Zanzibar: Rais Magufuli amshangaa Dk. Shein kusaini makaratasi ya mtu aliyekataa mkono wake

Zanzibar: Rais Magufuli amshangaa Dk. Shein kusaini makaratasi ya mtu aliyekataa mkono wake

Yeah, he never means what he says, Magufuli anachokisema huwa anamaanisha kinyume chake. Akisema nakupenda anataka kukuua!

Magufuli anasema Uchaguzi umekwisha. Halafu anapanda jukwaani kumpigia posthumous campaign Makame Mbarawa ambae alishapigwa chini jimbo la Mkanyageni. Anawaambia watu kwa nini hamkumchagua ubunge Mbarawa, sasa hebu nambie, huyu Mbunge wa sasa unataka watu wafanye nini, wam isolate? Wasimpe ushirikiano? Huo si ndio uchochezi wenyewe? Utasemaje uchaguzi umekwisha halafu unawakandya wapiga kura kwa kuchagua mtu fulani????

Makame Mbarawa hata wakilazimisha he does not have a very bright future in national politics, not least because he hails from Pemba, which is a C.U.F. stronghold. Waziri Mkuu hawezi kwa sababu lazima uwe mbunge wa kura.

Labda wamfanye kama Shein wambebe bebe C.C.M. huko awe Makamu baadae Rais wa Zanzibar. Shein alishawahi kushinda ubunge Pemba? I don't remember.
Brother
We have the president with non presidential material ever happen before
 
Raisi wa VISASI na KIBURI hawezi kuleta maendelea kwa nchi yoyote ile.

NEVER!
Mkuu
Hawa watu wanamtaja Mungu bure tu..
Huyu mtu anaesema watanzania wamuombee kweli hata sara zao zitafika?
Mtu uliehubiri upendo kuachana na chuki juzi tu kwenye ndoa ya mkapa leo ukahubiri chuki pemba
..hivi viongozi wake wa kiroho wamuelewe vipi?
Kama hawatii aibu ni nini??
 
Ambague nani. Kwani katika upuuzi ule nano alianza. Shein akiwa hana hata kinyongo kanyoosha mkono. Rais mzima mzima. Huyu mwingine kwa ujinga tu eti anasusa. Kama si utoto ni nini. Ndio maana nasema hata ningekuwa mimi Shein. Huyo jamaa akija kwangu kwanza anieleze kaja kwangu kama nani. Je ananitambua mimi ni nani. Na anataka nimsaidieje. Hiyo ndio spirit ya kunyooshana. Hatutaki ujinga ujinga kamanda. Hizi zama nyingine. Zama zile ambazo bado mpo tulishapita huko. Mtakuwa mmepitwa na wakati tuu
hizo pesa anazosaini Shein ni zake au ni kodi zetu? Hayo mambo ya kupeana mikono yako kwenye sheria gani? mnataka kutumia ofisi za umma kwa mahaba yenu?
 
Ninapatwa na mashaka mengi kuwa pengine kuna wakati bob anakuwa sio yeye yaani akili yake inapata intruders. .na hili linasemwasemwa
Watu wanasema sema ..nimeona na mimi kuna mtu kaeleza kuwa utotoni jamaa alianguka kwenye mti sasa kuna kitu fulani hakija kaa vizuri from then
 
Hivi kama ni hotuba umeshawahi zisikia hotuba za Seif ? bora Magu anakoleza moto lakini Seif anakolezaga gesi. Ambayo ikilipuka utaona masizi tu.tuache kudanganya raia. Wananchi wameshazinduka hamuwaongopei tena.
magufuli aliporwa ushindi wake na Jecha?
 
Magufuli awe na written speeches siyo Propaganda.
Huyu ndiye Rais muafaka kwa wakati muafaka na kwa kuirudisha nchi kwenye line. Mtanyooka tu hiyo bembeleza bembeleza ndoo imeifikisha nchi mahali hapa.
 
wacha uwongo huo.. mara ya mwisho alipoenda matibabu india Serikali ndiyo iliyolipa gharama zote.. Naona una goldfish memory.. kwani hiyo habari ilienea kila sehemu.. tafuta chengine cha kudanganya
Kama gharama za matibabu ya mstaafu makamu wa rais yako ki sheria kuwa laxima atibiwe kwa pesa ya serikali..tatizo ni nini??
Ni wajibu wake shein kuhakikisha hilo na wala hakufanya hivo kwa hisani binafsi
 
Ndio kitu pekee ulichokiona cha muhimu alichosema Rais hicho??

Cho chote anachosema rais ni cha muhimu.

Nyerere alikaa urais muda mrefu sana, kuna hotuba yake moja alisema rais akipiga chafya tu dunia nzima inasikiliza.

Chafya. Dunia.

Sembuse maneno.

Magufuli hana kifua cha maneno. Hii ni tabia mbaya sana kwa rais. Inaweza kuleta vita.
 
