Zanzibar: Rais Magufuli amshangaa Dk. Shein kusaini makaratasi ya mtu aliyekataa mkono wake

Zanzibar: Rais Magufuli amshangaa Dk. Shein kusaini makaratasi ya mtu aliyekataa mkono wake

Kama mimi ni maalim seif ningesema kama raisi hapendi basi wazichukue wao
 
Hatari sana..,...nafikiri akina lowasa,sumaye watanyanyasika sana kupata haki zao,wawe wepesi kuuambia umma endapo itatokea,mbona hii ni haki ya kisheria!! Kulikoni!!! Sheria yenyewe si ya muungano!!
Mkuu Lowasa na Sumaye wajanja wale wazee,hawawezi kufanya utumbo wa dizaini ile,kwa hiyo si rahisi kuingia mtegoni kihivyo,na mfano mzuri si tuliuona jinsi Lowasa alivyosalimiana kwa upendo na Mheshimiwa Rais?Ile ndo inaitwa akili ni bora kuliko mali.Wewe huwezi kumletea dharau bosi wako halafu utegemee akupe utumishi uliotukuka,ukijiingiza kwenye vita ya mawe halafu ukakimbilia kwenye jumba la vioo huku unawahi kufunga milango na kufuli ni kuichekesha jamii.



A
 
Huo siyo mfano maana hakukuwa na njia ya kupenya kwani hesabu hazidanganyi na hata huo uchaguzi wangeenda kuufanyia marekani lazima ukawa wangeshinda yaani ni sawa na kutabiri mvua kunyesha kipindi cha masika

Hata kama hakuna njia ya kutokea hapa tunazungumzia kauli.
 
Hiyo Ni kauli Yake na roho yake mwenyewe kama Magufuli,it does not mean all Tanzanians have to follow his opinion.
 
Dalili za kubadili katiba mtu atawale milele naziona muda si mrefu kisa kitakuwa sijamaliza kujenga viwanda mauchaguzi yatatumalizia pesa zetu bora tuzipeleka kwenye viwanda nawaza kwa sauti kutoka moyoni
 
Mungu rehemu.
Rais anaehubiri na kufitinisha raia zake!!
 
Kumbe lile tukio la Lowassa kwenye jubilee ya Mkapa halikuwa la hiari???????
 
Kwani Shein anaamua yeye au katiba ya nchi ndo inamfanya asaini
Jiongeze kidogo mkuu,hivi unadhani Boss akiziweka pending hizo form za kusign utamlazimisha asign?Ukienda kusainiwa fomu kwa mjumbe wa nyumba kumi tu ukienda kuchukua signature unaenda mikono nyuma na ukijidai mjuaji wenye adabu zao watachukua signature wanakuacha unasota.Signature utapata lakini utasota sana sasa kwanini uhangaike kwa ujinga wa kufikiri tu,HESHIMA NI SILAHA KALI KULIKO HATA PANGA LILILOTOKA KUNOLEWA NA TUPA.
 
Acha nchi inyooshwe mlizoea ujingaujinga, kwa sasa ujinga hauna nafac na mtavmba mpaka mtapasuka.
Duh hivi ulifikiria unachokiandika mkuuu

Anayenyooshwa nani kwani hizo pesa seif sharif anapewa kutoka mifukoni au kwa mujib wa sheria??
 
La Jecha kufuta uchaguzi halali na la Maalim kukana mkono wa unafiki lipi dhambi? Unafiki wa CCM unatisha.
 
Jiongeze kidogo mkuu,hivi unadhani Boss akiziweka pending hizo form za kusign utamlazimisha asign?Ukienda kusainiwa fomu kwa mjumbe wa nyumba kumi tu ukienda kuchukua signature unaenda mikono nyuma na ukijidai mjuaji wenye adabu zao watachukua signature wanakuacha unasota.Signature utapata lakini utasota sana sasa kwanini uhangaike kwa ujinga wa kufikiri tu,HESHIMA NI SILAHA KALI KULIKO HATA PANGA LILILOTOKA KUNOLEWA NA TUPA.

You are very low than we expected.....
Katiba ndo inamtaka assign na sio matakwa yake.....
 
Hajui wapemba wanajuanakwa vilemba..hata wao wazanzibar nadhani Leo wamemshangaa Magu
 
Back
Top Bottom