Zanzibar: Rais Mwinyi ameongeza mshahara kwa Watumishi kwa 15%

Zanzibar: Rais Mwinyi ameongeza mshahara kwa Watumishi kwa 15%

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Mwinyi ametangaza ongezeko la mshahara kwa 15%

Kutokana na utaratibu huo kima cha chini cha mshahara kitapanda kutoka Tsh. 300,000 hadi Tsh. 347,000 sawa na asilimia 15.6

Ongezeko hilo linatarajiwa kutolewa kutumia mfumo wa uzoefu, ujuzi na elimu ya mtumishi

Zanzibar mishahara.jpeg


======

Maoni yangu:

Hussein Mwinyi ambaye ni Rais wa Zanzibar hakika ni kiongozi mwenye kujali sana!
 
Breaking: Rais wa Zanzibar Atangaza Ongezeko la mshahara 15%

Source: Ikulu zanzbar
 
Muda utaongea kwani mwezi wa saba ni mbalii watumishi mtajua kama ni maneno au katekeleza ahadi yake
 
Hiyo ni mipango ya kaka na dada kuhusu maslai ya nyumbani. Na pesa za nyongeza zitatoka huku bara Hangaya anazipeleka. 2025 chagueni Rais mtanganyika atoke chama chochote mradi tu mtanganyika
 
Back
Top Bottom