Zanzibar: Rais Samia ‘kuwafunda’ mabalozi wa Tanzania nje ya nchi kuanzia tarehe 14-21 Nov 2022

Zanzibar: Rais Samia ‘kuwafunda’ mabalozi wa Tanzania nje ya nchi kuanzia tarehe 14-21 Nov 2022

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Mkutano huo uliopangwa kufanyika Zanzibar kuanzia Novemba 14 – 21, 2022 ni wa kwanza tangu Rais Samia alipoingia madarakani na unabeba kaulimbiu isemayo: “Mwelekeo Mpya Katika Kuimarisha Diplomasia ya Uchumi”.
Hayo yamebainishwa leo Novemba 12, 2022 na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk Stergomena Tax wakati wa mkutano wake na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari hapa nchini.

Huu ni upigaji mpya na wa aina yake.
Kwanini waende zanzibar?

Kwanini wasifanye zoom meeting kuokoa kodi za watanzania?

Kwanini wawe na mkutano wa siku nyingi hivyo?

Mabalozi wanatoka canada, marekani, australia, Mexico, brazili , Japan na kungineko duniani kuja zanzibar kufanya mkutano na kurudi walikotoka, hizi fedha wangepeleka ikungi au monduli kununulia wananchi chakula cha njaa.
Dar Es Salaam kina hotel za kimataifa tena za kwetuna balozi ni zetu huku pemba wamefuata nini?

Kulivyo na hali ya ukame, njaa, maji hakuna, umeme hakuna na wanafunzi wa elimu ya juu wamekosa mikopo, huu mkutano sio wakati wake .
 
Ngoja tuone mana hii serikali ni maneno mengi vitendo sasa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mwelekeo Mpya Katika Kuimarisha Diplomasia ya Uchumi” ni upi? Una faida gani kipindi hiki kigumu cha uchumi huu?
Hawa wamama kuna mahali wanatupeleka kweli?
 
 
Pia mwambie Mama asisahau kumkubusha yule balozi wa Qatar juu ya fursa ya kuitangaza vema Tanzania kupitia kombe hili la dunia la 2022
 
Sioni tatizo kufanyia zanzibar swali ni kwamba kuna tija gani kwenye huo mkutano.
 
Mkutano huo uliopangwa kufanyika Zanzibar kuanzia Novemba 14 – 21, 2022 ni wa kwanza tangu Rais Samia alipoingia madarakani na unabeba kaulimbiu isemayo: “Mwelekeo Mpya Katika Kuimarisha Diplomasia ya Uchumi”.
Hayo yamebainishwa leo Novemba 12, 2022 na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk Stergomena Tax wakati wa mkutano wake na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari hapa nchini.

Huu ni upigaji mpya na wa aina yake.
Kwanini waende zanzibar?

Kwanini wasifanye zoom meeting kuokoa kodi za watanzania?

Kwanini wawe na mkutano wa siku nyingi hivyo?

Mabalozi wanatoka canada, marekani, australia, Mexico, brazili , Japan na kungineko duniani kuja zanzibar kufanya mkutsno na kurudi walikotoka, hizi fedha wangepeleka ikungi au monduli kujunulia wananchi chskula cha njaa.
Dar Es Salaam kina hotel za kimataifa tena za kwrtu na balozi ni zetu huku pemba wamefusta nini?

Kulivyo na hali ya ukame, njaa, maji hakuna, umeme hakuna na wanafunzi wa elimu ya juu wamekosa mikopo, huu mkutano sio wakati wake .
Wapewe mikataba ya ufanisi hasa ya kufanikisha biashara..

Hatuwezi kuwa na watu mizigo tuu.Naunga mkono hoja.
 
Mkutano huo uliopangwa kufanyika Zanzibar kuanzia Novemba 14 – 21, 2022 ni wa kwanza tangu Rais Samia alipoingia madarakani na unabeba kaulimbiu isemayo: “Mwelekeo Mpya Katika Kuimarisha Diplomasia ya Uchumi”.
Hayo yamebainishwa leo Novemba 12, 2022 na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk Stergomena Tax wakati wa mkutano wake na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari hapa nchini.

Huu ni upigaji mpya na wa aina yake.
Kwanini waende zanzibar?

Kwanini wasifanye zoom meeting kuokoa kodi za watanzania?

Kwanini wawe na mkutano wa siku nyingi hivyo?

Mabalozi wanatoka canada, marekani, australia, Mexico, brazili , Japan na kungineko duniani kuja zanzibar kufanya mkutsno na kurudi walikotoka, hizi fedha wangepeleka ikungi au monduli kujunulia wananchi chskula cha njaa.
Dar Es Salaam kina hotel za kimataifa tena za kwrtu na balozi ni zetu huku pemba wamefusta nini?

Kulivyo na hali ya ukame, njaa, maji hakuna, umeme hakuna na wanafunzi wa elimu ya juu wamekosa mikopo, huu mkutano sio wakati wake .

Hakuna Cha kufundwa ni kuambiwa tu hili mkalitazame.
 
Mikutano, makongamano,

Mikataba.

Tunapoteza muda wetu bure.
 
Hatimae baada ya miaka 61 ya uhuru tumepata SOMO wa kufunda
 
Huo Ujuzi wa Kuwafunda Wenzake ameutoa wapi ? Ana Experience ya muda gani kama Balozi ? Au kusafiri sana ameshakuwa Expert ?!!!

Sasa kama hao kama wanahitaji extra maelekezo kwanini wasingechagua ambao wameshaiva ?!!!

Kuweni na Huruma na Pesa zetu...
 
Mmechaguana bila vigezo sasa mnataka kutumia pesa za walipa kodi kujinufaisha! Hivi nyie watu mmelogwa au ni kukaza tu shingo…
Watu waache kulipa kodi tuone
Miezi miwili tu
Hebu kuweni na utu
 
Back
Top Bottom