kashilimu bwanga
Member
- Aug 12, 2016
- 19
- 16
Acha nchi inyooshwe mlizoea ujingaujinga, kwa sasa ujinga hauna nafac na mtavmba mpaka mtapasuka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siamini kama Rais katoa kauli hiyo, weka clip.. maana kinywa cha Rais hakiwezi kutamka maneno hayoKutoka Unguja Mh. Rais wetu mpendwa anaongea.... Rais kamshangaa Dr. Shein kwa jinsi gani anaweza kusaini makaratasi ya mtu anayekataa kumpa mkono
What does the law say? Ni vizuri kusoma hotuba!Nimesikiliza hotuba ya Rais ya JPM akimshauri Rais wa Zanzibar kuwa kwasababu Shein ndiye anayesaini stahiki za yule aliyemkatalia kumpa mkono siku ya mazishi ya mzee Jumbe basi Shein naye asisaini tena stahiki za huyo mtu.
Nimejiuliza maswali mengi sana lakini mojawapo likawa ni Je stahiki za Maalim Seif ni za hisani ya rais aliyeko madarakani au ni matakwa ya kisheria/kikatiba?
Na je kama ni matakwa ya kikatiba; JPM anamanisha kwamba Shein avunje katiba kwa kutosaini stahiki hizo? Ama kweli safari ndo imeanza.....
Magu toka huko ZNZ usimfundishe mwenzio dhambi za kumpeleka jehanam huyo ni muungwana tafadhali imetosha kwa uchochezi na ugawaji unaofanya!!Kutoka Unguja Mh. Rais wetu mpendwa anaongea.... Rais kamshangaa Dr. Shein kwa jinsi gani anaweza kusaini makaratasi ya mtu anayekataa kumpa mkono
yes, to him!Ndio kitu pekee ulichokiona cha muhimu alichosema Rais hicho??
Kama usemacho ndicho basi hii inchi imekua ikitawaliwa na chama kijinga jinga na sera zake za kijinga jinga.. Nasasa eti CCM inataka kujaribu njia ingine ya kijinga ya kidikteta. Ikishindwa mtatumia njia gani nyingine?Acha nchi inyooshwe mlizoea ujingaujinga, kwa sasa ujinga hauna nafac na mtavmba mpaka mtapasuka.
Mzima kweli weweAcha nchi inyooshwe mlizoea ujingaujinga, kwa sasa ujinga hauna nafac na mtavmba mpaka mtapasuka.
hapana si cha muhimu kabisa....ila nafikiri hakutarajia kitaongelewaNdio kitu pekee ulichokiona cha muhimu alichosema Rais hicho??