Mtimkavuorg
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 655
- 527
Mbona Zanzibar wanaongeza sana ata kipindi cha baba waliongezwa kule kawaida tu kuongeza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nazani kuna wajanja wana mchezea uyu mother haonekane kama sanamu[emoji81][emoji81][emoji81]
Shukrani boss 🙏🙏Nami ni mmoja wa watumishi wa serikali, kwa hiki ulichokiandika hujokosea mkuu. Ni kweli tunaongozwa kwa matamko. Atakae kulaumu huyo hataki tu kukubali ukweli.
Yes! Wenye Tgs kubwa wanapanda juu sanaa. Huyu wa chini sasa ndiyo balaaGood money kwa wenye mishahara minono
Sasa huyu wa kima cha chini alitakiwa aangaliwe kwa namna yake.
Yes! Wenye Tgs kubwa wanapanda juu sanaa. Huyu wa chini sasa ndiyo balaaGood money kwa wenye mishahara minono
Sasa huyu wa kima cha chini alitakiwa aangaliwe kwa namna yake.
🤣🤣🤣🤣Aibu Sana Hii
Jiandae asilimia pungufu ya hiyo 15Huku kwetu,tumeambiwa.
"Lile jambo letu lipo"
Jirani na tanganyikaNchi jirani
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 eti ukawe mkojaniKwani uraia wa zanzibari sh ngapi, niende nikawe mkojani huko.
Ndio maana wanataka muungani ufe na ukifa tu miaka 10 mingi watatuacha mbaaali mnooo.
Ni punguzo47k ndio nyongeza hiyo..
Umeambiwa mshahara hautoongezwa mkuu??Tanganyika kuna mahali tulikosea kunahitajika marekebisho haraka iwezekanavyo na Sio zaidi ya mwaka 2025
Nani mjinga? Aliyepandishiwa mshahara kwa 47k au aliyepandishiwa kwa mipasho kwamba mna jambo lenu.Hujui historia yao
Zanzibar hawanaga umoja, wana upemba na unguja kwa sana, wala hawapendani.
Sasa kupanda mshahara sh 47, 000 unaona nyingi..
Tunampongeza kwa hili. Pia arekebishe mambo yake ya uchaguzi🤣Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Mwinyi ametangaza ongezeko la mshahara kwa 15%
Kutokana na utaratibu huo kima cha chini cha mshahara kitapanda kutoka Tsh. 300,000 hadi Tsh. 347,000 sawa na asilimia 15.6
Ongezeko hilo linatarajiwa kutolewa kutumia mfumo wa uzoefu, ujuzi na elimu ya mtumishi
View attachment 2217040
View attachment 2217042
Kule ccm ndio inawabagua watu. Wenyewe wanapendana.Hujui historia yao
Zanzibar hawanaga umoja, wana upemba na unguja kwa sana, wala hawapendani.
Sasa kupanda mshahara sh 47, 000 unaona nyingi..