuhakiki ukweli ule kwa kufnya experiment ya
kukojolea quraan? mmepandikizwa roho mbaya za kuuchukia ukristo bila
kupewa sababu ya kufanya hivyo. angalieni siku zinahesabika.
Babu na bibi zetu
walikuwa na imani zao. Waliishi nazo karne kwa karne mpaka tulipoletewa
dini hizi za kuja. Kuna matatizo gani kwenye imani zao kiasi cha sisi
kuzisahau kabisa?
Kuna dini nyingi sana hapa duniani zikitumia njia mbalimbali kuabudu.
Dini zote hizi zinaabudu MUNGU. Nchi za Asia zinaongoza kwa kuendelea
kuabudu imani zao za asili na kutokubali kuacha imani zao hizo kufuata
imani za kuja. Wanaishi vizuri tu na Mungu anawabariki kwa kuwa mataifa
ambayo yako njiani kuongoza dunia nzima kwenye kila nyanja ya maisha
Uchumi, Ulinzi, Sayansi, n.k.
Jambo la kusikitisha kwetu ni kwamba vijana wetu hawakupewa hata nafasi
ya kuchungulia imani zetu zilikuwaje ili waweze kufanya tathmini na
kuona kama wanahitaji kukumbatia dini hizi za kuja au warudi kwenye
mizizi ya mababu na bibi zao. Historia yote ya dini hizi za mababu zetu
imefutika na hakuna hata juhudi ya kuikusanya na kuihifadhi angalau kama
historia ili vijana wetu waweze kuipitia na kufanya maamuzi yao. Hata
mashuleni kwetu hakuna hata mitaala inayowafundisha vijana wetu imani
zetu. Kwa nini tuone haya kuamini kwenye vitu ambavyo mababu na mabibi
zetu waliviamini?
Sasa tunaburutwa na dini hizi za kuja na kwa kweli ninapopitia thread
hii najisikia vibaya sana kiasi nashindwa kuzuia machozi kutirika jinsi
ambavyo tumeanza kuchukiana na kunyoosheana vidole kwa dini hizi za kuja
ambazo zililetwa kwetu si kwa ajili ya kusambaza dini zao bali kama
chombo chao cha kuweza kutupotezea lengo ili watuibie na kutunyanyasa na
kutufanya watumwa.
Naona humu watu wanaapizana kwamba wao kuanzia sasa ni maadui!!!!
Tumefika hapa kweli ndugu zangu Watanzania? Wote tutakaokubali kufa kwa
ajili ya kuzitetea dini hizi za kuja tutaishia motoni.
Tuanze sasa juhudi za kujitambua kwa kurejea na kupitia imani za Wazee
wetu na kuacha kuburuzwa na imani hizi za kuja kwani Wazee wetu (R.I.P)
nao walikuwa wakimwamini Mungu kama wengine.
Wanahistoria wa Tanzania tafadhali tutendeeni haki kwa kutafuta habari
za dini za mababu na mabibi zetu ili tuweze kuzihifadhi na kuzitumia.
Mimi nitakuwa mtu wa kwanza kuzitumia.
Mwisho nawaomba Watanzania wenzangu tuepuke kuburuzwa na hisia za dini
hizi za kuja kiasi cha kufika kuchukiana na kuuana wenyewe kwa wenyewe.
Tuelewe kwamba Taifa letu ni masikini mno kuweza kupoteza Watanzania
wenzetu wanaohitajika kwa ajili ya ujenzi wa taifa letu kwa kuuwana
wenyewe kwa wenyewe kama vile sisi ni MATAAHIRA.
Tutumie nguvu zetu kutafuta suluhu ya matatizo yetu kama Taifa ili
tuweze kuwa na Taifa lenye neema.
MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI AFRICA
Kama umepanga nyumba ya muislam hama haraka kapange kwa mkristo mwenzako
Ndio na nyinyi wakristo chagueni rais wenu, IGP wenu, na viongozi wenu wawalinde.
Mungu ampe pumziko la amani,na wahusika watafutwe na kukamatwa na kupelekwa mbele ya sheria
Aliyeuwawa Geita ni Mchungaji si padriWaliomua padre Geita Wanzazibari?