park don
JF-Expert Member
- Dec 2, 2017
- 4,923
- 7,048
Unauhakika!!?Wahindi wanasema " dogo dogo nyingi shinda kuba moja"
Kodi kwao ni ndogo ila wanalipa wengi so inakuwa nyingi
Huku kodi kubwa wanalipa wachache so inakuwa ndogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unauhakika!!?Wahindi wanasema " dogo dogo nyingi shinda kuba moja"
Kodi kwao ni ndogo ila wanalipa wengi so inakuwa nyingi
Huku kodi kubwa wanalipa wachache so inakuwa ndogo
Kingine cha kukazia labda ni ubadhirifuUnauhakika!!?
filamu imelipaAisee sisi huku ni tunawekwa busy na filamu tu.
Uje na sledi ya kupongeza 23.3% basi, utakuwa muungwana sana.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Mwinyi ametangaza ongezeko la mshahara kwa 15%
Kutokana na utaratibu huo kima cha chini cha mshahara kitapanda kutoka Tsh. 300,000 hadi Tsh. 347,000 sawa na asilimia 15.6
Ongezeko hilo linatarajiwa kutolewa kutumia mfumo wa uzoefu, ujuzi na elimu ya mtumishi
View attachment 2217716
======
Maoni yangu:
Hussein Mwinyi ambaye ni Rais wa Zanzibar hakika ni kiongozi mwenye kujali sana!