Watu wanafiki sana tena haswaa hawa wajiitao wapinga kila litendwalo na uongozi was serikali ya awamu ya tano,hv rais kakosea kitu gani? Je,ilikuwa ni busara kwa seif kuukataa mkono wa rais mbele za watu na alikuwa anatoa picha gani kwa kadamnasi? Alifanya udhalikishaji na hyo ni kutokana na dhana yake kuwa hataki kukubali kuwa shein ndiye rais wa znzbar,sasa Leo hii na mijidevu yake kama kiota cha mwanchoko anapeleka fomu zake zisainiwe na MTU asiyemsadiki kuwa rais wake that is totally foolish upon him,next time ajifunze kiburi sio maunguana na nyie nyumbu sio kila jambo mnalisimamia vidole ikiwa hata halina tija acheni uzwazwa