Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Mwinyi ametangaza ongezeko la mshahara kwa 15%
Kutokana na utaratibu huo kima cha chini cha mshahara kitapanda kutoka Tsh. 300,000 hadi Tsh. 347,000 sawa na asilimia 15.6
Ongezeko hilo linatarajiwa kutolewa kutumia mfumo wa uzoefu, ujuzi na elimu ya mtumishi
======
Maoni yangu:
Hussein Mwinyi ambaye ni Rais wa Zanzibar hakika ni kiongozi mwenye kujali sana!
Kutokana na utaratibu huo kima cha chini cha mshahara kitapanda kutoka Tsh. 300,000 hadi Tsh. 347,000 sawa na asilimia 15.6
Ongezeko hilo linatarajiwa kutolewa kutumia mfumo wa uzoefu, ujuzi na elimu ya mtumishi
======
Maoni yangu:
Hussein Mwinyi ambaye ni Rais wa Zanzibar hakika ni kiongozi mwenye kujali sana!