Mpandisha mishahara
JF-Expert Member
- Mar 1, 2014
- 1,742
- 1,558
Kula mtori, nyama zipo chini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kitu kama hicho, mwenye mshahara mdogo ana payee ndogo na kazi pia zinaakisi mshahara wake, na mwenye mshahara mkubwa analipa payee kubwa na kazi zake zinaakisi mshahara wake.Yes! Wenye Tgs kubwa wanapanda juu sanaa. Huyu wa chini sasa ndiyo balaa
Uzalishaji wao uko vipi?Zanzibar ni kijiji idadi yao ni ml 1.5, hata wakiongezwa asilimia 200 na wakalipwa mshahara watu wasoo na ajira no sawa kabisa.
Na ina dakka ngapi jumla?Filamu yenyewe dakika 30 inaongelea utalii wa Zanzibar.
😁😁 ukiwa mchumi utaikosti nchi. Ko china yenye mabilioni ya watu haiwezi katu kuongeza mishahara? Nigeria na tz ipi yenye wafanyakazi wengi? Mbona imeongeza 17%? Hujui kama ni wengi ijue demands nayo ni nyingi na inputs lazma ziwe nyingi pia.Kuna tatizo sehemu kwa upande wa Tanganyika ,Ingawa Tanganyika ina wafanyakazi wengi hivyo kuongeza salary lazima kufikiria mara mbili mara tatu .
Akili zake zinafanana na kiongozi mmoja hivi aliyekuwa anaona kuwaongeza mishahara watumishi ni kupoteza mabilioni ya shilingi😂😂😂😁😁 ukiwa mchumi utaikosti nchi. Ko china yenye mabilioni ya watu haiwezi katu kuongeza mishahara? Nigeria na tz ipi yenye wafanyakazi wengi? Mbona imeongeza 17%? Hujui kama ni wengi ijue demands nayo ni nyingi na inputs lazma ziwe nyingi pia.
😁😁 mnifafanulie kidogo, ni kwamba hiyo 47000 ni kwa kila mfanyakazi au ni kwa mwenye kima cha chini alokuwa akipata laki 3? Ila wale walokuwa wanaingiza milion 1 wao inaongezeka laki 1+Hujui historia yao
Zanzibar hawanaga umoja, wana upemba na unguja kwa sana, wala hawapendani.
Sasa kupanda mshahara sh 47, 000 unaona nyingi..
umempatia kweli mkolomije huyoo😁😁 ukiwa mchumi utaikosti nchi. Ko china yenye mabilioni ya watu haiwezi katu kuongeza mishahara? Nigeria na tz ipi yenye wafanyakazi wengi? Mbona imeongeza 17%? Hujui kama ni wengi ijue demands nayo ni nyingi na inputs lazma ziwe nyingi pia.
Huku ukiwa kubwa sana ni 10% labda waweke kubwa zaidi ili kupinga ujumbe wangu kama wakiusoma nakuonesha mama hatabiriki.Jiandae asilimia pungufu ya hiyo 15
17% ndio itakuwa nzuri. Ila kwa kufichaficha huku angalia usikutane na elfu 36 kwenye account.Huku ukiwa kubwa sana ni 10% labda waweke kubwa zaidi ili kupinga ujumbe wangu kama wakiusoma nakuonesha mama hatabiriki.
Uko vizuri Sana ,hasa upande wa utarii,Uvuvi na kilimo Cha iriki,ndiyo maana hayati Karume alitaka awajengee makazi kila mwananchi na kuwalipa mishahara.Uzalishaji wao uko vipi?
Ko wanazalisha sana ndo maana umeme waloutolea bara bei kwao ni nzuri kuliko bara yenyewe? 😂 kweli sisi ni wadanganyika.Uko vizuri Sana ,hasa upande wa utarii,Uvuvi na kilimo Cha iriki,ndiyo maana hayati Karume alitaka awajengee makazi kila mwananchi na kuwalipa mishahara.
Uko vizuri Sana ,hasa upande wa utarii,Uvuvi na kilimo Cha iriki,ndiyo maana hayati Karume alitaka awajengee makazi kila mwananchi na kuwalipa mishahara.Uzalishaji wao uko vipi?
1,604,000
Iriki au karafuu?Uko vizuri Sana ,hasa upande wa utarii,Uvuvi na kilimo Cha iriki,ndiyo maana hayati Karume alitaka awajengee makazi kila mwananchi na kuwalipa mishahara.
Wahindi wanasema " dogo dogo nyingi shinda kuba moja"Chanzo cha mapato zenji ni nini!?? Kodi zipo chini sana, utalii kama bara tu, chanzo ni nn hasa!!!?