Zanzibar: Rais Mwinyi ameongeza mshahara kwa Watumishi kwa 15%

Zanzibar: Rais Mwinyi ameongeza mshahara kwa Watumishi kwa 15%

Kwa huku kwetu ukitangaza wafanyabiashara nao wanaongeza bidhaa bei! Sasa imagine unatangaza mshahara wa ongezeko kwa wafanyakazi wa serikali ambao hawafiki hata milioni moja,bidhaa zinapanda halafu watu milioni kadhaa huku ambao ni wengi hawajaongezewa mishahara huoni Kama ni kuwaumiza wenye vipato ambao havipandi!..
Nafikiri kutotangaza ni vyema zaidi ila wafanyakazi wa serikali itakuwa ni siri yao. I
 
Hujui historia yao

Zanzibar hawanaga umoja, wana upemba na unguja kwa sana, wala hawapendani.

Sasa kupanda mshahara sh 47, 000 unaona nyingi..
Wanaopanda amadaraja wataona tofauti ila sip hiyo 47 ni kama vile hakijaomgezeka kitu
 
Tanganyika kuna mahali tulikosea kunahitajika marekebisho haraka iwezekanavyo na Sio zaidi ya mwaka 2025
Sasa wewe ongezeko la elfu 47, unaona nyongezaaaa kisa tu kasema asilimia.

Sasa unafikiri mama ataongeza elfu 47?
 
Kwa huku kwetu ukitangaza wafanyabiashara nao wanaongeza bidhaa bei! Sasa imagine unatangaza mshahara wa ongezeko kwa wafanyakazi wa serikali ambao hawafiki hata milioni moja,bidhaa zinapanda halafu watu milioni kadhaa huku ambao ni wengi hawajaongezewa mishahara huoni Kama ni kuwaumiza wenye vipato ambao havipandi!..
Nafikiri kutotangaza ni vyema zaidi ila wafanyakazi wa serikali itakuwa ni siri yao. I
Hayo ni mawazo mfu. Hakuna watumishi ambao ni wafanya biashara?

Maafisa wanaoshughulikia upandishaji mishahara hakuna wafanya biashara?

Mishahara inakopitia bank sio wafanya biashara? Utaficha mpaka lini? Kuficha ficha ni uhuni uliopitwa wakati.
 
Wanaopanda amadaraja wataona tofauti ila sip hiyo 47 ni kama vile hakijaomgezeka kitu
Halafu sijaelewa

Maana amesema kwa yule alifanya kazi kuanzia 2019 ni kama kupanda daraja, wala sio ongezeko la mshahara

Au mi sijamwelewa mwandishi.

Na vipi yule aliyeanza mwaka jana, vipi yule anayeajiriwa leo? Mshahara utakuwa 300,000 ileile.
 
Halafu sijaelewa

Maana amesema kwa yule alifanya kazi kuanzia 2019 ni kama kupanda daraja, wala sio ongezeko la mshahara

Au mi sijamwelewa mwandishi.

Na vipi yule aliyeanza mwaka jana, vipi yule anayeajiriwa leo? Mshahara utakuwa 300,000 ileile.
Naelezo bado yanautata usije kutana na ongezeko la elfu mbili miatano ukapanic
 
Wafu ni wakati wenu huu wa kuzikana. Mkishaacha kunyoosheana vidole kwa kutegemea akili ya viongozi wa vyama ndio waamue kipi ni sawa na si sawa

Maneno na Kauli gani mtumie kwenye kutuhumiana

Mtaendelea Kuendeshwa kuliko hata mbuzi wanaotumia akili zao kuvukia barabara maana kama hutumii akili wala utashi wako kuchanganua mambo hadi usubirie tamko la mtu.. Una tofauti na ng'ombe anaesubiria kubustiwa na kiboko apate akili ya kupiga hatua kuongeza mwendo

Utashangaa wanajiita great thinkers 😁😁😁, great thinkers who can not think on their own...

Msiniue jamani naota tu, nikishtuka akili itasema vingine maana hata Mimi ni mwananchi wa giningi, nyeusi naita nyeupe nikishaamka 🤣🤣
 
Sio flat rate jombaa... Kila mtu na mshahara wake then unapigia hiyo 15% yake.. its a good money
Good money kwa wenye mishahara minono

Sasa huyu wa kima cha chini alitakiwa aangaliwe kwa namna yake.
 
Hujui historia yao

Zanzibar hawanaga umoja, wana upemba na unguja kwa sana, wala hawapendani.

Sasa kupanda mshahara sh 47, 000 unaona nyingi..
Umeelewa unachoandika asilimia 15 ndo imeongezwa hiyo 47 Kwa mtu wa kima Cha chini

Wana upemba na uunguna mwingi acha zako wewe nimekaa Zanzibar nawajua vizuri wanaendana kila kitu izo ni ishu za siasa sijui upemba na unguja CCM na cup
 
Hayo ni mawazo mfu. Hakuna watumishi ambao ni wafanya biashara?

Maafisa wanaoshughulikia upandishaji mishahara hakuna wafanya biashara?

Mishahara inakopitia bank sio wafanya biashara? Utaficha mpaka lini? Kuficha ficha ni uhuni uliopitwa wakati.
Kauli ya kiongozi huwa inanguvu ndugu unakumbuka kauli yake kule mwanza ilifanya hadi Bitcoin ikapanda thamani..?
 
Back
Top Bottom