Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Sio flat rate jombaa... Kila mtu na mshahara wake then unapigia hiyo 15% yake.. its a good money
Nimeshindwa kumuweka kundi gani huyo
15% ni nyingi mno kwa kupandishiwa mshahara
Hapa [emoji636] huwa mshahara ukipandishwa ni 6.6% na sana ikizidi 6.8% na wanafurahi sio haba
Sasa 15% anaiona ndogo maajabu haya