Zanzibar: Rais Magufuli amshangaa Dk. Shein kusaini makaratasi ya mtu aliyekataa mkono wake

Zanzibar: Rais Magufuli amshangaa Dk. Shein kusaini makaratasi ya mtu aliyekataa mkono wake

Watu wanafiki sana tena haswaa hawa wajiitao wapinga kila litendwalo na uongozi was serikali ya awamu ya tano,hv rais kakosea kitu gani? Je,ilikuwa ni busara kwa seif kuukataa mkono wa rais mbele za watu na alikuwa anatoa picha gani kwa kadamnasi? Alifanya udhalikishaji na hyo ni kutokana na dhana yake kuwa hataki kukubali kuwa shein ndiye rais wa znzbar,sasa Leo hii na mijidevu yake kama kiota cha mwanchoko anapeleka fomu zake zisainiwe na MTU asiyemsadiki kuwa rais wake that is totally foolish upon him,next time ajifunze kiburi sio maunguana na nyie nyumbu sio kila jambo mnalisimamia vidole ikiwa hata halina tija acheni uzwazwa
Sawa haikuwa busara je kauli ya Magufuli unaona ndio inawapatanisha au inazidi kuwatenganisha. Tafadhali naomba unijibu ukiwa hujanywa pombe
 
Wapinzani humu Jf ni wa ajabu sana
Sefu alipokiuka sheria ya mungu inayosema mpende adui yako kwa kukataa kutoa mkono wake,msibani mbele ya viongozi wa dini mlimsifia,sasa Rais wetu anavunja sheria ya dunia,tutapisha sheria mpya ya mafao,kiongozi akijitoa ufahamu mafao yafyekwe

Soma mada uelewe ndo uje na comments otherwise unajichoresha humu. Tunazungumzia maamuzi au ushawishi unaopelekea uvunjwaji wa sheria na katiba ya nchi. Usilinganishe mapenzi na mustakabali wa nchi hii
 
Kama katika katiba inasema kila raia wa wa Tanzania analazimika kusimama bendera ya nchi inapopandishwa iweje kwa Rais kutopewa heshima yake na kudharauliwa kiasi cha seif kutokumpa mkono mbele za watu na jioni kwenda kudai pesa za matibabu
Kwani hizo pesa shein anatoa mfukoni kwake si kodi za wananchi? Wacheni kuwa na akili fupi bana .
 
Hakika tumepata Raisi mkweli na wala sio mnafiki kabisa. Raisi mpenda ukweli na mkemea uovu hadharani.
Hii imedhihirika katika Ziara yake uko Zanzibar.

Hakika umeacha somo kubwa sana Zanzibar la kuhusu amani na upendo kwamba baada ya uchaguzi kinachofuata ni kufanya kazi na kuachana uhasama wa kisiasa.

Wako wanaofurahia Zanzibar kuwa sehemu ya machafuko hao ndio wanaopita mitandaoni na kuchafua ile maana yako yakutokuwa mnafiki na kusema ukweli mtupu.

Maraisi wa hulka yako ni wachache sana duniani maana Maraisi wengi haswa wanakuwa madikteta huwa wanadili na wapinzani wao kimya kimya laki ww unamwambia ukweli tena hadharani kwamba wanachotengeneza ni bomo na wao hawastahili.

Hakika Zanzibar somo wamelipata na wamelielewa vizur na matunda yake yataonekana soon.
Hongera sana JPM.

Mwenyekiti CCM JF
Hekma na busara ni Kitu muhimu sana katika kuwaungaisha wananchi wako. Rais kawatenganisha wazanzibari Jana badala ya kuwaunganisha.
Btw huu Uenyekiti wa CCM hapa JF kakupa nani? au ndio mambo ya kujitengenezea njia uonekane. Haya kila la kheri.
 
Mkiona mnakereka sana mjue umasikin hautaki kuwaachia, lakn neema huja kwa maumivu, hivyo tumieni maumivu hayo kuwa fursa mtoke huu ndo wakt wenyew. Wa
Wapinzan nyie mpo wapi kati ya makundi haya? Mosi Protestants, Pili Opposition?? Tafakarin dhana hizo na agenda zake ndo mtajua mnaendesha siasa gan, na hatua za magufuli ni halali yenu.
Kauli za mkuu ndio zitaleta umasikini.
 
Wapinzani humu Jf ni wa ajabu sana
Sefu alipokiuka sheria ya mungu inayosema mpende adui yako kwa kukataa kutoa mkono wake,msibani mbele ya viongozi wa dini mlimsifia,sasa Rais wetu anavunja sheria ya dunia,tutapisha sheria mpya ya mafao,kiongozi akijitoa ufahamu mafao yafyekwe
Sasa wewe kwa akili yako hiyo nusu ulojaaliwa rais anawaunganisha au anawatenganisha wazanzibari? Ndiyo maana Nabii Suleiman as alimuaomba Mwenyezi Mungu Hekma.
 
Yeye aliyekataa shughuli za Siasa,na aliyekataa mkono wa kinafiki nani wa kunyooshewa kidole?
......kuna shughuli za kisiasa za kinafiki, hizo ndo zilizo kataliwa ! kwa hiyo nyoosha kidole kwa siasa za kinafiki
 
Tanzania ilikua inahitaji raisi WA aina hii tangu siku nyingi.
 
Ivi Magu alienda kuwaunganisha Wazanzibari kweli ?

RAIS: hakuna mpinzani atatia mguu katika serikali yangu..
(sio kauli ya kibaguzi? lakini kwani Mrema vepe ?au kamsahau ?)

RAIS: huyo aliekataa kisima chake kutumiwa na watu wa chama fulani, mngemtumbukiza kisimani..

Na je aliekataa wapinzani kuingia kwenye serikali yake ?

RAIS: huwezi kukataa mkono wangu halafu nisaini stahiki zako..

Na je waliomzomea Mbeya, ndio atawatenga ?
Seif anafurahia huo ubaguzi wa watu wa CUF kubagua wa CCM huko Pemba, ndo maana yuko kimyaaa !

Na yeye stahiki zake zicheleweshwe ila asinyimwa .......posho ya mwezi huu asaini June2017
 
Ndio.Ni mbinu ya kufikia Tanzania ya Magufuli,Tanzania ya uchumi wa kati,ya viwanda
 
Wafanyabiashara wametishika.
...bandari ya dar nyeupeer kama uwanja wa mpira,nashauri wapageuze beach na yale mawinchi yawe bembea za watoto,waweke kiingilio 5000
 
Back
Top Bottom