Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna clip Mwendazake alisikika alimtaka Mwinyi ndiye awe mgombea mwenzaBreaking: Rais wa Zanzbar Atangaza Ongezeko la mshahara 15%
Source: Ikulu zanzbar
Kwajinsi kitaa kilivyo kigumu mpaka 2025 tutakua skeleton mana sio kwakukamuliwa huku afu mshahara haiongezwi hatar sana!hongera zao wala urojo
Wale jamii zao zinafanana hata makabila sijui kama wanaendekeza yaani wale wamoja japo wako nyuma kielimu Zanzibar wakikutana huku bara wanaitana ndugu hata kama hawatoki Koo moja wanafanya vitu Kwa maendeleo Yao Kwa pamoja kama nduguKwani uraia wa zanzibari sh ngapi, niende nikawe mkojani huko.
Ndio maana wanataka muungani ufe na ukifa tu miaka 10 mingi watatuacha mbaaali mnooo.
Sasa si ungethibitisha kwanza ndo ucomment?15% ni nyingi Sana siamini mpaka nithibitishe
Wafanyakazi wakiwa wengi,hujui na kazi zinazofanywa ni nyingi?Kuna tatizo sehemu kwa upande wa Tanganyika ,Ingawa Tanganyika ina wafanyakazi wengi hivyo kuongeza salary lazima kufikiria mara mbili mara tatu .
Kulalekii...!!!!Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Mwinyi ametangaza ongezeko la mshahara kwa 15%
Kutokana na utaratibu huo kima cha chini cha mshahara kitapanda kutoka Tsh. 300,000 hadi Tsh. 347,000 sawa na asilimia 15.6
Ongezeko hilo linatarajiwa kutolewa kutumia mfumo wa uzoefu, ujuzi na elimu ya mtumishi
View attachment 2217040
View attachment 2217042
Wale jamii zao zinafanana hata makabila sijui kama wanaendekeza yaani wale wamoja japo wako nyuma kielimu Zanzibar wakikutana huku bara wanaitana ndugu hata kama hawatoki Koo moja wanafanya vitu Kwa maendeleo Yao Kwa pamoja kama ndugu
Njoo huku tunadharauliana sana makundi kibao sometime Hamna mzuka kabisa tuko wengi makabila kibao mara Hawa kujifanya wajuaji kuliko Hawa Kwa kweli hatutopata maendeleo ya pamoja daima
Raisi anapendelea kundi lake Kwa dini na ukanda yaani tubadilike Kwa kweli wangetoa makabila kama dini iwe Moja kama Zanzibar ni hatar huku chuki waziwazi