Anayevunja maagizo ya mwenyezi mungu anayetuagiza tusalimiane na kuheshimu mamlaka humshangai unakimbilia kumshangaa anayevunja katiba iliyotungwa na binadamu?
Kulikuwa na hekma kubwa sana mwenyezi mungu alipotuagiza tuheshimu mamlaka,kumbuka hapa mwenyezi mungu hakuweka condition kwamba mamlaka unayotakiwa kuiheshimu ni ile unayoikubali tu,ujumbe hapo ni mmoja tu,mpe heshima anayestahili kuheshimiwa hata kama hapendi na hata kama wewe hupendi,hiyo ni kwa faida yako wewe mwenyewe...ukijidai huamini hili laana zitakapoanza kukuandama usishangae na kuanza kusingizia katiba,kama yeye ni hodari wa katiba kwani katiba inaruhusu kumdhalilisha mkuu wa nchi?ukijidai mtu wa timing ujue watu wenye mipango ya kichwa wapo pia.
kwahiyo Jecha ni Mungu? acheni kutafsiri maandiko huku hamtendi haki.
 
Hajui kuchuja maneno...hana maono wala dira..kwake linalomwijia kichwan anaropoka..hili ni tatizo kubwa na kwa mtindo huu wa kauli za kibabe wala hawezi kulisogeza taifa mbele..leo ukweli unaanza kujidhihili...uchumi wa nchi uko hovyo sana..lakin yy bado ni majigambo ..

Hotuba zake huwezi kuzifanyia marejeo zimejaa ubinafsi..mimi ndio rais..mimi ndio rais..huku akitafuta umaarufu kwa watanzania wajinga wanaomshukuru kwa kuliwezesha tukio la kupatwa kwa jua kutokea nchini...

Si kila msitu ni kwa ajili ya kila nyani..hata nafasi ya urais si kwa kila mtu wa aina yake..ajifunze kuliunganisha taifa na sio kuligawa..asifikir yeye ana akili sana kuliko watanzania wengine..zile pushups na kupita juu ya roof ya gari vinasadifu aina ya mtu tulie nae..

Kwa bahati mbaya hata waziri mkuu nae kawa kimya na kwa hali ilivyo inaonekana ni mtu wa kuburuzwa asiyeweza mshauri rais ipasavyo..yupo yupo tu anahangaika..
Ziara yake zanzibar imetia chumvi kwenye kidonda...mambo ya ajabu sana..
 
KWAHIYO UNASEMA KUWA KWA KAULI HIYO YA RAIS BASI NCHI INAKWENDA KUANGAMIA...IS IT?

HILO NDILO AMBALO MMEONA LINAANGAMIZA NCHI NA SUALA LA SEIF KUTOMPA MKONO RAIS SHEIN MLIONA NI JAMBO LENYE KHERI KWA MUSTAKABALI WA NCHI.

RAIS WETU MPENDWA MARA NYINGI AKIWA ANAZUNGUMZA HUWA PIA ANAIFURAHISHA HADHIRA YAKE KWA KUCHOMEKEA MANENO YA UTANI...NYIE BAVICHA MNAKAA ATTENTION KUSIKIA KAULI GANI ANAITOA MJE KUPOTOSHA HAPA KWA KUSEMA ANAMAANISHA....

RAIS JPM TUNAMFAHAM VIZURI NA TUNAIFAHAMU DHAMIRA ALIYONAYO KWA TAIFA LETU YA KUONA KILA MTU ANAISHI MAISHA MAZURI YENYE MATUMAINI. KUWEPO WATU WA KUMPINGA NA KUPOTOSHA HAIEPUKIKI KWAKUWA WAPO WATU AMBAO DHAHIRI HAWATAFURAHISHWA NA NIA YA SERIKALI YAKE YA KUPAMBANA NA RUSHWA NA UZEMBE KAZINI. WATU HAO NI WACHACHE UKILINGANISHA NA WANYONGE AMBAO TUKO WENGI NA TUNAMUUNGA MKONO...
hata Nyere alikuwa na dhamira nzuri na nchii lakini tulivaa viraka.
 
Rais anahubiri chuki ya watu kutumbikizana kwenye visima.
 
Kama gharama za matibabu ya mstaafu makamu wa rais yako ki sheria kuwa laxima atibiwe kwa pesa ya serikali..tatizo ni nini??
Ni wajibu wake shein kuhakikisha hilo na wala hakufanya hivo kwa hisani binafsi
Fuatilia vizuri usiwe unakurupuka tu.. mimi hapo nimemjibu pale aliposema Maalim anajilipia mwenyewe na ndiyo nikamjibu analipiwa na serikali na sijasema kabisa ya kuwa seif hastahi kulipiwa na serikali... hivi shule mnaenda kufanya nini?
 
Rais anahubiri chuki kiasi hiki? Afrika isahau maendeleo. Mungu hawezi kujalia nchi yenye watu wenye chuki kiwango hiki.
 
Magufuli ni chaguo sahihi la Mungu pia ana maamuzi sahihi na yaki-NABII.. Hata mkono wa nabii ukinipitia sio mbaya..Mkwere mlisema ni mpole sasa amekuja rais imara mnalia.. Watanzania tuliishi kwa mazoea sana tunahitaji kupigwa na mkono wa chuma.
Labda Mungu wako wa mizimu
 
Back
Top Bottom